Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hata mlivyomsajili Ighalo mlisema hatujui kitu kushinda Ole aliyemsajili.

Na alivyokuja Ronaldo tukaambiwa hivi hivi.

Na Pellistri pia.

Na Pogba.

Halafu Arsenal ishavuka stage ya kuhofia kupoteza mechi
 
Hivi timu mbovu ni ipi, ambayo imefika mara chache kwenye box la mpinzani na kufunga magoli mawili au iliyofika mara nyingi na kufunga magoli matatu, moja likiwa la offside?
Mzee au mechi ulisikiliza kwenye redio...kama arsenal wangekuwa makini ilipaswa game iishe 3-0 maana arsenal walitawala Sana hyo game ikiwemo kuwafanyia msako golini kwenu mara kibao magoli mlioyafunga NI errors ..moja turnover ya partey..nyingine makosa ya kiulinzi kwenye Kona....huwezi ukaja ukajisifu Kwa Ile performance hamkuwa wabovu
 
Kuna mashabiki wa mpira inatakiwa washabikie ndondo tuu,, hebu tuelezee goli moja unalolifahamu ambalo halijatokana na makosa ya aliyefungwa!?!?
 
Kuna mashabiki wa mpira inatakiwa washabikie ndondo tuu,, hebu tuelezee goli moja unalolifahamu ambalo halijatokana na makosa ya aliyefungwa!?!?
Kuna moves za magoli au magoli mengine unaona kabisa the player could have done better to prevent the goal...Ila kuna mengine unafungwa we mwenyewe unakubali kabisa tulizidiwa....partey alipoteza kizembe ule mpira Rashid akaupata akafunga tokea mbali na alikuwa angeweza kufanya option nzuri zaidi...goli la pili kipa angefanya vzuri pia hcho Ndo nikichotaka kumaanisha au wewe ulifurahia Ile performance Kwa mpira WA kuvizia huku mbele mnamuweka Yule ngongoti wenu
.....basi bwana mkuu case closed mlikuwa na performance nzuri
 
Ndio maana unaambiwa mpira Ni mchezo wa makosa, ukikosea mwenzako anakufunga !

Kila goli linalofungwa Kuna mtu alikosea somewhere na mpinzani akapata advantage !
 
Anthony remind me Nicolaus Pepe
Nyie hela ya pepe imewauma sana sisi kumwaga hela Kawaida tulimwaga kwa.

Lukaku
Pogba
Sancho
Di maria
Maguire

Kwaiyo sisi kumwaga hela ni kama utamaduni wetu sio kama huko kwenu mmetoa kapaundi 70 tu lakini mnalialia mpaka leo.

Kiufupi kimkwanja sisi sio level yenu timu ijawai kusajili mchezaji hata wa paundi 80 ni timu nayo iyo.
 
Pepe tulishamuondoa, tutavunja benk kwa mchezaji anayestahili , bila Chelsea kuingilia dili la MUDRKY ,tulikuwa tumlete kwa €95m

Nyie mnaongoza kupigwa ,hivi Sancho yupo wapi
 
Watu wanasajili nyie mnaleta Ghost kwa Mali Kauli
Mnaimba mnataka epl ,Hata Carabao hamna timu ya kumfunga Newcastle
Miaka 6 inaenda bila taji lolote
 
Hamuna timu ya kuifunga Newcastle mkienda fainali Hakuna kikombe mtachukua kwa kumtegemea makame na mchezaji wa yutube
 
ETH " still there's potential in this squad " wana man u kama una bando pitia YouTube muangalie AMAD DIALLO, dogo anajua na nadhan akikomaa atatusaidia sn.
 
Watu wanasajili nyie mnaleta Ghost kwa Mali Kauli
Mnaimba mnataka epl ,Hata Carabao hamna timu ya kumfunga Newcastle
Miaka 6 inaenda bila taji lolote
We mpuuzi, inaonekana una hasira sana na Man United, huu sio upinzani bali ni hasira iliyopitiliza.

Hata nje ya hapa inaonekana hauko vizuri kiakili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…