Pogba yupo wapi? Lukaku?Utd ndio imemtengeneza Ronaldo, angekuwa Chelsea ama Arsenal angekuwa tu kama kina Saka.
kuanzia enzi za Kina Charlton, Law, Best, Cantona, Beckham etc united imetengeneza Global superstar,
United Pekee mtu kama Depay, Bastian, Martial etc anaingia top 3 ya mauzo ya Jezi.
Hata leo ukiangalia Fanboy wengi wa Ronaldo wanatoka Man U.
Ndo kinachotakiwa.Dawa yake ni kuendelea kubaki hapo, halafu hakuna kupangwa mechi yoyote, ili aondoke bure mkataba wake ukiisha. Amejilipua ili United wavunje mkataba, ambapo ikiwa hivyo itabidi alipwe!
Hii ndiyo dawa, mpaka mkataba uishe
Hata Glazers wanazidi kupewa presha ya kuachia timu. Na wataiachia tu.Hakuna jipya ambalo kaongea kuhusu hili. Kwani toka Glazers wamechukua timu, wamekuwa wakipingwa. Hilo la kutokuwa na progress nalo limeongelewa sana. Kumbuka habari za United kutokuwa na technical director katika modern football! Kuhusu kivuli cha SAF kubaki nalo limesemwa sana.
Naamini chini ya ETH mambo mengi yatabadilika kuanzia Carrington.
Mtaani tunawaita "masela mavi" hao.Mkuu this is just the game,unaweza ukacoment kistaarabu na ukaeleweka vizuri tu,jenga hoja kistaarabu tu utaeleweka.
Huyu jamaa hajui matajiri walivyo mafia nini anabeza uwekezaji wa watu kizembe zembe namna hio[emoji599][emoji599][emoji981]| NEW: Cristiano Ronaldo: "The Glazers DO NOT care about #mufc." [@PiersUncensored]
Na aombe sponsorship deals alizonazo zisiingie nzi kwa tabia yake mbovu!Huyu jamaa hajui matajiri walivyo mafia nini anabeza uwekezaji wa watu kizembe zembe namna hio
Unamanisha matajiri watamuua Ronaldo 😁😁😁Huyu jamaa hajui matajiri walivyo mafia nini anabeza uwekezaji wa watu kizembe zembe namna hio
Hamna si kumuuaUnamanisha matajiri watamuua Ronaldo 😁😁😁
Ni bora Man U ikamuachia akaenda zake kuendelea kumlipa pesa ya bure ni ujinga. Real Madrid tulifanya hivyo kwa Gareth bale mpaka msimu ulioisha jambo ambalo halikuwa na faida yoyote ile.Dawa yake ni kuendelea kubaki hapo, halafu hakuna kupangwa mechi yoyote, ili aondoke bure mkataba wake ukiisha. Amejilipua ili United wavunje mkataba, ambapo ikiwa hivyo itabidi alipwe!
Hii ndiyo dawa, mpaka mkataba uishe
Dogo nae kumbe mshamba mshamba[emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]View attachment 2417223
Mazoezi atakua anafanya na watoto under18Ndo kinachotakiwa.
Asikanyage hata uwanja wa mazoezi.