Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Watakupinga na kukuona mamluki, ila sisi wapenda football ,pale hakuna mchezaji ,muda utasema ,

Mashabiki wengi wa man u mara Mia muweke matumain kwa Elanga ,
 
Watakupinga na kukuona mamluki, ila sisi wapenda football ,pale hakuna mchezaji ,muda utasema ,

Mashabiki wengi wa man u mara Mia muweke matumain kwa Elanga ,
Kwa mtazamo wangu mimi kama shabiki wa United timu hii ilihitaji sana mchezaji ambaye anaweza kucheza vizuri kama false 9 mwenye energy badala ya winger.

Kwangu mimi naona tungempata Lautaro Martinez, au Ivan Toney.

Kama striker wetu wangeweza kufanya hata nusu ya wanachokifanya Toney, Lautaro Martinez au Patrick Schick tungekuwa na kikosi tishio sana.
 
Jumapili tunakipiga ugenini na Man City, kama kawaida yetu tunaendeleza kipigo kwa hizi zinazojiita timu kubwa.
Alianza Liverpool akachezea, akaja Arsenyani tukamkanda, jumapili zamu ya city halafu tunasubiria kumshona Chelshit ili tufunge kazi kwenye mzunguko wa kwanza.
 
Mnaofuatilia Bundesliga huyu dogo Bellingham ana nini cha kumfanya awe na thamani ya €150m?

Maana naona media za Uingereza washaanza kutengeneza mazingira ya mtu kupigwa. Dortmund nao ndo michezo yao ukichanganya na hizo media wanaanza kutuhusisha sisi na other top clubs.

Nimejaribu kuangalia comps zake sioni cha zaidi kufanya aongelewe hivi.

Wote tunajua England ni wazee wa hype mpaka kwenye timu yao ya taifa. Rejea Bamford, Calvert-Lewin, Ings, Watkins sasa hivi wapo na Toney kuna mashabiki pia wanataka tumsajili, siwaamini kabisa wachezaji wa Kiingereza, nilitaka kumsahau Grealish
daah! tungepigwa tena kama kwa Maguire.
 
First touch tu nikajua hapa hamna kitu na kama uliangalia ile mechi ya r sociedad ni kama ameanza kuwa frustrated
 
First touch tu nikajua hapa hamna kitu na kama uliangalia ile mechi ya r sociedad ni kama ameanza kuwa frustrated
Hata Sancho wengi walishaanza kumkataa, ila wote tunajua uwezo upo. Timu ikiwa vizuri, Kila mtu uwezo wake utaonekana. Tuachane na Antony, tuchukulie mfano wa Scott, amekuwa criticized sana, lakini timu ikielewana kidogo, wote tunasahau ubovu wake. Tumpe muda Antony, yule ni mtu na nusu
 
Sancho Bado maji kupwa maji kujaa
 
The best of the best in the #PL have their new #FIFARatings


#GlazerOUT
#GGMU


manutd
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…