Nyie hela ya pepe imewauma sana sisi kumwaga hela Kawaida tulimwaga kwa.Anthony remind me Nicolaus Pepe
Pepe tulishamuondoa, tutavunja benk kwa mchezaji anayestahili , bila Chelsea kuingilia dili la MUDRKY ,tulikuwa tumlete kwa €95mNyie hela ya pepe imewauma sana sisi kumwaga hela Kawaida tulimwaga kwa.
Lukaku
Pogba
Sancho
Di maria
Maguire
Kwaiyo sisi kumwaga hela ni kama utamaduni wetu sio kama huko kwenu mmetoa kapaundi 70 tu lakini mnalialia mpaka leo.
Kiufupi kimkwanja sisi sio level yenu timu ijawai kusajili mchezaji hata wa paundi 80 ni timu nayo iyo.
Pole kwa kuaga jana mkuu hafu kumbuka FA ndo kombe lako na ndo umeaga kwaiyo tuonane mwakani bila kombe lolote.Hamuna timu ya kuifunga Newcastle mkienda fainali Hakuna kikombe mtachukua kwa kumtegemea makame na mchezaji wa yutubeView attachment 2497964
We mpuuzi, inaonekana una hasira sana na Man United, huu sio upinzani bali ni hasira iliyopitiliza.Watu wanasajili nyie mnaleta Ghost kwa Mali Kauli
Mnaimba mnataka epl ,Hata Carabao hamna timu ya kumfunga Newcastle
Miaka 6 inaenda bila taji lolote
WivuWatu wanasajili nyie mnaleta Ghost kwa Mali Kauli
Mnaimba mnataka epl ,Hata Carabao hamna timu ya kumfunga Newcastle
Miaka 6 inaenda bila taji lolote
kumbuka mshono wa Jumapili iliyopita bado haujakaukaManchester united inacheza leo na dunia nzima ina furaha[emoji16][emoji16][emoji16]
Prediction
Manchester united 4 vs Reading 0
Time
5.00 usiku
GGMU[emoji83][emoji83]View attachment 2498138
Upo sawa kichwani kweli!? Soma nilichokuuliza na ujibu tena pointi sio pumba,,[emoji3166] Au wewe unaona umetoa booonge la jibuKuna moves za magoli au magoli mengine unaona kabisa the player could have done better to prevent the goal...Ila kuna mengine unafungwa we mwenyewe unakubali kabisa tulizidiwa....partey alipoteza kizembe ule mpira Rashid akaupata akafunga tokea mbali na alikuwa angeweza kufanya option nzuri zaidi...goli la pili kipa angefanya vzuri pia hcho Ndo nikichotaka kumaanisha au wewe ulifurahia Ile performance Kwa mpira WA kuvizia huku mbele mnamuweka Yule ngongoti wenu [emoji23].....basi bwana mkuu case closed mlikuwa na performance nzuri [emoji1787]
Punguza ujuha na ushangingi si nimesema case closed mlikuwa na performance nzuri kama unavyotaka kujiaminisha au unataka nn[emoji23]?Upo sawa kichwani kweli!? Soma nilichokuuliza na ujibu tena pointi sio pumba,,[emoji3166] Au wewe unaona umetoa booonge la jibu
Tatizo wakiwa kwenye senior team wanazinguaNamuangalia amad diallo game ya fulham na sunderland dogo yupo vizuri sana aisee