Counter attacking football ni falsafa ya Man United. Nafikiri katika makocha wa United ni Van Gaal pekee ndiye alikuwa anakuwa na timu yenye kuwa na possession sana.What a win,,,
Bado hatuchezi vzr kwa timu zinazoposses mfano city, but muhimu points !
Huyu Casemiro Kama tulimuiba, anadeliver sana,,,he was almost everywhere, haaland anajua shughuli yake !
#GGMU
Daah! We jam mnafiki sanaKwan Man U hii waleteni hao arsenyeto hata kesho
Man u ilifaa kushiriki uefa kuliko Cheltako mpira haupo fair
GGMU
Tuliza mnyungu huo, utajua hujui.Kwakweli mm mwenyewe shabiki la Liverpool naomba Arsenal mbebe hili kombe
Vitoto vya Mwa-City vina matatizo ya akili sana, niliviambia kuwa kuna tofauti kati ya kuongoza mechi na kushinda mechi vilitaka kuniua kwenye kibanda umiza.Muda bado guys
Haalland ni Kibu Denis aliyechangamka isipokuwa tu mfumo wa Mwa-City unambeba.Casemiro anachomfanyia Haalan, PEP kinamuondoa raha kabisa.
Wakati mwingine mpira hutegemea na winning mentality ambayo Man Utd walikuwa nayo hivi karibuni kwa kushinda mechi 5 mfululizo, pia mpira bahati wala si ubora wa ku-possess, kushambulia na kuzuia tu.Uzuri nyie wenyewe mnakiri huu mpira wenu arsenal atawaua nyingi
Huyo Halaand usimdharau, vijana walikaa nae vizuri, bila hivyo ni hatari mno. Hata huyo Mbappe kuna siku kwenye club bingwa Ulaya, vijana wa Old Traford walikaa nae vizuri, hakufanya kitu, Rashford akawaua vizuri tena kwao.Haalland ni Kibu Denis aliyechangamka isipokuwa tu mfumo wa Mwa-City unambeba.
Kuna Kenge wanamlinganisha Haalland na King Mbappe kiubora katika kufunga magoli, hakika Wajinga hawawezi kuisha duniani
Man Utd mna Kocha bora sana, wekeni mpunga wa kutosha sasa katika usajili ili mumuaibishe Pep Kipara kuwa ni Kocha wa kawaida sana isipokuwa amejificha katika kichaka cha mahela ya WaarabuWe did it guys..
Mzee wa "hajafukuzwa tu" sasa hivi utakuwa unaimba "Man Utd hajabeba tu ndoo"Wapinzani chali
Kupenda kubaya nyie mpira umeisha na chozi lanitoka
Mchezaji anayeshangilia tu Ball Possession ni wa kumuonea huruma sana.Tutawachapa tena, nyie tutawaachia mmliki mpira kama falsafa yenu ila kipigo lazima kiwe upande wenu
Kaliwa tunda kimasiharaNilishasemaa leo Man city lazima akaeeee
kamegwaa kibabeeee...imepenyaaa shwaaangKaliwa tunda kimasihara