Ninausongo sana wa kuiona combo ya kibrazir pale kati. Hope cesa na Fred watatuonyesha chochote cha kutushawishi leo. But Ten hag aanze kujiamini sasa, mechi kama hii tia hivi vitito vikinazidane, garnacho nk viendelee kujiamini. yeye anaweka full mkoko...
Mwenyewe kanishangaza yuko home, ananafasi nzuri tu ya kusonga mbele na tayari kesha win trust kwa mashabiki na bodi pia but daah kawa mkavu Mno bhanaa..
Mwenyewe kanishangaza yuko home, ananafasi nzuri tu ya kusonga mbele na tayari kesha win trust kwa mashabiki na bodi pia but daah kawa mkavu Mno bhanaa..