Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Tumecheza hovyo sana leo kule mbele..

Leicester ilibidi wafe kama sita bila hivi..
Kupiga walemavu goli 6 ni kujitafutia laana tu, hio michezo wamezoea kina liverfool wajaa laana wasio na utu.
Goli nyingi sisi tunaenda kupiga jumapili kwa zile mbuzi zilizokaza fuvu la kichwa kwa mechi 5 tu nyepesi za mwanzo wa ligi.
 
Tumecheza hovyo sana leo kule mbele..

Leicester ilibidi wafe kama sita bila hivi..
You complain alot Mkuu....Sometimes appreciate what you get....Team hii bado sana lakini we need to be winning games while building and restructuring the playing style and system.....Kikubwa kwa sasa ushindi, naamini mazuri yaja.

Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
 
Kwa mpira huu wa leo Arsenal atatusumbua sana
Arsenal baba yao Ronaldo tu akisimama pale mbele hakuna Gabriel wala Black sijui Tierney, ni mauchafu yamejaa pale nyuma.

Arsenal wameruhusu magoli mengi sana, eneo ambalo wapo vizuri ni kwenye ushambuliaji na hili tatizo ni kuwawekea Casemiro na Fred halafu nyuma ya hao watu kama kawaida The Butcher na Champions League Varane.

Arsenal anapasuka siyo chini ya magoli matatu.
 
Ten hug alisema "our biggest task is to build a team that will be hard to beat".....Tangu game ya Liver naona alichokisema.

Tutaijenga team huku tunashinda mechi na kukusanya points....Kocha kaonesha uthubutu wa kuweka vilaza na big egos bench, naamini hili litaendelea kwa vilaza kama Rashford na Elanga....pia watu kama Casemiro bado hajakaa sawa kuanza, in few days Santos anaanza kukimbiza watu.

Mnaolalamika mpira mbovu...kumbuka tulipotoka misimu mitatu..kuna game tulicheza vizuri ila nyuma goli nyingi tunaruhusu, now tumeanza imarika defensively...Huko mbele kocha na bench lake wanapaona kuliko hata sisi.

Let's be calm and appreciate when we win and have hope in Ten hug

GGMU...Next stop....The Gunners..Bring em ON


Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
 
Ronaldo Jumapili akianza lazima apige hatrick, maana ana hasira kinoma ya kuanzia bench mechi 5 mfululizo.
Usihadaike na gemu iliyo isha. Kocha aende na mwendo alio anza nao kwa liverpool. Kubadiliaha badiliaha tena kwenye big mechi itagharimu ushindi. Nipo hapa utaona ushindi utakavyo kuwa mgumu ikiwa kocha atabadili kikosi
 
Huyo Fred nae ni Mchezaji WA kujivunia kweli ?

Kweli Manchester tumeflop

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Wakati mnakula 4 o'clock Kwa Brighton huyo Ronado hakuwepo? 🤣🤣🤣🤣🤣 Muandae na ambulance za kutosha hapo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…