Hata Sancho wengi walishaanza kumkataa, ila wote tunajua uwezo upo. Timu ikiwa vizuri, Kila mtu uwezo wake utaonekana. Tuachane na Antony, tuchukulie mfano wa Scott, amekuwa criticized sana, lakini timu ikielewana kidogo, wote tunasahau ubovu wake. Tumpe muda Antony, yule ni mtu na nusuFirst touch tu nikajua hapa hamna kitu na kama uliangalia ile mechi ya r sociedad ni kama ameanza kuwa frustrated
Sancho Bado maji kupwa maji kujaaHata Sancho wengi walishaanza kumkataa, ila wote tunajua uwezo upo. Timu ikiwa vizuri, Kila mtu uwezo wake utaonekana. Tuachane na Antony, tuchukulie mfano wa Scott, amekuwa criticized sana, lakini timu ikielewana kidogo, wote tunasahau ubovu wake. Tumpe muda Antony, yule ni mtu na nusu
Mnamuamini huyu kocha kwa mpira was kuvizia kaunta? Ana tofaut gan na Ole Gunnar,Jose Mourinho?Eras come to an end.View attachment 2364462
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] hizo counter ndio zimekuchomeka bao 3 kisha wanaume wakaondoka na point 3 saaaaafi kabisa.Mnamuamini huyu kocha kwa mpira was kuvizia kaunta? Ana tofaut gan na Ole Gunnar,Jose Mourinho?
Nyie mlishindwa kuvizia?Mnamuamini huyu kocha kwa mpira was kuvizia kaunta? Ana tofaut gan na Ole Gunnar,Jose Mourinho?
Martial? Ni mzuri kama False 9 kushinda wengi kwenye hio list, Lautaro sijamuangalia sana hivyo ngumu kutoa judgement yangu. Kama tunasajili striker na Martial yupo tunahutaji mtu atakaetupa kitu tofauti na Martial ndio maana ETH alimtaka ArnautovicKwa mtazamo wangu mimi kama shabiki wa United timu hii ilihitaji sana mchezaji ambaye anaweza kucheza vizuri kama false 9 mwenye energy badala ya winger.
Kwangu mimi naona tungempata Lautaro Martinez, au Ivan Toney.
Kama striker wetu wangeweza kufanya hata nusu ya wanachokifanya Toney, Lautaro Martinez au Patrick Schick tungekuwa na kikosi tishio sana.