Martial is back??jadon sancho na athony bado ni majeruhi hivyo hawatosafiri kuelekea spain.
kwa mara nyengine tena kesho tutacheza tukiwa pungufu uwanjani.
anthony elanga kuchezeshwa upande wa kulia ni sawa sawa na kuwa pungufu uwanjani.
huo ndio mtazamo wangu.
Wachezaji watakaosafiri na timu leo:
Bishop, Dubravka, Vitek, De Gea,
Dalot, Wan-Bissaka, Martinez, Lindelof, Maguire, Shaw, Malacia,
McTominay, Fernandes, Fred, Iqbal, Casemiro, Eriksen, Van de Beek,
Shoretire, Elanga, Rashford, Ronaldo, Martial, Garnacho, Pellistri [MEN]
Yes! niliona anafanya mazoezi.Martial is back??
I voted for Martinez ofcoz.Tough one..lakini acha niende na Martinez..
Amefanya tuiamini backline yetu kwa kiasi fulani.
View attachment 2404859
Yes! niliona anafanya mazoezi.
Amerudi ila hajasafiri na kikosi.Martial is back??
Huyu dogo ni top talent ila sijui makocha wanaokuja pale united huwa wanaona kasoro gani toka kwake.Facundo Pellistri’s agent Edgardo Lasalvia: I think that with a good World Cup, as we think he will have, his departure is imminent.
#GlazerOUT
#GGMU[emoji123][emoji41]
manutd View attachment 2404797
Mimi nilijua akija ten hag ndio atakuwa Kocha mwenye kiu ya kutengeneza timu kupitia rasilimali zilizopo ikiwepo hawa vijana wadogo ili wa Gain confidence lakini cha ajabu hata Game time hawapati too sad [emoji37].Huyu dogo ni top talent ila sijui makocha wanaokuja pale united huwa wanaona kasoro gani toka kwake.
Binafsi namkubali sana dogo.
Mimi nilijua akija ten hag ndio atakuwa Kocha mwenye kiu ya kutengeneza timu kupitia rasilimali zilizopo ikiwepo hawa vijana wadogo ili wa Gain confidence lakini cha ajabu hata Game time hawapati too sad [emoji37].
NB:SILAUMU UAMUZI WA KOCHA ILA NINGEPENDA NIONE HAO VIJANA WADOGO WENYE KIU YAKUONYESHA VIPAJI VYAO WAKIPEWA NAFASI [emoji120].
#GGMU[emoji123][emoji41]
August: Lisandro Martinez
• September: Christian Eriksen
• October: Casemiro
Man Utd's Player of the Month winners so far this season have all been new signings.
Habari mkuu.
- anahitaji matokeo sahihi ndani ya uwanja,
- man utd hawana utamaduni wa kumvumilia kocha anayeshindwa kupata nafasi ya 4.
- man utd wanaangalia zaidi matokeo na si maendeleo
- anahitaji kutengeneza muundo mpya wa kiuchezaji
- anahitaji kujenga himaya mpya ya kiuongozi na utawala
- namba 1, 4, na 5 yatakapowezekana itakuwa ni rahisi zaidi kwa upande wake kuingiza wachezaji vijana katika kikosi cha kwanza
- AJAX haifanani na manchester united kiutamaduni.
- namtamani zidane Iqbal kuliko unavyomtamani wewe Garnacho
- tuwe na subira,