Wavuliwe kwanza ubingwa wa 2011/12 na 2017/18 ndiyo hatua nyingine iendelee.Manchester City charged by Premier Leaue with numerous breaches of financial rules following a four-year investigation. @martynziegler
Hivi Man City wanaweza kupokwa points?
At least ndiye anaeonekana walau ana ahueni ! Kina Trent, fabinho , mo, Gakpo, Nunez, Thiago, vvd(before injury) Nani alikuwa na kiwango Bora ? Mpira Ni mchezo wa wazi kila mtu anaona !Wewe ndo unasimuliwa sasa huangalii Mimi nimeangalia sana game za Liva misimu iliopita na huu tuliopo kwakweli kusema Alison yupo kwenye kiwango ni kunajisi wanamichezo na wapenzi wa mpira....Kuanzia World cup alivuruga sana na sasa magoli anayofungwa mengne wala sio makosa ya beki lakini pia LUIS DIAZ ni mchezaji alieishape sana liva bahati mbaya injury znamwandama ila DIAZ alisaidia sanaa
City bado ana timu nzuri competitive, sema tu Kuna situation wanapitia ,,,, achana na kufungwa, game anazoshinda pia ana-struggle , wacha tuone pengine watakaa sawaCity hawajawahi kufanya vizuri misimu mitatu mfululizo EPL, hizo sababu zingine sidhani kama zina ukweli.
Bado wanamwacha Phil Jones? Kenge maji kweliErik Ten Hag is planning a summer clear-out at Manchester United to raise funds for new signings:
Harry Maguire
Scott McTominay
Anthony Martial
Donny van de Beek
Eric Bailly
Alex Telles
(Source: Steve Bates)
#TrustTheProcessETH
#GlazerOUT
#GGMU
man utd |View attachment 2506531
Kipindi cha Ole alivyoshika nafasi ya piliWavuliwe kwanza ubingwa wa 2011/12 na 2017/18 ndiyo hatua nyingine iendelee.
CryMaandishi yako tu yanajidhirihisha ulivyo mjinga.
Ndugu mganga kwenye ubora wakoManchester United inacheza Leo na dunia nzima ina furaha
Prediction
Manchester United 2 vs crystal palace 1
Time
12:00 jioni
Stadium
Old Trafford
Last match
Crystal palace 1 vs Manchester United 1
GGMUView attachment 2505874
Oooh Martinez ni andunje hawezi kukaa beki yule pale tumepigwa atachomesha sana yule kama Maguire.Point tatu za damu na machoz !!!!!
Dah, baada ya red card game plan ilivurugika
Tulipigwa msako haswa,,, kidogo baada ya Marcel kuingia walau kukawa na ahuen !
Martinez nadhan Ajax wanatudai chenchi,,,,, hizi ndo damu za south America, kazi tu hakuna kuremba
Uchunguzi wa makosa 100 umeishia 2018Kipindi cha Ole alivyoshika nafasi ya pili
Koulibaly aliwekwa sokoni kwa 100m huku akiwa maji ya jioni kabisa..Maboss wa Napoli makauzu kinomaKama Anthony , Mudryk na Enzo wameuzwa 100+ Osimhen wa Napoli hawezi kuuzwa chini ya 150 unless humjui boss wa Napoli.
Koulibaly mwenyewe alimweka sokoni kwa dau la 100 sembuse Osimhen
Jamaa anapiga kazi sio powa mkuu,,,, spirit iko juu Sana !Oooh Martinez ni andunje hawezi kukaa beki yule pale tumepigwa atachomesha sana yule kama Maguire.
Mwana anapiga kazi kichizi
Sasa mkuu Phil Jones mkataba wake unaisha June, so hatuhusu, Labda tumuongezee mkatabaBado wanamwacha Phil Jones? Kenge maji kweli
Brand inalindwa kwa gharama yoyote ile no matter who you areNike have confirmed that their previous statement in relation to Mason Greenwood remains applicable now. It read: "Mason Greenwood is no longer a Nike athlete."
#TrustTheProcessETH
#GlazerOUT
#GGMU
man utd |View attachment 2508548
Huyu jamaa kusurvive utd itakua miujiza sana.labda uingereza utambeba!!Brand inalindwa kwa gharama yoyote ile no matter who you are
Sasa mkuu Phil Jones mkataba wake unaisha June, so hatuhusu, Labda tumuongezee mkataba
Kwa sababu ipi? ebu tueleze mwalimu tupo tayari kusikia kutoka kwakoArsenal wanavyocheza hawawezi kumfunga Man city kirahisi hivyo.
Hata mechi yao ya kombe la FA nilisema Arsenal anavyocheza hawezi kumfunga Man City.