Hasa striking.Kwasasa hatuna
Kabisa. Nilikuwa naongea na jamaa mmoja hapa kuhusu kutuliza mtu anapiga kichwa hovyo sana.At times wachezaji wetu wanacheza kama mazuzu..sehemu ya kutuliza na kushoot mtu anapiga kakichwa uchwara utadhani bibi yake ndo kipa golini..sehemu ya kutoa assist mtu anatoa macho..yaani hovyo kabisa.
Thanks to Garnacho..but this is undeserved win.
Boss kwema?Hata Kama Mpira Unadunda Bado Sijaiyona Manchester United Ya Kuifunga Fulham..!
Fulham 2-1 Manchester United
Boss, sasa wewe si Glazers wangekupa timu? Kocha yupo na wachezaji kila siku Carrington, hatuwezi kujua zaidi yake.KUNA MTU ANAWEZA KUNISAIDIA ANIAMBIE KWA NINI HUYU KOCHA NI MJINGA KIASI HIKI. GARNACHO, TOMINAY, FRED...SIJUI KWA NINI HAWAANZI ILI TUANGALIE MECHI KWA RAHA. BIA YANGU SASA HAPA NAKUNYWA KWA SHIDAAAA
Boss, ukijua kwanini kuna 'Fergie time' huwezi kushangaa hili!Hili litimu litakuja kutuua kwa presha.
Japo tumepata point 3 ila muda wote roho mkononi.
Wachezaji wetu wakishapa goli la kuongoza hua wanarelax sana wanajiona tayari wameshamaliza kazi yao nyumbu kabisa hawa.
Lisandro na DeGea unawaacha wapi?Moto tumepelekewa mwingi mnoo
Ngoma tumechezeshwa vyakutosha
Pongezi kwa baadhi ya wachezaji mfano mimi nampongeza Malacia ambae juhudi zake uwez kuzsikia midomoni lakini dogo kakata Umeme kapangua pasi nyingi sana zilizokua zinaelekea golini..Ericksen,,Gernacho aisee katuokoa sana kilio changu kwake ni kilekile STAMINA dogo hana nguvu kabsa ata pale kasukumwa kidogo tu akapaa kulee
Hii mechi haikuwa level ya yule mtoto.Hii mechi haikuwa level ya yule mtoto.
Hii mechi haikuwa level ya yule mtoto.
Wamesave sana aisew sasa naelewa Fulham walimfungaje liverpool vijana wanasakata boli hasa wakiwa home ila kwa city walipigwa 4+ nachukiaga sanaLisandro na DeGea unawaacha wapi?
Leo tulikuwa tunafungwa si chini ya goli 3.
Huenda timu ya taifa akang'aa kama vile sio Ronaldo wa Man United.Kingine mmeona kusajili mchezaji anayeforce kuja ina msaada, Martinez, Anthony, malacia watu bana.
Ericksen na casemiro wanasaidia kutoa depth na kuondokana na mcfred
Forward anunuliwe ambaye anataka acheze man u.
Ronaldo kwa heshima asepe January.
Hii world cup Portugal shauri yao Ronaldo ndie atakua tatizo kwao
Akimeza ustaa awe mtu wa kuwamotivate from bench awe anaingia second half naona wanaweza fika mbali.
Sasa akiwa uwanjani wachezaji watakua wanampa pass kuepusha lawama.
Akikabwa kwisha.
Hata sisi tulikua na uwezo wa kuwapiga nne maana wanacheza sana mpira wa wazi....Wamesave sana aisew sasa naelewa Fulham walimfungaje liverpool vijana wanasakata boli hasa wakiwa home ila kwa city walipigwa 4+ nachukiaga sana
Bora hata ya Welbeck kuliko huyo mmatumbi wetu.Elanga ni kama Welbeck tu.