Madrid hawawezi kumwachia bora tuende kwa Rodrigo Bentacur au Piotr Zielinsky
Bonge moja la transformation hawajamaa wakiondolewa hususan Maguire.Kuna mahala nimesoma Ten Hag majira ya kiangazi anapanga kuwaweka sokoni Martial, Bailly, Telles, Maguire na Van De Beek.
Kuna pressure kutoka ktk bodi kupunguza gharama za uendeshaji wa timu. Tayari internally washaweka salary ceilling (not more than 350k/weekly - bonus inclusive).
Hahahaa Ten Hag ni mjanja sana anapo-deal na waandishi wa habari. Usiamini kauli zake kirahisi rahisi umesahau alichokuwa anasema kuhusu Ronaldo mbele ya camera?Inaonekana Erik anampenda sana cause press conference zake nyingi anapo muongelea martial anaonekana kuwa ni mchezaji aliye katika mipango yake.
Labda ziwe mind games
Let's wait
Huyu mreno huwaga anakichafua balaa katikati.Kuna jamaa yupo fulham pale ,,,,palinha(mreno),,, dah anakichafua Sana aisee, huyu mwamba hastahili kuchezea timu ndogo !
Hatufai,???? ,, kuendelea kuwakumbatia kina tominay na kumtegemea Casemiro pekee,,,akipata injury ya muda mrefu au red card Kama Jana inakuwa disaster kwetu !!!!
Chief-Mkwawa
Darmian
Hivi kasemilo jina lake lote ni aje?
Palihna tulizingua wenyewe msimu uliopita miezi kama hii Sporting Lisbon walikuwa wanataka euro 20M tu. Ralph ali-recommend yeye na Enzo akiwa River Plate naye bei yake ilikuwa euro 18M.Kuna jamaa yupo fulham pale ,,,,palinha(mreno),,, dah anakichafua Sana aisee, huyu mwamba hastahili kuchezea timu ndogo !
Hatufai,???? ,, kuendelea kuwakumbatia kina tominay na kumtegemea Casemiro pekee,,,akipata injury ya muda mrefu au red card Kama Jana inakuwa disaster kwetu !!!!
Chief-Mkwawa
Darmian
Huwa namuangalia anavyokichafua naishia kusonya tu ,,,, eti tominay ndo mmbadala wa casemiroHuyu mreno huwaga anakichafua balaa katikati.
Baily nilikuwa namkubali sana ila cheza yake sasa reckless sanaKuna mahala nimesoma Ten Hag majira ya kiangazi anapanga kuwaweka sokoni Martial, Bailly, Telles, Maguire na Van De Beek.
Kuna pressure kutoka ktk bodi kupunguza gharama za uendeshaji wa timu. Tayari internally washaweka salary ceilling (not more than 350k/weekly - bonus inclusive).
Hata hio 40m summer hatutampata, usisahAu kuwa timu za epl Zina nguvu kiuchumi hawana njaa ,,, kunegotiate nao kazi Sana !Palihna tulizingua wenyewe msimu uliopita miezi kama hii Sporting Lisbon walikuwa wanataka euro 20M tu. Ralph ali-recommend yeye na Enzo akiwa River Plate naye bei yake ilikuwa euro 18M.
United huwa tunaingia sokoni muda ambao ni rahisi kupigwa pesa ndefu. Unafikiri Fulham watatuacha salama hapo? Hawawezi kumuuza chini ya pound 40M. Usisahau pesa kwa sasa hatuna priority ni mshambuliaji wa kati majira ya kiangazi.
Huko Marseille kwenyewe ashafungiwa kwa kucheza rafu za kuua.Baily nilikuwa namkubali sana ila cheza yake sasa reckless sana
McTominay ni wa kuuzwa Newcastle hukoHuwa namuangalia anavyokichafua naishia kusonya tu ,,,, eti tominay ndo mmbadala wa casemiro
Yes. Victor Osimhen hapo hakuna mjadala bila euro 100M hatumpati na jambo jema kwetu yule dogo anaitaka United. Mwezi wa 8 mwaka jana Napoli walikuwa tayari kutuuzia ila priority kwa Ten Hag ilikuwa ule upande wa kulia (Antony).Hata hio 40m summer hatutampata, usisahAu kuwa timu za epl Zina nguvu kiuchumi hawana njaa ,,, kunegotiate nao kazi Sana !
Alafu nafasi hio sio target kwetu, tunahitaji cF,, tutAenda kupigwa kitu kizito kwa victor wa Napoli au vlahovic
Summer rice atauzwa over 100m , same applies to caicedo,!
Rufaa ikifeli kifungo chake kinaongezewa mechi moja, badala ya kukaa nje mechi 3 atakaa nje mechi 4.Huyu refer aliyempa casemiro Reds
Hivi rufaa hairusiwi wajuzi wa soka Msaada
VAR ina u-snitch sana jinsi ile slow motion ilivyoonyesha utafikiri he was choking that boy for hours kumbe zilikuwa sekunde kadhaa tu.Maana halisi ya Kiungo mkabaji,
Casemero amejuaje kitendo alichokifanya kwenye lugha yetu ya kiswahili kinaleta maana sahihi kabisa kwenye nafasi anayocheza?
View attachment 2507370