Hamna mimi nilikua upande wako, tatizo lako wewe unasoma comments harakaharaka bila ya utulivu, karudie kusoma comments zangu upya, karibia zote nilikua nnakusapport ila ajabu ukawa unanishambulia ikabidi nikaushe tu maana nilihisi tayari umeshavurugwa na wale wazee wa pingapinga.Flano umenichekesha Sana, halafu ukiona natukanwa unaongezea petrol ,huna maana kabisa wewe
Hamna tatizo lako wewe unasoma comments harakaharaka bila ya utulivu, karudie kusoma comments zangu upya, karibia zote nilikua nnakusapport ila ajabu ukawa unanishambulia ikabidi nikaushe tu maana nilihisi tayari umeshavurugwa na wale wazee wa pingapinga.
Kwa jinsi ninavyokukubali hua mara nyingi nasimama na wewe, ila jana sijui ulikula maharage ya wapi?
Nisamehe kwakweli, nlivurugwa Sana JanaKwa jinsi ninavyokukubali hua mara nyingi nasimama na wewe, ila jana sijui ulikula maharage ya wapi?
Yaani nakussuport halafu badala yake wewe unaniwashia moto
Pamoja Mkuu, ila lile jukwaa lenu ni changamoto sana aiseeee, kuna vichwa mule vimevurugwa hatari, kuna watu mule walikua kila kukicha kumlalamikia Lukonga kua hafai ila baada ya kutolewa kwa mkopo haohao wanalalamika tena kwa nini Lukonga anaondoka wakati Elneny ni majeruhiNisamehe kwakweli, nlivurugwa Sana Jana
Kuna watu sijui mpira wanaangaliaje,,,,,Fred aumie??..like serious??
Fred ni mtu muhimu sana kwenye hiki kikosi cha EtH.
Nimeona clip zake jamaa anapiga free kicks sana pia ana magoli mazuri ni mtu wa mashuti kama bruno.Kuna vitu vingi Sabitzer ataviongeza kwenye kikosi chetu.
Physicality ni ball career mzuri tu, long range goals ni free kick speciality, anakaba sana lakini pia ni press resistant.
Hakufanya vizuri Bayern,,,,Nimeona clip zake jamaa anapiga free kicks sana pia ana magoli mazuri ni mtu wa mashuti kama bruno.
Hizo free kicks zake zimenifanya nimkumbuke Juninho Pernambucano wa kipindi kile Lyon inasumbua miaka 7 mfululizo kwenye ligi kuu ya Ufaransa.Nimeona clip zake jamaa anapiga free kicks sana pia ana magoli mazuri ni mtu wa mashuti kama bruno.
Wasiwasi wangu Hawa wahuni kuna mechi watakuja kutuharibia, chelsea ndio timu pekee inayoweza kufungwa mechi 4 mfululizo kwa msimu mmoja dhidi ya mpinzani mmojaManchester united 3 vs Nottingham forest 1
Sabitzer ni aina ya wachezaji ambao ten Hag anawapenda wenye work rate kubwa sana kama Bruno, Casemiro, Lisandro au Malacia. Uchezaji wake ni ule wa wafia timu.Nimeona clip zake jamaa anapiga free kicks sana pia ana magoli mazuri ni mtu wa mashuti kama bruno.
kwani hili jukwaa la arsenal la mau u au la wanasport wote mbona arsena8 mnatuvurugaPamoja Mkuu, ila lile jukwaa lenu ni changamoto sana aiseeee, kuna vichwa mule vimevurugwa hatari, kuna watu mule walikua kila kukicha kumlalamikia Lukonga kua hafai ila baada ya kutolewa kwa mkopo haohao wanalalamika tena kwa nini Lukonga anaondoka wakati Elneny ni majeruhi
UnakatwaFainal ni NEWCASTLE VS NOTTINGHAM FOREST
KILA LA KHERI NOTTINGHAM FOREST
WAPEMBA NDIO WANAJUA KUTUMIAWazee hili chama lenu mnataka linunuliwe na waarabu au wamarekani?
Arabians wana mapeneWazee hili chama lenu mnataka linunuliwe na waarabu au wamarekani?