Unapoteza mechi then unakimbia jukwaa.....
Teh teh teh
huu utoto nimeushuhudia kwenye thread ya ARSENAL kwa baadhi ya wafuasi wao, nafikiri kuna wanadamu wapo Tanzania na wanaufanya mpira wa ulaya kama ni sehemu muhimu ya maisha yao.
Tunajizalishia matatizo wenyewe