Nonsense from The NonsenseRespect is a two way traffic, i cant respect you if i see you dont respect me enough. By the way respect is earned not given.
Kunya tawaza ulaleWewe ndio mjinga ,unahisi mafanikio ya furgson yalikuja Kama makalio Kila mtu anayo ,yey mwenyewe alichezea vichapo mbali mbali ,mpka kuja kutengeneza system yake iliyompa mafanikio .....saizi mmekalia kutimua timua tu makochakwa vile wewe ni mamruki na shabiki wa 2006 huwezi elewa
Hao ndo wachambuzi wa buza 😊 wajuaji kuzidi hata man U wenyewe😁😁You know nothing about football kaa kimya utachekwa
1999 sio 1997Hebu niambie kocha hana mbinu anawaonyesha goli ya 1997 alafu ana waacha mdiscuss
Kesho yake 5 bila
Ronaldo kasema ukweli
Yaani unaondoka man u unarudi baada ya miaka 10 naa unakuta watu wale wale alafu utegemee maendeleo yale yale
Kuongea na kutenda ni vitu viwili tofauti.We jamaa kichwa yako kwenye mpira
imejaa madini tupu.
Nikinunua timu daraja la pili nakuchukua uwe DOF, naimani baada ya misimu miwili timu yetu itapanda daraja, ndani ya miaka 5 nikiwa na wewe ninauhakika tunachukua kombe ligi kuu.
Dawa yake ni kuendelea kubaki hapo, halafu hakuna kupangwa mechi yoyote, ili aondoke bure mkataba wake ukiisha. Amejilipua ili United wavunje mkataba, ambapo ikiwa hivyo itabidi alipwe!Ronaldo kawachana aisee dah
JAMAA kajilipua hatari Sana
Huyu harudi Tena man u
Hii ndiyo dawa, mpaka mkataba uisheTen Hag awe na ujasiri wa kumuweka benchi.
Hakuna jipya ambalo kaongea kuhusu hili. Kwani toka Glazers wamechukua timu, wamekuwa wakipingwa. Hilo la kutokuwa na progress nalo limeongelewa sana. Kumbuka habari za United kutokuwa na technical director katika modern football! Kuhusu kivuli cha SAF kubaki nalo limesemwa sana.Ila kuna vitu kaongea bora tu kapiga bomu maana ni dongo direct kwa Glazers wanaomkumbatia.
Pogba yupo wapi? Lukaku?Utd ndio imemtengeneza Ronaldo, angekuwa Chelsea ama Arsenal angekuwa tu kama kina Saka.
kuanzia enzi za Kina Charlton, Law, Best, Cantona, Beckham etc united imetengeneza Global superstar,
United Pekee mtu kama Depay, Bastian, Martial etc anaingia top 3 ya mauzo ya Jezi.
Hata leo ukiangalia Fanboy wengi wa Ronaldo wanatoka Man U.
Ndo kinachotakiwa.Dawa yake ni kuendelea kubaki hapo, halafu hakuna kupangwa mechi yoyote, ili aondoke bure mkataba wake ukiisha. Amejilipua ili United wavunje mkataba, ambapo ikiwa hivyo itabidi alipwe!
Hii ndiyo dawa, mpaka mkataba uishe
Hata Glazers wanazidi kupewa presha ya kuachia timu. Na wataiachia tu.Hakuna jipya ambalo kaongea kuhusu hili. Kwani toka Glazers wamechukua timu, wamekuwa wakipingwa. Hilo la kutokuwa na progress nalo limeongelewa sana. Kumbuka habari za United kutokuwa na technical director katika modern football! Kuhusu kivuli cha SAF kubaki nalo limesemwa sana.
Naamini chini ya ETH mambo mengi yatabadilika kuanzia Carrington.
Mtaani tunawaita "masela mavi" hao.Mkuu this is just the game,unaweza ukacoment kistaarabu na ukaeleweka vizuri tu,jenga hoja kistaarabu tu utaeleweka.
Huyu jamaa hajui matajiri walivyo mafia nini anabeza uwekezaji wa watu kizembe zembe namna hio| NEW: Cristiano Ronaldo: "The Glazers DO NOT care about #mufc." [@PiersUncensored]
Na aombe sponsorship deals alizonazo zisiingie nzi kwa tabia yake mbovu!Huyu jamaa hajui matajiri walivyo mafia nini anabeza uwekezaji wa watu kizembe zembe namna hio