raraa reree
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 11,503
- 35,686
Aina haja ya mazoezi wala kujuana moja kwa moja uwanjani 😃Naona Antony kaanza mazima.
Anasubiri mpaka tubatuliwe goli za kutosha first half ndo amlete, kiufupi kikosi amekipanga kimazoea sana.Casemiro kwa nini kocha hampangi..he is not fit au nini hasa..
Hapo katikati sijapaelewa..
Anyway,GGMU
Lazma wabebe lawama, asa kama ten hag gemu ya leo unamuachaje casemiro na ronaldo nje at the same time mpuuz rashford yupo ndanUkocha ni kaxi ngumu sana, leo Rodgers anatukanwa na mashabiki uwanjani livelive wakati alikuwa ni kipenzi chao kwa muda mrefu, mara nyingi hata kama tatizo ni wachezaji machoka hubeba mzigo (ref Man Utd).
Link up play ya Martial ni second to non..Akicheza hata huyu Rashford tusiyempenda huwa anacheza vizuri kiasi..Rashford anacheza Role ya Tadic, ana fight na kulink up, kufunga sio priority ya kwanza kwake. Martial akipona atakuwa ndio striker wetu link up play yake ni 2nd to none Epl pale, ila kwa Sasa Rashford ni bora kuliko Ronaldo kwa huo mfumo.
Kila mwaka hapo EPL huwa kuna ka team kanakuwa kagumu na kasumbufu msimu huu nadhani ni hao jama BHA.Hawa BHA mbona kama wamekiwasha hivi.
Mpaka sasa dakika ya 78 anaongoza bao 4 kwa 2.
Nadhani amehofu kuanzisha mid ya Casemiro na Erick sababu ya pace na energyAcha nimuachie tu kocha points zake maana yeye ndiyo anakaa na hiki kikosi mazoezini.
Ila Rashford hayupo clinical akikaa kama CF. Huyo McTominay lazima kuna kitu Casemiro hafanyi vizuri maana kama suala ni ku-settle Anthony kaingia moja kwa moja First XI.
Hapana, Anthony anacheza wide. Bruno yupo nyuma ya hao watoto 3Hapa sijaelewa yani bruno yupo juu ya antony Chief-Mkwawa hebu nitoe tongo tongo hapaView attachment 2345646
Leicester wasipokua makini msimu huu wanaweza wakashuka ..Yan 6 games kafungwa tano moja ame draw ni hatari sanaLeicester kafa 5-2 mkuu
Ngoja tusubiri miujiza ila hapo kwenye pivote ni kilio leo.Lazma wabebe lawama, asa kama ten hag gemu ya leo unamuachaje casemiro na ronaldo nje at the same time mpuuz rashford yupo ndan
Misimu iliyopita mda kama huu Leicester city walikuwa wanachezea kwenye top 4 tu lakini msimu huu wako chini kabisa 1 point out of 6 games very sad.Ukocha ni kaxi ngumu sana, leo Rodgers anatukanwa na mashabiki uwanjani livelive wakati alikuwa ni kipenzi chao kwa muda mrefu, mara nyingi hata kama tatizo ni wachezaji machoka hubeba mzigo (ref Man Utd).
kesho shuleView attachment 2345672
nimekula uzi wangu mapema kabisa