Cndio hapo mkuu, hiyo jay pili watajua hawajui.Halafu wamekariri team ya msimu uliopita waliyoifunga Emirates viungo walicheza Matic na McTomminay
Arsenal hii mechi hawatoboi. Kipigo ni palepale Emirates.Halafu wamekariri team ya msimu uliopita waliyoifunga Emirates viungo walicheza Matic na McTomminay
Ila mkuu una andika hapa, ila moyon kwako una wasi wasi tele....Arsenal hii mechi hawatoboi. Kipigo ni palepale Emirates.
Kaka mbona Arsenal inakunyima usingizi sanaHizi ndiyo aina ya mechi zinawapa kiburi Arsenal
7 shots on target conceded against Spurs (wakiwa na DM wao) halafu timu kama United ambayo ilipata a total of 4 shots on target against City ni mbovu kwasababu watacheza Emirates.
United wakiwa away wana 1.67xG. A proper humbling ndiyo kitu itawafaa Arsenal, wanajisahau sana.
View attachment 2486472
Tutarudi humu kufukua hii comment, hatuongei sanaUnited mechi aliyoongoza kwa ball possession against big 6 ni ya Spurs tu nyingine zote opponents ndiyo wanakaa sana na mpira lakini kipigo kinakuwa kwao.
Kama kawaida yetu pasi 5 goli. Nyie Arsenal mnatamba sana kwasababu mmewafunga wachovu kama Spurs. Yale magoli ni moja tu la Captain ndiyo utahesabu kama kitu Arsenal walifanya kwenye ile mechi. 2nd half timu ilikatika mlipoteana sana na mlipelekewa moto.
Hii mechi mmeirahisisha sana lakini hamjui kitu mnachoenda kukutana nacho, nyie mnaamini atmosphere ya Emirates tu, pale tuna wachezaji wamecheza Camp Nou, wamecheza kwenye big stages unadhani Emirates ni sehemu utaweza kuwapoteza?
Jiulize, mnaenda kukutana na timu ya aina gani? Ni tofauti kabisa na ile iliyowapiga 3. Bora zaidi!
Twende na takwimu, timu zenye magoli mengi EPL msimu huu ni zipi?Pasi 5 goal, pasi nying arsenal magoal mengi united
Asante mkuuDebut for WoutView attachment 2486717
Arsenal wanaongea kama vile akiwepo Partey mpinzani hapati shot on target hata moja. Kwa kweli ile game yao na spurs,ni bahati haikuwa upande wa spurs tu ila walitengeneza nafasi nyingi nzuri sana ila Ramsdale alifanya kazi yake vizuri sana.Hizi ndiyo aina ya mechi zinawapa kiburi Arsenal 😁
7 shots on target conceded against Spurs (wakiwa na DM wao) halafu timu kama United ambayo ilipata a total of 4 shots on target against City ni mbovu kwasababu watacheza Emirates.
United wakiwa away wana 1.67xG. A proper humbling ndiyo kitu itawafaa Arsenal, wanajisahau sana.
View attachment 2486472
Kaka malizana na timu ya weusi kwanza, mambo ya Partey baadaeArsenal wanaongea kama vile akiwepo Partey mpinzani hapati shot on target hata moja. Kwa kweli ile game yao na spurs,ni bahati haikuwa upande wa spurs tu ila walitengeneza nafasi nyingi nzuri sana ila Ramsdale alifanya kazi yake vizuri sana.
😀nimekuja nisome hii comment kwanza kabla ya kwenda kibanda umiza....Manchester united inacheza leo na dunia nzima ina furaha
Prediction
Crystal palace 0 vs Manchester united 1
Time
5.00 usiku
GGMUView attachment 2486402