Manchester United (Red Devils) | Special Thread


At #ManUnited pundits' opinions have never mattered!!! Hence, your argument becomes inituitive.....

And I don't think there is a football club that make decisions based on what pundits say....otherwise, Arsenal would be without Wenger and Ramsey.
 
Hivi nina swali kwa nyie Fans wa MANURE...hivi ni kweli MOYES ataweza kuibadili team yenu at the time atakavyo re-built up the whole team? Napata mashaka kwakuwa amekuwa miaka mingi pale Everton na usajili wake wote hajawahi kuipa toffees anything..hii akili nyie mmeipata wapi?
 

Akili yao kama wale wadudu weupe wanaokaaga kwenye mbolea...contains nothing that s.h.it. inside...MANURE
 

Soma hiyo post yangu vizuri uielewe. Sishabikii Manchester sio United au City. Nachowahimiza hawa Gloryhunter ni kumkubali kocha wao sababu aliajiliwa kwa long term vision sio kuja kubeba kombe. Inaelekea wewe ndo kama wale mashabiki wa Arsenal (in case ni Arsenal fan) mliokuwa mnapiga kelele Wenger afukuzwe kazi apewe sijui Laudrup baada ya kubeba League Cup. Anyway, ngoja nikusaidie kutafuna ili umeze ni fan wa ARSENAL miaka nenda mika rudi hadi kufa. Wapenzi wengi (kama hao wanaolialia Moyes afukuzwe) wanajali timu ishinde kwa gharama yoyote wanasahau kocha yoyote atakayekuja ataanza upya, itakuwa kama kujenga ukute afu ukifika sehemu fulani unabomoa na kuanza upya. No stability. Itakuwa kama unavyoona Chelsea, tangu 2004 makocha wameingia na kutoka na kuingia na kutoka kama Dala dala hawana stability.
 

joto hasiraaaaaaaaaaaaaaaaaa
 

stability maana yake nini hapo ulipoitumia?
 
Full Starting XI: de Gea, Rafael, Smalling, Evans, Buttner, Carrick, Fletcher (C), Januzaj, Welbeck, Kagawa, Hernandez.

Subs: Lindegaard, Evra, Jones, Giggs, Young, Cleverley, Valencia.
 
Baada ya kuwa na uhakika kabla ya jua kuzama siku ya ijumaa juan mata atakuwa shetani mwekundu wachezaji wamekuwa na ari kubwa leo huyu sunderland tutampiga nyingi sana, gooooners msikimbie kaeni hapo hapo..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…