Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Weghost sio striker mbaya anahitaji muda, shida ni kwamba Manchester haiitaji muda inataka deliverer,inataka goalgeter.....

MANCHESTER UNITED inataka mtu a parform, naona ni muda sahihi wa HARRY KANE kutua Carrington..sababu ni striker anaekupa uhakika wa magoli kumi + kwa msimu, haijalishi majeraha yanayomuandama
 
Hata wakati Arsenal tupo hovyo hovyo hovyo kuna mechi tukishinda nilikua sizishangilii wala sizipost. Wanangu wa United naona wote wameweka status ushindi wa jana, hivi unaanzaje shangilia ushindi dhidi ya Nottingham? Imepanda daraja, ikakosa wadhamini maskini.

Yaani timu kama hiyo ilikua hainishtui kuifunga ila ilikua inanishtua ikinifunga
 
Daah siku hizi mna mdomo nyie ole wenu mlikose tutaanguaje kicheko
 
Pumba
 
Goalkeepers Alisson (1) and Ederson (1) have more league assists than Antony this season (0).

Should Man United be looking for more from their €100m man?
 
Asubuhi unaamkia nyumba ya jirani
 
πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„ Boss Jackwillpower waache tu hawa. Mahesabu yao ni kama zile MLM schemes za GNLD na Forever Living Products πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„
 
Kwa hyo unataka hao rafiki zako wasipost kisa wewe hupost ukimfunga Nottingham?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…