OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,933
- 25,245
BellinghamMnaofuatilia Bundesliga huyu dogo Bellingham ana nini cha kumfanya awe na thamani ya €150m?
Maana naona media za Uingereza washaanza kutengeneza mazingira ya mtu kupigwa. Dortmund nao ndo michezo yao ukichanganya na hizo media wanaanza kutuhusisha sisi na other top clubs.
Nimejaribu kuangalia comps zake sioni cha zaidi kufanya aongelewe hivi.
Wote tunajua England ni wazee wa hype mpaka kwenye timu yao ya taifa. Rejea Bamford, Calvert-Lewin, Ings, Watkins sasa hivi wapo na Toney kuna mashabiki pia wanataka tumsajili, siwaamini kabisa wachezaji wa Kiingereza, nilitaka kumsahau Grealishdaah! tungepigwa tena kama kwa Maguire.
Tulishamuona toka yupo Birmingham mwaka 2020 zikatoka mpaka habari kuwa amepelekwa kutembelea Carrington, mwisho wa siku akatukataa.Hivi Man u hawamwoni huyu Bellingham toka Dortmund?
Daah aisee wangepambana tu watch wamchukue ana kitu halafu ni hard worker sana dogo.Tulishamuona toka yupo Birmingham mwaka 2020 zikatoka mpaka habari kuwa amepelekwa kutembelea Carrington, mwisho wa siku akatukataa.
Sidhani kama tutamsajili United ni moja ya timu mbovu lately kwenye development ya vijana na tayari kuna club kama City zinajisogeza.
What??Munaekwa bao sita ninyi ni timu au takataka
City wanajiliwaza na Grealish. Ten hag Hana huo ujingaBellingham
Umesahau?Munaekwa bao sita ninyi ni timu au takataka
Sema Ronaldo sio mtu wa riots , ni mtu wa fursa vinginevyo migomo bard ingeanza , na huyo kocha mwez wa Kwanza mngemkataaAsernal wangejua wangekuwa wanakaya kimya. Ninachopendea ten Hag hapendinkucheka na Mtu. Cr7 Kaa pembeni maneno meeengi hakuna. Cha muhimu hakuna kumuogopa MTU ndani nje ya uwanja
Yani hao ndiyo wa kutolea hasira, wasipate hata goli halafu wapigwe kuanzia magoli 7.Manchester united inacheza leo na dunia nzima ina furaha
Prediction
Manchester united 6 vs omonia Nicosia 1
Time
19.45
Fikeni bila kukosa muone pira maharageView attachment 2378427
My Starting XI Today
========
De Gea
Dalot Lindelof Martinez Shaw
Fred Casemiro Erisken
Antony Martial Rashford
=======
GGMU.
EtH inabidi amfanye Casemiro his regular starter..otherwise hakukuwa na haja ya kumsajili.
Shaw apewe nafasi,Malacia bado sijamuelewa ukiacha ile gemu ya Liverpool..kusukuma mashambulizi mbele bado sana..Shaw akirudi kama alivyokuwa msimu juzi itasaidia sana..Otherwise ni kuingia tena sokoni kutafuta LB.
Rashford kama Striker ni uozo mtupu..but kuna some evidences kuwa akicheza na Martial kuna namna anaimarika..EtH aanzie hapa..
Ronaldo anaanza leo.My Starting XI Today
========
De Gea
Dalot Lindelof Martinez Shaw
Fred Casemiro Erisken
Antony Martial Rashford
=======
GGMU.
EtH inabidi amfanye Casemiro his regular starter..otherwise hakukuwa na haja ya kumsajili.
Shaw apewe nafasi,Malacia bado sijamuelewa ukiacha ile gemu ya Liverpool..kusukuma mashambulizi mbele bado sana..Shaw akirudi kama alivyokuwa msimu juzi itasaidia sana..Otherwise ni kuingia tena sokoni kutafuta LB.
Rashford kama Striker ni uozo mtupu..but kuna some evidences kuwa akicheza na Martial kuna namna anaimarika..EtH aanzie hapa..