Jackwillpower
JF-Expert Member
- Oct 4, 2017
- 2,539
- 3,860
Hiyo mechi tulikuwa na nafasi ya kuondoka hata na point Emirates na takwimu zilikuwa on point. United akiwa away ana 1.67xG na tulifunga magoli mawili lakini shida kubwa mchezaji muhimu kwenye defense yetu hakuwepo, tungewezaje kuizuia Arsenal kwa dk 90 isipate magoli zaidi ya mawili? Tulishindwa na nimekubali Arsenal walistahili points 3 lakini pamoja na dominance yao walishindwa kumaliza mechi mapema.Ww ropoka Ila ulitamba utashinda Emirates
Huu hapa ndio utopolo wenu Arsenyani.Angalia takwimu utajua yupi mbovuView attachment 2496143
Labda sio Emirates hiHiyo mechi tulikuwa na nafasi ya kuondoka hata na point Emirates na takwimu zilikuwa on point. United akiwa away ana 1.67xG na tulifunga magoli mawili lakini shida kubwa mchezaji muhimu kwenye defense yetu hakuwepo, tungewezaje kuizuia Arsenal kwa dk 90 isipate magoli zaidi ya mawili? Tulishindwa na nimekubali Arsenal walistahili points 3 lakini pamoja na dominance yao walishindwa kumaliza mechi mapema.
Msimu huu Man City tu ndiyo alifanya total dominance dhidi yetu, walitukamata kila mahali ile mechi ya kwanza.
Hii inaonesha jinsi gani timu yenu Bado ,ndio maana mnategemea individual brilliance za RashidiHuu hapa ndio utopolo wenu Arsenyani.
Arsenal Total shots 25 On target 5
Man utd Total shots 6 On target 4
Nyie Arsenyani msipende kujifananisha na sisi, ushindi wetu hauhitaji Attempts 30 ndio tupate goli 1 kama nyinyiView attachment 2496222
Our number 10 has scored 10 goals in 10 games for Erik 10 HagMarcus Rashford since the World Cup
#TrustTheProcessETH
#GlazerOUT
#GGMU
man utd |View attachment 2496174
Hicho unachokitaka wewe nimekwambia sio utamaduni wetu usitulazimishe, kipindi cha kwanza chote sisi ndio tuliotawala, tulikua na uwezo wa kuattempts zaidi ya mara 30 kwenye goli lenu, kwetu sisi attempts zisizo na malengo ya kufunga goli sio utamaduni wetu broo.Hii inaonesha jinsi gani timu yenu Bado ,ndio maana mnategemea individual brilliance za Rashidi
Sio kwamba hampendi kutawala mechi ,ila mnazidiwa na kupelekewa Moto
Sio kwamba Zile hasa dk 20 za mwisho mlipenda kukaa nyuma ,Ni mlilazimishwa
Sio kweli kwamba mliruhusu kwa hiari Arsenal awapigie mashuti 20 ndani ya box lenu na 5 nje ya box ,Mlilazimishwa
Kipindi gani Cha Kwanza mlitawala ? Mechi ipi?Hicho unachokitaka wewe nimekwambia sio utamaduni wetu usitulazimishe, kipindi cha kwanza chote sisi ndio tuliotawala, tulikua na uwezo wa kuattempts zaidi ya mara 30 kwenye goli lenu, kwetu sisi attempts zisizo na malengo sio utamaduni wetu.
Attemps 3 kwa goli 1 hio ndio standard yetu Manchester United.
Wakati mnapelekewa Moto ,mashabiki wa Arsenal walikuwa wanaimbaHuu hapa ndio utopolo wenu Arsenyani.
Arsenal Total shots 25 On target 5
Man utd Total shots 6 On target 4
Nyie Arsenyani msipende kujifananisha na sisi, ushindi wetu hauhitaji Attempts 30 ndio tupate goli 1 kama nyinyiView attachment 2496222
Wanga wengi.Sisi tukishinda hamtaki tushangilietukifungwa nyie mnashangilia.
Notting 1-Liva 0
Notting 2 - Tott 0
Notting 1- Chelsea 1
dahYani kuwa mshabiki wa Manchester ni kazi sana yani wewe fikiria tu hizi mechi zote kubwa kama.
Arsenal
Chelsea
Liverpool
Man city
Wote hao wapo ladhi wafungwe na timu nyingine ila sio united kiufupi united ndo timu tusiyopendwa na kila kigogo pale uingereza timu yoyote inaona ni bora ifungwe na timu yoyote pale uingereza ila sio united.
Hivi mkuu@Aaron Arsenal hivi timu kubwa za England tuliwakosea nini mbona hata hapa katika uzi wetu timu imefungwa wa united utakimbiza hatari?
Sasa kama mashabiki wengine wamechagua kuongea sana sisi kwanini tukae kimya raha ya mpira kupiga makelele bwana.dahman u hampendwi mnaongea Sana
Unapoizungumzia utd na arsenal kimapato ni mbingu na ardhi, sihitaji kubishana wala kuweka data hapa !Manyua Haina pesa
Sababu kubwa ya chuki na wivu Ni Mafanikio ya mda mrefu nje na ndani ya uwanja, !Yani kuwa mshabiki wa Manchester ni kazi sana yani wewe fikiria tu hizi mechi zote kubwa kama.
Arsenal
Chelsea
Liverpool
Man city
Wote hao wapo ladhi wafungwe na timu nyingine ila sio united kiufupi united ndo timu tusiyopendwa na kila kigogo pale uingereza timu yoyote inaona ni bora ifungwe na timu yoyote pale uingereza ila sio united.
Hivi mkuu@Aaron Arsenal hivi timu kubwa za England tuliwakosea nini mbona hata hapa katika uzi wetu timu imefungwa wa united utakimbiza hatari?
Hapa allypipi ndio unawachanganya ndgu zetu, sema arsenal wazuri lkn ubingwa bdo unasafari ndefu mpira una maajabu snSasa kama mashabiki wengine wamechagua kuongea sana sisi kwanini tukae kimya raha ya mpira kupiga makelele bwana.
Kuna timu kama hazipo serious kabisa kweli uefa nayo ni kitu ya kukosa kweli.View attachment 2496330