huyu mtoto Garnacho ni mzuriiii, Sancho auzwe kabsaaa
Kocha anawabania sana....VDB akae nje vijana wapige goziPellistri na Iqbal nao wapewe muda
Sijui nini kimempata VDB! Yaani hata kumtetea sasa inakuwa ngumu, maana anapewa nafasi lakini haonyeshi kama anastahili.
VDB auzwe haraka sana. Hamna mchezaji pale.
Nikiangalia uchezaji wa Eriksen natamani awe ndio anatimiza miaka 24.
@KENGE 01Sema mda mwngne tunaujuaji sana mashabiki kila chimbo la Man U lilikua linabeza kikosi cha ETH leo ila kimecheza vzur kuanzia dakika ya 0 mpaka 90 kimecheza kuliko kile cha villa park na Unai hajafanya mabadiriko makuubwa kina Ramsey,Watkins waliotukaanga ndo walewale wa Leo sasa najiuliza tulikwama wapi Villa park Bruno nae sijui anamapepo game nyngne mpaka unataman kumchapa ila game nyngne anakiwasha kama hii ya leo
Gernacho future is Bright...Rash hatukudai leo..Martial unakaa sana offside...Malacia,Maguire Kakichafua MNOO NA KADI JUU ,,UYU KIPA APEWE game nzito tuone uwezo wake villa hawajapiga shot on target nyingii tuone uwezo wake wa saves
FT 4-2
Last game commentator alisema kwa namna anavyocheza lazima atakuja kuvaa jezi no. 7 ya United.Hahaha, Sancho amepoteza kujiamini nadhani, akipatiwa muda atakaa vizuri. Tulitarajia mambo anayofanya Garnacho ndio angeķuwa anayafanya Sancho,ila hali imekuwa tofauti.
Garnacho akitunzwa vizuri hapa tuna mchezaji hatari sana.
Maguire amecheza vizuri sio..Okay.Sema mda mwngne tunaujuaji sana mashabiki kila chimbo la Man U lilikua linabeza kikosi cha ETH leo ila kimecheza vzur kuanzia dakika ya 0 mpaka 90 kimecheza kuliko kile cha villa park na Unai hajafanya mabadiriko makuubwa kina Ramsey,Watkins waliotukaanga ndo walewale wa Leo sasa najiuliza tulikwama wapi Villa park Bruno nae sijui anamapepo game nyngne mpaka unataman kumchapa ila game nyngne anakiwasha kama hii ya leo
Gernacho future is Bright...Rash hatukudai leo..Martial unakaa sana offside...Malacia,Maguire Kakichafua MNOO NA KADI JUU ,,UYU KIPA APEWE game nzito tuone uwezo wake villa hawajapiga shot on target nyingii tuone uwezo wake wa saves
FT 4-2
VdB hivi amefanya chochote kweli?..Tufanye kucashout mapema.
VDB auzwe haraka sana. Hamna mchezaji pale.
Nikiangalia uchezaji wa Eriksen natamani awe ndio anatimiza miaka 24.
wacha wauane, hapo Liver atutolee City, liver anaweza pigwa na watoto ila City ngumuTumepewa Burnley.
Hii ratiba mbona sijaielewa? Tutacheza na Burnley tar 20 mwezi ujao. United tuna wachezaji zaidi ya 12 WC.wacha wauane, hapo Liver atutolee City, liver anaweza pigwa na watoto ila City ngumu
Yaani Ronaldo ndo kirusi pale OTAlafu Ronaldo sometimes anafanya mambo magumu kwa kulazimisha ashoot, ona kufunga hawa wanapeana pasi pasi with spirit.
Kukaa nje ya uwanja muda mrefu kunashusha kiwango.Sijui nini kimempata VDB! Yaani hata kumtetea sasa inakuwa ngumu, maana anapewa nafasi lakini haonyeshi kama anastahili.