Juz apa nmesema man u haija improve kokote shida zilizokuepo enz za mou ndo hzo hzo tunazo leo hii...Utakuwa umeshiba mihogo inakulevya
Service gn nyie mnazitaka ikiwa anapewa mipira anashindwa ku convert kuwa goals... tunampenda ronado ila tukubali tukatae kashamaliza mpira sio ronado yule wa enz zakeSiku Ronaldo akiondoka wengi mtakumbuka aina ya mchezaji tuliyekuwa naye. Striker, goalscorer, GOAT, goal machine. 'No service, no goals.' Old Trafford hata umlete Haaland utaishia kutukana tu tumepigwa.
Mchezaji kama Bruno mnamlaumu bure tu ila naamini influence ya mazingira aliyokutana nayo klabuni yameshusha kiwango chake.
EtH ni kocha atakayerudisha zama zetu, kitu kinachodhihirisha hilo ni kwasababu ameweza kuleta wachezaji wenye manufaa kwa timu yetu. Suala la kusema leo kazingua kufanya sub hiyo ni mitazamo yetu tu, hata yeye ni binadamu anafanya kitu anachoamini na kukosea kupo tu.
"In football you don't deserve, you win or lose."
Hii mechi ilkua muhim sn kushinda kuliko unavozan ili tuweze kupunguza gepu km kwl tunaitaka top four coz chelsea alkua kashafungwa na spurs alkua na kibarua na liver....Mimi nawashangaa sana mashabiki wanaopiga kelele kwanini tumefungwa.
Hakuna mahali pameandikwa timu zinapaswa kushinda kila mechi au timu kubwa ni lazima zishinde kwa njia yoyote ile.
Kinachotokea ndiyo football ilivyo, kila kosa unalofanya ni faida kwa mpinzani wako.
Cha msingi kocha apewe watu anaowataka huwezi kuhukumu uwezo wake kupitia kitu kilichojengwa na mtu mwingine.
Alimtaka Gakpo na msimu huu ndiyo anawasha moto hatari, mchezaji naye yupo wazi kujiunga. Uvumilivu ni kitu muhimu sana ukiwa shabiki.
#Fernandez?..?Mart
Martial na Rashford wote ni wavivu hawapress ata kama vijana...Ronaldo kachoka ndio
Ila hii timu ata Haaland akija atapata sana shida kufunga
We imagine dakika 90 hakuna clear chance yoyote iliyotengenezwa...hakuna cross yoyote iliyopigwa na kuleta taharuki...kona sijui 5 hakuna hata moja yenye matokeo
Goli lenyewe la kujifunga
Hii timu wachezaji kama kumi inabidi waondoke
1. Maguire
2. Lindelof
3. Fred
4. Mc tominay
5. Rashford
6. VDB
7. Elanga
8. Ronaldo
9. Sancho
10. Fernandes
Not good enough
Kweli kabisa.Siku Ronaldo akiondoka wengi mtakumbuka aina ya mchezaji tuliyekuwa naye. Striker, goalscorer, GOAT, goal machine. 'No service, no goals.' Old Trafford hata umlete Haaland utaishia kutukana tu tumepigwa.
Mchezaji kama Bruno mnamlaumu bure tu ila naamini influence ya mazingira aliyokutana nayo klabuni yameshusha kiwango chake.
EtH ni kocha atakayerudisha zama zetu, kitu kinachodhihirisha hilo ni kwasababu ameweza kuleta wachezaji wenye manufaa kwa timu yetu. Suala la kusema leo kazingua kufanya sub hiyo ni mitazamo yetu tu, hata yeye ni binadamu anafanya kitu anachoamini na kukosea kupo tu.
"In football you don't deserve, you win or lose."
Mtu anakwambia cr7 anazingua ila ukimuuliza ni forward gn kafanikiwa pale utd baada ya Ferguson hakuna.Siku Ronaldo akiondoka wengi mtakumbuka aina ya mchezaji tuliyekuwa naye. Striker, goalscorer, GOAT, goal machine. 'No service, no goals.' Old Trafford hata umlete Haaland utaishia kutukana tu tumepigwa.
Mchezaji kama Bruno mnamlaumu bure tu ila naamini influence ya mazingira aliyokutana nayo klabuni yameshusha kiwango chake.
EtH ni kocha atakayerudisha zama zetu, kitu kinachodhihirisha hilo ni kwasababu ameweza kuleta wachezaji wenye manufaa kwa timu yetu. Suala la kusema leo kazingua kufanya sub hiyo ni mitazamo yetu tu, hata yeye ni binadamu anafanya kitu anachoamini na kukosea kupo tu.
"In football you don't deserve, you win or lose."
Yn wachezaji wapo slow mnoo, Shaw anaongoza kupiga back passes, inakera sana.Umeongea pointi sana...mechi tunazoshinda ni za kinaga ubaga. Kina shaw na dalot wanafika juu wanarudisha mpira kwa CB kisha unazunguka duara tu...hakuna penetration pass yoyote ya kuaminika hakuna chance zinazotengenezwa
Man utd bado sana
Cha kushangaza kila timu ikicheza na Utd inacheza vizuri sana..
Pass za haraka na wanatengeneza chamce nyingi sana...hata Omonia alitupelekesha sana
Anyway labda watabadilika baadhi yao wakiondoka
Mashabiki wa yanga na simba hao hawataki timu zifungwe au kutoa sare.....Mimi nawashangaa sana mashabiki wanaopiga kelele kwanini tumefungwa.
Hakuna mahali pameandikwa timu zinapaswa kushinda kila mechi au timu kubwa ni lazima zishinde kwa njia yoyote ile.
Kinachotokea ndiyo football ilivyo, kila kosa unalofanya ni faida kwa mpinzani wako.
Cha msingi kocha apewe watu anaowataka huwezi kuhukumu uwezo wake kupitia kitu kilichojengwa na mtu mwingine.
Alimtaka Gakpo na msimu huu ndiyo anawasha moto hatari, mchezaji naye yupo wazi kujiunga. Uvumilivu ni kitu muhimu sana ukiwa shabiki.
Hawa watu na Ronaldo wao bana...Service gn nyie mnazitaka ikiwa anapewa mipira anashindwa ku convert kuwa goals... tunampenda ronado ila tukubali tukatae kashamaliza mpira sio ronado yule wa enz zake
Jamaa ni mzigo ila wanaleta excuse, kuna sehemu angepasia winga alafu aingie ndani akapewa, badala yake anafumua juu, mbona martial alimchopia but hakuna kitu badala yake yupo late.Hawa watu na Ronaldo wao bana...
Njoo ututeembelee kwenye jukwaa letu la arsenal ndugu upo vzuri cyo Flano anatuzngua tuMimi nawashangaa sana mashabiki wanaopiga kelele kwanini tumefungwa.
Hakuna mahali pameandikwa timu zinapaswa kushinda kila mechi au timu kubwa ni lazima zishinde kwa njia yoyote ile.
Kinachotokea ndiyo football ilivyo, kila kosa unalofanya ni faida kwa mpinzani wako.
Cha msingi kocha apewe watu anaowataka huwezi kuhukumu uwezo wake kupitia kitu kilichojengwa na mtu mwingine.
Alimtaka Gakpo na msimu huu ndiyo anawasha moto hatari, mchezaji naye yupo wazi kujiunga. Uvumilivu ni kitu muhimu sana ukiwa shabiki.