Hata mlivyomsajili Ighalo mlisema hatujui kitu kushinda Ole aliyemsajili.Hii taarifa inaisaidiaje Arsenal kushinda mechi inayofuata?
Wewe hujui kitu kushinda EtH aliyemsajili. Antony bado hajafikia full potential, halafu United tunaunda kikosi (bora barani Ulaya) tunataka timu yetu iwe na qualities sawa kwa kikosi cha kwanza mpaka bench. Nyie endeleeni na wachezaji wenu wa mafungu.
Hata Arsenal kuna wachezaji last season walionekana wa kawaida sana ila msimu huu wanakiwasha. Kinachowasumbua ni value tu ya Antony ambayo haina uhusiano na uwezo wake. Ajax walitaka ile pesa kutokana na vitu vingi na sisi tukakubali, shida iko wapi tuki-spend €100m au kisa timu yenu haiwezi?
Na alivyokuja Ronaldo tukaambiwa hivi hivi.
Na Pellistri pia.
Na Pogba.
Halafu Arsenal ishavuka stage ya kuhofia kupoteza mechi