Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ww ropoka Ila ulitamba utashinda Emirates
Hiyo mechi tulikuwa na nafasi ya kuondoka hata na point Emirates na takwimu zilikuwa on point. United akiwa away ana 1.67xG na tulifunga magoli mawili lakini shida kubwa mchezaji muhimu kwenye defense yetu hakuwepo, tungewezaje kuizuia Arsenal kwa dk 90 isipate magoli zaidi ya mawili? Tulishindwa na nimekubali Arsenal walistahili points 3 lakini pamoja na dominance yao walishindwa kumaliza mechi mapema.

Msimu huu Man City tu ndiyo alifanya total dominance dhidi yetu, walitukamata kila mahali ile mechi ya kwanza.
 
Labda sio Emirates hi
Arsenal (2.93) 3-2 Manchester United (0.33)

#xG #ARSMUN
 
Hii inaonesha jinsi gani timu yenu Bado ,ndio maana mnategemea individual brilliance za Rashidi

Sio kwamba hampendi kutawala mechi ,ila mnazidiwa na kupelekewa Moto

Sio kwamba Zile hasa dk 20 za mwisho mlipenda kukaa nyuma ,Ni mlilazimishwa

Sio kweli kwamba mliruhusu kwa hiari Arsenal awapigie mashuti 20 ndani ya box lenu na 5 nje ya box ,Mlilazimishwa
 
Hicho unachokitaka wewe nimekwambia sio utamaduni wetu usitulazimishe, kipindi cha kwanza chote sisi ndio tuliotawala, tulikua na uwezo wa kuattempts zaidi ya mara 30 kwenye goli lenu, kwetu sisi attempts zisizo na malengo ya kufunga goli sio utamaduni wetu broo.
Attemps 3 kwa goli 1 hio ndio standard yetu Manchester United.
 
Kipindi gani Cha Kwanza mlitawala ? Mechi ipi?

Kipindi Cha Kwanza Arsenal hatukucheza katika Kiwango chetu, Lakini hakuna mlichotawala

Kaangalie vzr statistics , Hata Upelekewaji wa moto mlipelekewa sana

Kwamba mlikuwa na uwezo wa ku attempt Mara 30

Sasa mngefikaje wakati Hata kwenye box la Arsenal mmefika Mara 12

Unataka kusema mpira wenu Ni wakubana p*mbu ndio mnaupenda
 
Wakati mnapelekewa Moto ,mashabiki wa Arsenal walikuwa wanaimba

Your defence is in trouble!!!



Your defence is in trouble!!!


Your defence is in trouble!!!


Your defence is in trouble!!!


Your defence is in trouble!!!
 
Yani kuwa mshabiki wa Manchester ni kazi sana yani wewe fikiria tu hizi mechi zote kubwa kama.
Arsenal
Chelsea
Liverpool
Man city

Wote hao wapo ladhi wafungwe na timu nyingine ila sio united kiufupi united ndo timu tusiyopendwa na kila kigogo pale uingereza timu yoyote inaona ni bora ifungwe na timu yoyote pale uingereza ila sio united.

Hivi mkuu@Aaron Arsenal hivi timu kubwa za England tuliwakosea nini mbona hata hapa katika uzi wetu timu imefungwa wa united utakimbiza hatari?
 
dah
man u hampendwi mnaongea Sana
 
Sababu kubwa ya chuki na wivu Ni Mafanikio ya mda mrefu nje na ndani ya uwanja, !

Hii ishu inawatesa sana ,,,,

Timu gani pale England yenye mafanikio ya maana zaidi ya utd na Liverpool ?

Wengine tia maji , ndo maana hasira haziishi !

Chelsea imechukua uefa juzi Kati hapa , arsenal ndo kabisa hajawahi na hajui atachua lini ,,,, tuje kwenye makombe ya ndani ndo balaa kabisa !

Kina Villa na Nottingham washachukua uefa ila arsenal bado ! Wana hasira Sana !
 
Chagueni kbsa msiotupenda tubebe CARABAO, UEROPA, EPL, FA sisi MAN U hatushindwi jambo ndyo tumeanza sasa ligi
GGMU FOREVER
 
Wazee tujadili potential zinazofaa kuja united, tuache kubishana na arsenal


TIERY HENRY "namuamini arteta, naipenda arsenal pia lkn tumeona project ya miaka mitatu ya arteta dhidi ya project yeny miezi sita ya ETH, pia man u kapumzika Siku 3 dhidi ya timu imepumzika wiki moja kabla ya game, kwahili namuunga mkono na kuwa shabiki wa ETH anafany maajabu na naamini ndani ya miaka miwili atakuwa na timu top hapa england na ulaya"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…