Jackwillpower
JF-Expert Member
- Oct 4, 2017
- 2,539
- 3,860
Asubuhi unaamkia nyumba ya jiraniTunakiporo na Palace tukimfunga tubakiza point 6 alafu jumapili tunacheza na Arsenal ni kibonde wetu tunamfunga zinabaki 3 alafu mechi ijayo atapoteza na sisi tutashinda tunakua sawa alafu anacheza na City anafungwa na Sisi tunashinda tunakua juu [emoji28]
ABUNUASIIIII [emoji28][emoji28]
Hili silipingiAnthony tumepigwa
😄😄😄 Boss Jackwillpower waache tu hawa. Mahesabu yao ni kama zile MLM schemes za GNLD na Forever Living Products 😄😄😄Tunakiporo na Palace tukimfunga tubakiza point 6 alafu jumapili tunacheza na Arsenal ni kibonde wetu tunamfunga zinabaki 3 alafu mechi ijayo atapoteza na sisi tutashinda tunakua sawa alafu anacheza na City anafungwa na Sisi tunashinda tunakua juu [emoji28]
ABUNUASIIIII [emoji28][emoji28]
Ulitaka baba yako ndo asajiliwe EPL? waliosajili hao watu wanajua kuliko mimi na wewe mbaya zaidi hatujatoa hata mia ili wasajiliwe hivyo unapata wapi nguvu yakuandika huo upupu?Sajili za ovyo EPL msimu huu View attachment 2495751
Kwa asiyejua mpira atakua ana maoni kama yako.Anthony tumepigwa
Kwa hyo unataka hao rafiki zako wasipost kisa wewe hupost ukimfunga Nottingham?Hata wakati Arsenal tupo hovyo hovyo hovyo kuna mechi tukishinda nilikua sizishangilii wala sizipost. Wanangu wa United naona wote wameweka status ushindi wa jana, hivi unaanzaje shangilia ushindi dhidi ya Nottingham? Imepanda daraja, ikakosa wadhamini maskini.
Yaani timu kama hiyo ilikua hainishtui kuifunga ila ilikua inanishtua ikinifunga
We unatakajeKwa hyo unataka hao rafiki zako wasipost kisa wewe hupost ukimfunga Nottingham?
Wanasema 10 hug ana jicho la kusajiliHili silipingi
Usiwe na wivu kisa wewe hupost wenzio wanapost.We unatakaje
Hii taarifa inaisaidiaje Arsenal kushinda mechi inayofuata?Eti Sasa hivi Anthony inaonekana MMEPIGWA , tuliposema mechi ya Kwanza tu japo alifunga ,kuwa humu hakuna mchezaji ,tuliambiwa tuna chuki sababu kaifunga Arsenal
Unajielezea sana. Lazima mkubali pale mmepigwa!Hii taarifa inaisaidiaje Arsenal kushinda mechi inayofuata?
Wewe hujui kitu kushinda EtH aliyemsajili. Antony bado hajafikia full potential, halafu United tunaunda kikosi (bora barani Ulaya) tunataka timu yetu iwe na qualities sawa kwa kikosi cha kwanza mpaka bench. Nyie endeleeni na wachezaji wenu wa mafungu.
Hata Arsenal kuna wachezaji last season walionekana wa kawaida sana ila msimu huu wanakiwasha. Kinachowasumbua ni value tu ya Antony ambayo haina uhusiano na uwezo wake. Ajax walitaka ile pesa kutokana na vitu vingi na sisi tukakubali, shida iko wapi tuki-spend €100m au kisa timu yenu haiwezi?
Kwaiyo wewe unamfahamu sana Anthony kuliko ETH na jopo lake?Eti Sasa hivi Anthony inaonekana MMEPIGWA , tuliposema mechi ya Kwanza tu japo alifunga ,kuwa humu hakuna mchezaji ,tuliambiwa tuna chuki sababu kaifunga Arsenal
Acha makasirikio ,tunaisubiri hiyo timu tishio [emoji1787]Hii taarifa inaisaidiaje Arsenal kushinda mechi inayofuata?
Wewe hujui kitu kushinda EtH aliyemsajili. Antony bado hajafikia full potential, halafu United tunaunda kikosi (bora barani Ulaya) tunataka timu yetu iwe na qualities sawa kwa kikosi cha kwanza mpaka bench. Nyie endeleeni na wachezaji wenu wa mafungu.
Hata Arsenal kuna wachezaji last season walionekana wa kawaida sana ila msimu huu wanakiwasha. Kinachowasumbua ni value tu ya Antony ambayo haina uhusiano na uwezo wake. Ajax walitaka ile pesa kutokana na vitu vingi na sisi tukakubali, shida iko wapi tuki-spend €100m au kisa timu yenu haiwezi?
Mbona mnakuwa wakali hivo[emoji1787][emoji1787][emoji3]Kwaiyo wewe unamfahamu sana Anthony kuliko ETH na jopo lake?
Hata kama tukipigwa hela umetoa wewe?