Ujinga kumsifia tominay ambaye hajui kukaba bila rafu za kipuuzi kumaliza mpira ule bila kadi ni udhaifu mmojawapo wa mwamuzi wa jana anakumbatia mpaka aibu
Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app
Mda mwingine Dm lazima uwe na roho mbaya ,,,,!! Mzee wa kazi chafu, sio Mambo ya urembo !!!Ujinga kumsifia tominay ambaye hajui kukaba bila rafu za kipuuzi kumaliza mpira ule bila kadi ni udhaifu mmojawapo wa mwamuzi wa jana anakumbatia mpaka aibu
Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app
Sema jamaa anajitahidi saana wampe tu hiyo kazi kabisa alafu soon anafikisha 10K followersSi official account, nimeiona twitter
Mwanetu mwachie Yoan Gabriel amalizie kiporo.Sema jamaa anajitahidi saana wampe tu hiyo kazi kabisa alafu soon anafikisha 10K followers
Mbwa wewe umekaa paleeYani nyumbu kushinda kote kule mpo nafasi ya 5
Unahitaji kuwa kauzu sana kuandika uliyoyaandika,mpira ilifika kipindi possesion ilisoma 15% kwa 85% then unakuja kusema alifunika kiungo cha arsenal duh....una moyoMda mwingine Dm lazima uwe na roho mbaya ,,,,!! Mzee wa kazi chafu, sio Mambo ya urembo !!!
Huyu unaemuita ana rafu za kipuuzi ndo kawakalisha sambi na Granit wakapoteana !!! Jana martinel na saka ndo walikuwa na uhai tu,,, wengine wote Deadwoods, hata Jesus hakua clinical, anahitaji nafasi nane apate moja !
Umeongea kitu huy jamaa si raia wa Burkina Faso alikiwasha kweli kweny Africon alikua ancheza pacha na yule beki wa berkaneMagwaya amecheza mipira miwili yote yangeweza kuwa magoli. Ile faulo na ile penalty refa angefunika gemu ingebadilika kabisaa.
Dikson Job, Inonga, Bangala, wanamzidi Magwaya mara kumi.
No wakati sasa Man U kumsajili mtu mwenye akili timamu kama Tapsoba yule anayechezea Bundesliga
Sajili zijazo ni kureinforce kiungo na forward.Ericksen vitu anavyofanya ndivyo paul pogba alitakiwa kufanya kaungana vizur sana na bruno pasi zote zilizozaa magoli chanzo huyo jamaa watahitaji kupata mtu wa namna hiyo kwa sababu umri wake umekwenda
Kiungo cha United kilitakiwa kuwa hivi chini ya huyo kocha mpya endapo angefanikiwa kwa na de jong
De jong
Ericksen
Bruno
Hapo timu ingekuwa na ubora wa kutosha