Ingawa sasa hivi Casemiro ameshazoea ligi ya Uingereza. Hivyo kuna unafuu kidogo hapo kati.Haswaa lzm pale kati 2we na viungo punda wawili ili tubalance lkn tukisema tucheze nao km last game watatufunga
Japo Serie A siyo ligi ngumu sana kama EPL ila Osimhen ni mchezaji mzuri pia.Naangalia mchezo wa Napoli v Juve, huyu chalii Victor Osimhen anastahili kuwa main priority majira ya kiangazi.
Mechi 14 goli 12 ktk Serie A msimu huu sio mchezo, miaka 24 tu.
Hiyo ligi ya serie A.Japo Serie A siyo ligi ngumu sana kama EPL ila Osimhen ni mchezaji mzuri pia.
Yupo vizuri kwenye maeneo mengi sana aerial quality ni kubwa, mikimbio yake perfect, hana uchoyo sana.
Osimhen ana mengi mazuri uwanjani ile kiwango chake cha kujituma ni kizuri pia.Hiyo ligi ya serie A.
Marco anautovic na miaka yake 33 ana magoli 8 katika mechi 14, huyu jamaa tulishafikia hatua nzuri ya kumsajili lakini kashfa zake zikafelisha mpango huo.
Victor osimhen ana magoli 12 katika mechi 14.
Kama tulimtaka Mark Arnatovic ni heri tungemfikiria pia Alexander Mitrovic ni replica ya ArnautovicHiyo ligi ya serie A.
Marco anautovic na miaka yake 33 ana magoli 8 katika mechi 14, huyu jamaa tulishafikia hatua nzuri ya kumsajili lakini kashfa zake zikafelisha mpango huo.
Victor osimhen ana magoli 12 katika mechi 14.
Kuwafunga City tunatakiwa tuperfect mikimbio yetu kwenye transition.Presha na khofu kwa wachezaji ndiye adui yetu mkubwa pindi tunapocheza na timu zenye ubora mfano wa manchester city.
Tunahitaji kuazima confidence ya wachezaji wa liverpool japo kwa dakika 90 mchana wa leo.
City atakufa mchana wa leo kama tutaondoa uoga
Manyumbu matamu sana..
nyam nyam nyam ..
tunakuja kujilia vyetu pale kwenye matofali.
nyamu nyamu nyamu nyamu...
Mama Cita Sinyorita,Manyumbu matamu sana..
nyam nyam nyam ..
tunakuja kujilia vyetu pale kwenye matofali.
nyamu nyamu nyamu nyamu...
Napoli ndo timu inayocheza soka safi zaidi ulaya kwa sasa kwa maoni yanguOsimhen ana mengi mazuri uwanjani ile kiwango chake cha kujituma ni kizuri pia.
Pressing anayofanya na namna anavyofanya hold up play anafaa sana kuwa timu.
Japo kwa uelewano walionao Napoli Any striker would do wonders.
Napoli wamekusanya squad yenye wachezaji wenye uwezo wa kucheza mpira namna wanavyotembea uwanjani, utulivu wanapopata mpira, pasi za kueleweka kila kitu excellent.
Huyu leo anawakanda cityMan United confirm deal for Wout Weghorst.
Loan from Burnley until the end of the season.
No option or obligation to buy. United paying £2.6m loan fee to Burnley.
Burnley paying €2.825m (£2.5m) to Besiktas. United paying full wages.
Man City tops the list wakifuatiwa na Napoli.Napoli ndo timu inayacheza soka safi zaidi ulaya kwa sasa kwa maoni yangu
Hapa sijaelewa Shaw CB tena auMartial + Shaw wameanza kwenye kikosi cha kwanza