Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Bellingham
 
Hivi Man u hawamwoni huyu Bellingham toka Dortmund?
Tulishamuona toka yupo Birmingham mwaka 2020 zikatoka mpaka habari kuwa amepelekwa kutembelea Carrington, mwisho wa siku akatukataa.

Sidhani kama tutamsajili United ni moja ya timu mbovu lately kwenye development ya vijana na tayari kuna club kama City zinajisogeza.
 
Daah aisee wangepambana tu watch wamchukue ana kitu halafu ni hard worker sana dogo.

Fundiiii
 
Acheni ujanja ujanja nyie sajilini beki mwenye kimo na hadhi ya kukaba dude kama haaland...sio mnamtoa kafara Martinez wa watu...anakuwa ni kama mbuzi anayetaka kula majani anayokulaga Twiga mtini...anawezaje sasa??.




Yupo vizuri ndio, ila kukosa kimo kunamnyima uwezo wa kuwin Air Battle dhidi ya giant strikers kama haaland, michael antonio, chris wood..n.k

 
Asernal wangejua wangekuwa wanakaya kimya. Ninachopendea ten Hag hapendinkucheka na Mtu. Cr7 Kaa pembeni maneno meeengi hakuna. Cha muhimu hakuna kumuogopa MTU ndani nje ya uwanja
Sema Ronaldo sio mtu wa riots , ni mtu wa fursa vinginevyo migomo bard ingeanza , na huyo kocha mwez wa Kwanza mngemkataa
 
My Starting XI Today
========

De Gea

Dalot Lindelof Martinez Shaw

Fred Casemiro Erisken

Antony Martial Rashford

=======

GGMU.

EtH inabidi amfanye Casemiro his regular starter..otherwise hakukuwa na haja ya kumsajili.

Shaw apewe nafasi,Malacia bado sijamuelewa ukiacha ile gemu ya Liverpool..kusukuma mashambulizi mbele bado sana..Shaw akirudi kama alivyokuwa msimu juzi itasaidia sana..Otherwise ni kuingia tena sokoni kutafuta LB.

Rashford kama Striker ni uozo mtupu..but kuna some evidences kuwa akicheza na Martial kuna namna anaimarika..EtH aanzie hapa..
 

Kikosi kizuri lakini ningependa Martial acheze 45 minutes kwaajili ya kumlinda.
 
Ronaldo anaanza leo.
 
Yaan manyumbu Hawa madogo mnawawekea full mkoko!!, Wakati mna wachezaji 30+
 
Oya, wanaume wawili kupiga bao tatu tatu mlifika kileleni au tuongeze wanaume wikiendi?😂🤣😎
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…