Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,720
hela Ni za club wacha watoe ,,, huyu Anthony bado ana potential huko mbele, anayo room of improvement!!!Van Basten:
"Antony hasn't proven much yet. Of course he played a few good games. But his efficiency has not been high in the last 2 years." View attachment 2339510
Kwani hadi msimu huu yupo huyu jamaa ?Uchawi upo View attachment 2339751
Nyie AsaniWali tumeshawazoe na makelele yenu.Van Basten:
"Antony hasn't proven much yet. Of course he played a few good games. But his efficiency has not been high in the last 2 years." View attachment 2339510
Na wakasema yeye ni mfupi sana.Nyie AsaniWali tumeshawazoe na makelele yenu.
Mlivyokua mnamtaka Martinez mlikua mnamsifia kwelikweli huko kwenye jukwaa lenu la matusi, ila baada ya kumkosa na kusajiliwa na Manchester United mkaanza kumponda kua ni mfupi sana hafai kua beki wa kati.
Baada ya mechi zake 2 tu akawaprove wrong kwa yote mliyoyasema.
Hata Antony baada ya kucheza mechi zake chache tu mtafunga midomo yenu. View attachment 2339756
Kila siku na waambia huyo ni deep state wa timu aguswi ana kila nude za mchezaji hapo Manchester ukimgusa ndo inakuwa mwisho wako pale OTUchawi upo View attachment 2339751
Hatukuwai kumponda Martinez,Nyie AsaniWali tumeshawazoe na makelele yenu.
Mlivyokua mnamtaka Martinez mlikua mnamsifia kwelikweli huko kwenye jukwaa lenu la matusi, ila baada ya kumkosa na kusajiliwa na Manchester United mkaanza kumponda kua ni mfupi sana hafai kua beki wa kati.
Baada ya mechi zake 2 tu akawaprove wrong kwa yote mliyoyasema.
Hata Antony baada ya kucheza mechi zake chache tu mtafunga midomo yenu. View attachment 2339756
Tutaona iyo jumapili mkuuHatukuwai kumponda Martinez,
Martinez ni mzuri tu, usichoelewa ni hivi
Martinez sisi tulimtaka kama backup ya Tierney, ambae kwa sasa tunae zinchenko
Ila nyie mmemuona kama ndio stater, yani panga pangua
Sisi tulimtaka kama left back/
Nyie mmemuona ndio wa kumaliza central back
Hii changamoto ya kimo lazima itawaadhibu tu, wait and see
Kwaio Arsenal na nyumbu walikua wanamuangalia katika angles tofauti
Hili suala la kimo cha Martinez mimi najua wengi mmefuata mkumbo tu kuliongelea kwasababu wachambuzi wameliongelea na kwasababu ndiyo mambo mnayopenda kusikia kuhusu United basi mmevalia njuga.Hatukuwai kumponda Martinez,
Martinez ni mzuri tu, usichoelewa ni hivi
Martinez sisi tulimtaka kama backup ya Tierney, ambae kwa sasa tunae zinchenko
Ila nyie mmemuona kama ndio stater, yani panga pangua
Sisi tulimtaka kama left back/
Nyie mmemuona ndio wa kumaliza central back
Hii changamoto ya kimo lazima itawaadhibu tu, wait and see
Kwaio Arsenal na nyumbu walikua wanamuangalia katika angles tofauti
Kwa akili yako Zichenko ni back up ya Tierney?Hatukuwai kumponda Martinez,
Martinez ni mzuri tu, usichoelewa ni hivi
Martinez sisi tulimtaka kama backup ya Tierney, ambae kwa sasa tunae zinchenko
Ila nyie mmemuona kama ndio stater, yani panga pangua
Sisi tulimtaka kama left back/
Nyie mmemuona ndio wa kumaliza central back
Hii changamoto ya kimo lazima itawaadhibu tu, wait and see
Kwaio Arsenal na nyumbu walikua wanamuangalia katika angles tofauti
Bournemouth, ni tetesi tu lakini.Wapi huko?
Jiandaeni kwa fimbo 4 heavyTutaona iyo jumapili mkuu
Tumekosa shaba tumepata almasiKwa akili yako Zichenko ni back up ya Tierney?
Wan bisaka mpo nae kwa sana tuSwap deal,,,,
AWB for Sergino Dest,,,! Dest sio mzuiaji mzuri ila kwenye attacking yupo vzr !!!
Source uchwara za vichochoroni zinareport tangia Jana !'