Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mtakoma Leo Lazima niwafungie darini!

Bado Nyie siku mkitia mguu Darajani mnanyongwa!

Hamna lolote kelele zenu tu washabiki Morinho mwenyewe anajua ndo mana hapigi kelele kama zamani
 
Oooh! Mechi za nyumbani Tunafungwa tunataka mechi za ugenin ndio tunashinda! haya sasa mechi ya ugenini hiyo hapo mmepewa so hongereni kwa kuchukua point 3.
 
Nasubiri kusikia mpenzi wa Man UTD wa Kikenya au Kiganda amejinyonga baada ya kipigo hiki.
 
Mambo yatakuwa mazuri tu, kwenye maisha kuyumba kupo ila bado hatujaanguka na hatutaanguka kamwe.
 
Ahahahahahahahahahahahahahahahaahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahhahahahhahahahahangojeni kesho niingie ofisini mtalia aisee.
 
Ahahahahahahahahahahahahahahahaahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahhahahahhahahahahangojeni kesho niingie ofisini mtalia aisee.



Mkuu waonee huruma! Maana misiba imewashika sn!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…