Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kununua United kwa £4B ni bad investment unless uwe mfanyabiashara na shabiki wa United.
Hiyo ni kama 3.7B katika dollar, inaweza kuwa hela nyingi ila kumiliki tim kwenye premier league tena Club like Man Utd sio bad investment. Moja ya club 3 dunian zenye fanbase kubwa

Why unahisi Glazer family wahihusishe Rainee group, na why mwanzon walikataa offer ya Sir Jim Ratclife, now wanahitaj Bidding war na kiasi wanachokitaka watakipata tu.
 
Hapa kuna vitu Viwili kuna Thamani ya Club na Faida ya investment.

Thamani ya Club kama Manchester United ni kubwa mara kumi ya hiyo Newcastle. .
Ndio maana nikasema Manchester United ikiuzwa itakuwa ni zaidi ya £4billions.
Mfano mdogo Chelsea juzi imeuzwa kwa £3 billions na ushee.

Ujika kwenye faida ya investiments..
Hili ni Swala pana.
Wamiliki wengine Faida zao si direct. Mfano timu hizi zinazomilikiwa na Waarabu( PSG, Mancity na Newcastle) hazina faida ya maana ukilinganisha na investments wanazofanya.

Na hata Manchester united ikiuzwa mmiliki yeyote atakae kuja hakuna faida ( kifedha) ya maana atapata ukicompare na investiment atakayofanya.
 
Wayne Rooney: "It's sad to see the story of one of the greatest players of all time, Cristiano Ronaldo at Manchester United, ended like this. He was a good servant to the club. I wish him the best wherever he goes."

#RonaLdoFinallYOUT

#GlazerOUT

#GGMU
 
United have now started exploring the market for a striker to sign in January.


#FabrizioRomano
#RonaLdoFinallYOUT

#GlazerOUT

#GGMU
 
Sir Jim Ratcliffe will bid for #MUFC after the Glazers formally put the club on the market.

#JamesDucker
#RonaLdoFinallYOUT

#GlazerOUT

#GGMU
 
Watanzania wengi hawajui mpira, na kuna kundi la hawa waliofuata mpira kwa sababu ya betting ni tatizo kubwa zaidi.

Wanautazama mpira katika dimension moja tu ( Goals)
 
Avram Glazer about Cristiano Ronaldo contract terminated: “Well, I'll tell you about Cristiano Ronaldo - he's a great Manchester United player, I appreciate everything he's done for the club”.

“I wish Ronaldo the best luck in the future”.

#RonaLdoFinallYOUT

#GlazerOUT

#GGMU


man utd |
 
Avram Glazer: “The board went through a process and decided to explore different strategical options for Manchester United”.

#RonaLdoFinallYOUT

#GlazerOUT

#GGMU


man utd |
 
ICD are seen as a front runner and have a "net worth" of $305bn dollars.

Sir Jim Ratcliffe is also preparing to make the bid to buy Man United.

#RonaLdoFinallYOUT

#GlazerOUT

#GGMU


man utd |
 
Official: Cristiano Ronaldo has been banned for two games and fined £50,000 by the FA for hitting a phone out of a fan's hand at Goodison Park last season. The ban will apply to domestic games at his next club.

#RonaLdoFinallYOUT

#GlazerOUT

#GGMU


man utd |
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…