Nyoka mwenye makengeza
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 870
- 780
Yupo anafanya viipimo kwa ajili ya kukamilisha usajili wake kwenda Preston mkuuTIMEWEKEWA VAN DE BEEK NA ERICKSON, TUTAKIMBIZWA SANA HAPO KATI. MTU ANIAMBIE ANTHONY ALIENDA WAPI? MECHI YA TATU HII HATUMUONI.
KUNA WATU BADO HAWAJAONA UBAGUZI ULIOPO HAPO. TUTAKIMBIZWA SANA....Hivi ni kwamba jamaa hamuamini fred kabisa ama?? Maana ni mara mia 600 kuliko van asee yani leo kuanzia mbele ronaldo, rash, van, nacho,erick sio watu wa kukaba kabisa yani sijui tunachezaje hii mechi.
Dah wacha nikaangalie tu labda watafanya jambo.
RON NI MTU MUHIMU NA YUKO COMMITTED SANA HASA KATIKA KUHAMASISHA VIJANA. ACHA AANZE TUFURAHIE MPIRA.Ronaldo ndo Captain leo na ujinga wote aliotufanyia lately..
Sijui EtH amekula maharage ya wapi leo.
Unaumia ukiwa wapi?Chelsea 0-1 Arsenal Full TimeGOAL...TUSHAPIGWA DAKIKA YA 7. VAN DE BEEK HAJAGUSA MPIRA
Pumbavu zenu 2 nil in 10 minutesHii mechi ina viashiria vya kufungwa fungwa hii kama tutaendelea kucheza hivi.
Unaumia ukiwa wapi?Chelsea 0-1 Arsenal Full Time and we are back on top on the tableMBILI BILA...TOMINAY..FRED NI LAZIMA WAANZE MECHI ZOTE.