Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Casemiro kwa nini kocha hampangi..he is not fit au nini hasa..

Hapo katikati sijapaelewa..

Anyway,GGMU
Anasubiri mpaka tubatuliwe goli za kutosha first half ndo amlete, kiufupi kikosi amekipanga kimazoea sana.

Ngoja tuone.
 
Ukocha ni kaxi ngumu sana, leo Rodgers anatukanwa na mashabiki uwanjani livelive wakati alikuwa ni kipenzi chao kwa muda mrefu, mara nyingi hata kama tatizo ni wachezaji machoka hubeba mzigo (ref Man Utd).
Lazma wabebe lawama, asa kama ten hag gemu ya leo unamuachaje casemiro na ronaldo nje at the same time mpuuz rashford yupo ndan
 
Rashford anacheza Role ya Tadic, ana fight na kulink up, kufunga sio priority ya kwanza kwake. Martial akipona atakuwa ndio striker wetu link up play yake ni 2nd to none Epl pale, ila kwa Sasa Rashford ni bora kuliko Ronaldo kwa huo mfumo.
Link up play ya Martial ni second to non..Akicheza hata huyu Rashford tusiyempenda huwa anacheza vizuri kiasi..
 
Nadhani amehofu kuanzisha mid ya Casemiro na Erick sababu ya pace na energy
 
Ukocha ni kaxi ngumu sana, leo Rodgers anatukanwa na mashabiki uwanjani livelive wakati alikuwa ni kipenzi chao kwa muda mrefu, mara nyingi hata kama tatizo ni wachezaji machoka hubeba mzigo (ref Man Utd).
Misimu iliyopita mda kama huu Leicester city walikuwa wanachezea kwenye top 4 tu lakini msimu huu wako chini kabisa 1 point out of 6 games very sad.
 
Kuhusu Casemiro kutoanza EtH kasema ni kwasababu bado anampa muda Casemiro kujua style ya uchezaji ya kocha EtH. Antony kuingia direct kikosi cha kwanza ni kwasababu anajua jinsi gani EtH anataka timu yake icheze.

Lakini pia akaongezea kuwa Scott McTominay anaanza kwasababu anacheza vizuri.
 
Nyie Kenge tukutane dakika 90

Misumali minne ya moto hapo hapo ukweni
Kama waarabu tunagongea ukweni na ni fresh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…