Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Utakuwa umeshiba mihogo inakulevya
Juz apa nmesema man u haija improve kokote shida zilizokuepo enz za mou ndo hzo hzo tunazo leo hii...

Kufungua defence line ya wapnzan changamoto kichz pira utatoka kushoto kwa rshford, utarud kwa bruno, then kulia kwa elanga/antony, unarud kwa dalot, then martnez martnez kipa.. hakuna pattern za kutafta magoli

Tunazdiwa ata na kina westham bn
 
Service gn nyie mnazitaka ikiwa anapewa mipira anashindwa ku convert kuwa goals... tunampenda ronado ila tukubali tukatae kashamaliza mpira sio ronado yule wa enz zake
 
Hii mechi ilkua muhim sn kushinda kuliko unavozan ili tuweze kupunguza gepu km kwl tunaitaka top four coz chelsea alkua kashafungwa na spurs alkua na kibarua na liver....

Kudondosha points kwmy mech kama hz ndo kultufanya last season tuikose top four na kuponea chupuchupu kwenda uefa conference
 
#Fernandez?..?
 
PSV director Brands reveals to ESPN meeting with Manchester United last summer to discuss Cody Gakpo. PSV wanted €50m package. β€œMan Utd never made an official bid”.

#FabrizioRomano
#GlazerOUT
#GGMU


manutd
 
Kweli kabisa.
 
Mtu anakwambia cr7 anazingua ila ukimuuliza ni forward gn kafanikiwa pale utd baada ya Ferguson hakuna.
 
Yn wachezaji wapo slow mnoo, Shaw anaongoza kupiga back passes, inakera sana.
 
Mashabiki wa yanga na simba hao hawataki timu zifungwe au kutoa sare.....
 
Service gn nyie mnazitaka ikiwa anapewa mipira anashindwa ku convert kuwa goals... tunampenda ronado ila tukubali tukatae kashamaliza mpira sio ronado yule wa enz zake
Hawa watu na Ronaldo wao bana...
 
Njoo ututeembelee kwenye jukwaa letu la arsenal ndugu upo vzuri cyo Flano anatuzngua tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…