The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,480
- 98,527
Kama unajua unajua tu mkuu hakuna cha kusema kaja flani cjui kaja nani, hakuna kitu kama hicho. Kuna watu walikuwa wansema kuja kwa Ronaldo kumemaliza kiwango cha Bruno, kiaje? Wewe leo unasema kuja kwa Ericksen, sio kweli kabisa.Kuna mawili. Moja, wachezaji wengi wameshaweka akili zao Qatar; jinamizi la majeruhi kwa baadhi ya wachezaji limewafanya wawe waangalifu. Pili, kwa kuwepo kwa Eriksen ile 'shine' ya Bruno huwezi ona, maana kuna mtu mwingine mwenye kufanana naye. Players go through some small dips occasionally; that doesn't mean ati "amekuwa wa hovyo" kabisa!!
Pale Madrid alikuwepo cr7, ilikuwa hata aje nani jamaa ndio alikuwa mwamba pale kwa misimu yote aliyokuwepo pale, na pale Barca alikuwepo Leonel, hata aje nani jamaa alikuwa juu tu, zaidi zaidi hao waliokuwa wanakuja ndiyo walikuwa wanapambana kutengeneza bond na hao viumbe ili wapate nafasi ya kuwa kwenye first eleven. So, ku flop kwa Bruno hakuhusiani na ujio wa yeyote yule zaidi ya yeye mwenyewe kushindwa kutunza kiwango chake.
Na hapo inawezekana huenda jamaa sifa zilimlevya au ameongeza sana starehe hasa mbususu kuliko kufanya mazoezi.