Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Anabaguliwa na nani ?

Mallacia ni mweupe ?

Rashford ni mweupe ?

Fred ni mweupe ?

Varane ni mweupe ?

Elanga ni mweupe ?
Vipi kuhusu Martial??
WOTE ULIOWATAJA HAPO, NIONESHE WAWILI AMBAO NI FIRST ELEVEN YA UHAKIKA
 
ETH is under immerse pressure from the pundits and media not to bench CR7, even if he underperforms. Hopefully he scores today, otherwise, with CR7 still at the club, we shall not see the much needed transformation. He is our legend, we can't dispute that fact, but we need fresh blood to match today's match intensity.
 
Hivi ni kwamba jamaa hamuamini fred kabisa ama?? Maana ni mara mia 600 kuliko van asee yani leo kuanzia mbele ronaldo, rash, van, nacho,erick sio watu wa kukaba kabisa yani sijui tunachezaje hii mechi.

Dah wacha nikaangalie tu labda watafanya jambo.
 
KUNA WATU BADO HAWAJAONA UBAGUZI ULIOPO HAPO. TUTAKIMBIZWA SANA....
 
Hii mechi ina viashiria vya kufungwa fungwa hii kama tutaendelea kucheza hivi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…