Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mkuu hivi unaona Antony anavyoludi kuzui au wewe unaangalia magoli tu?
 
Point tatu za damu na machoz !!!!!

Dah, baada ya red card game plan ilivurugika

Tulipigwa msako haswa,,, kidogo baada ya Marcel kuingia walau kukawa na ahuen !


Martinez nadhan Ajax wanatudai chenchi,,,,, hizi ndo damu za south America, kazi tu hakuna kuremba
 
Wa-South America hawana kazi za kuremba hata Portuguese wanapiga sana kazi mf. Bruno na Dalot. Ila kazi chafu zote ni wazee wa South America na ule ubabe wao ndiyo unajenga mentality ya ushindi kwenye kikosi ndiyo maana ile red card ya Casemiro nimeikubali wale jamaa walistahili kupigwa mtiti na points 3 wameziacha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…