Aisee Ten Hag anamchukia vipi Ronaldo ?
hawa mwanitesa wapo kama baiskeli ya kunolea visu kelele kibao halafu wapo hapo hapo
Hv Ronaldo ni Ujinga gan kafanya, kuna namba Tisa gan pale United ya kumkarisha Ronaldo bench ? Magoli mengi yanafungwa na midfielders , ina mana kocha kakubali kumweka Ronaldo bench ili midiflders wafanye covering .... Ngoja tuoneKwahiyo mkuu wewe unataka EtH aache kuwa mwalimu na asikilize kile Ronaldo anataka? Hivi mkuu unaelewa kile kitu umeandika na ulichomaanisha au?
Yani Ronaldo yeye afanye ujinga timu iharibike na aachwe kisa ni mchezaji mkubwa? Yani Ronaldo hachezi kwa kiwango na haendani na kasi, EtH ampange tu kwasababu Ronaldo anataka?
Hiyo chuki ya EtH kwa Ronaldo wewe unaiona wapi? Huyu huyu Ronaldo ambae hakushiriki maandalizi ya msimu na timu na bado EtH akampokea na kumpanga? Hiyo chuki nyie mnaiona kwenye kitu gani mkuu?
Ronaldo muda umemtupa mkono, kiwango kimeisha.Hv Ronaldo ni Ujinga gan kafanya, kuna namba Tisa gan pale United ya kumkarisha Ronaldo bench ? Magoli mengi yanafungwa na midfielders , ina mana kocha kakubali kumweka Ronaldo bench ili midiflders wafanye covering .... Ngoja tuone
Kumbuka hata van magoli halitokea huko huko mchangani.Ni kweli hatuwez kumpima kwa mech 1, but Hizi Ligi lain Kuna muda zinatudanganya Sana
Unaweza kubeba mchezaji ana namba nzuri akija epl ana struggle kupata hata goli 1
Hv Ronaldo ni Ujinga gan kafanya, kuna namba Tisa gan pale United ya kumkarisha Ronaldo bench ? Magoli mengi yanafungwa na midfielders , ina mana kocha kakubali kumweka Ronaldo bench ili midiflders wafanye covering .... Ngoja tuone
Pele ana mafanikio makubwa kuliko Ronaldo,Huyu ten hag hatofika mbali ni lazima tukubali kwanza Ronaldo ana mafanikio makubwa kuliko yeye kwenye mpira wa miguu anastahili heshima kilichopo pale wala sio kiwango cha Ronaldo but ni chuki binafsi .Tujifunze kuthamini kazi kubwa walizofanya watu mpk wakafika walipo bila kuwachukia
Ronaldo kaanza mechi ngp msimu huu??? Na katka hzo mechi alizoanza kafanya lipi la maajab.. tukubali tukatae kila zama zina mwisho wake kashamaliza mpira mbwa yuleHv Ronaldo ni Ujinga gan kafanya, kuna namba Tisa gan pale United ya kumkarisha Ronaldo bench ? Magoli mengi yanafungwa na midfielders , ina mana kocha kakubali kumweka Ronaldo bench ili midiflders wafanye covering .... Ngoja tuone
Kwamba Martinez anawekwa bench na nani hapo??Chelsea vs ManUtd Combined XI
[WhoScored]
#RonaLdoOUT
#GlazerOUT
#GGMU
manutd View attachment 2394553
Mala zote #whoscore akili hawanaga ko sishangazwi na hilo mKuu.