Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ujinga kumsifia tominay ambaye hajui kukaba bila rafu za kipuuzi kumaliza mpira ule bila kadi ni udhaifu mmojawapo wa mwamuzi wa jana anakumbatia mpaka aibu

Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app
Mda mwingine Dm lazima uwe na roho mbaya ,,,,!! Mzee wa kazi chafu, sio Mambo ya urembo !!!

Huyu unaemuita ana rafu za kipuuzi ndo kawakalisha sambi na Granit wakapoteana !!! Jana martinel na saka ndo walikuwa na uhai tu,,, wengine wote Deadwoods, hata Jesus hakua clinical, anahitaji nafasi nane apate moja !
 
Unahitaji kuwa kauzu sana kuandika uliyoyaandika,mpira ilifika kipindi possesion ilisoma 15% kwa 85% then unakuja kusema alifunika kiungo cha arsenal duh....una moyo

Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app
 
Umeongea kitu huy jamaa si raia wa Burkina Faso alikiwasha kweli kweny Africon alikua ancheza pacha na yule beki wa berkane

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
Sajili zijazo ni kureinforce kiungo na forward.

Kiungo kikiwa vyema, hata kama mabeki sio wazuri, mapungufu yanafunikwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…