The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,480
- 98,527
Striker sio sifa bali ni nafasi ndani ya pitch, hata Mwamnyeto amaweza kupangwa hiyo nafasi japo hana sifa.4-4-2 haichezeshi striker? Man u huwa wanampanga rashfd kama mmaliziaji lakini kwa sifa za striker hana hata moja. Lakini akichezeshwa anaitwa striker.
Ok, kumbe ulijijibu asante.4-4-2 haichezeshi striker? Man u huwa wanampanga rashfd kama mmaliziaji lakini kwa sifa za striker hana hata moja. Lakini akichezeshwa anaitwa striker.
Hapa we should be bidding kwa mtoto wa ki-Brazil yupo pale Monaco anaitwa Vanderson moto wake sio wa kitoto.Shida imebaki namba 2 na namba 9.
Fala tu huyoHenderson ka-save tena Penalt huko.
Huyo wa juu ataproveAnthony Santos
Anthony Martial
Anthony Elanga
Gabriel JesusAnthony Santos
Anthony Martial
Anthony Elanga
That's the way to go..Wachezaji wanaopenda kuhamia Old Trafford ndio muhimu. Asante Sana Antony
Bro strikers wanasifa zao soma maelezo mpaka mwishoStriker sio sifa bali ni nafasi ndani ya pitch, hata Mwamnyeto amaweza kupangwa hiyo nafasi japo hana sifa.
United nyie muda si mrefu mtaanza kumponda huyo jamaa.. hamna uvumilivu. Vipaji vingi vimeshindwa kuwika hapo united tangu alipoondoka Ferguson.Huwa hatuna watu kabisa wenye uwezo wa kutembea na mpira sana kwa uwezo wa juu..Anthony atasiadia kiasi kwenye hili
Nitajie wachezaji watatu ambao wamekuja kwetu wakashindwa kuwika ila walivyotoka kwetu wakawika katika kiwango ambacho dunia ilitarajia kuwaona wakiwa nacho?United nyie muda si mrefu mtaanza kumponda huyo jamaa.. hamna uvumilivu. Vipaji vingi vimeshindwa kuwika hapo united tangu alipoondoka Ferguson.
Samahani Mkuu.....akikujibu naomba unistueNitajie wachezaji watatu ambao wamekuja kwetu wakashindwa kuwika ila walivyotoka kwetu wakawika katika kiwango ambacho dunia ilitarajia kuwaona wakiwa nacho?
Di Maria, Depay, Lukaku inter milan.Nitajie wachezaji watatu ambao wamekuja kwetu wakashindwa kuwika ila walivyotoka kwetu wakawika katika kiwango ambacho dunia ilitarajia kuwaona wakiwa nacho?
Anthony ni mmoja tu hao wengine niAnthony Santos
Anthony Martial
Anthony Elanga
Wachezaji hao wapo sema timu inapokuwa imefeli kila mchezaji anageukaHuwa hatuna watu kabisa wenye uwezo wa kutembea na mpira sana kwa uwezo wa juu..Anthony atasiadia kiasi kwenye hili
Nakutajia mmoja, Diego Forlan.Nitajie wachezaji watatu ambao wamekuja kwetu wakashindwa kuwika ila walivyotoka kwetu wakawika katika kiwango ambacho dunia ilitarajia kuwaona wakiwa nacho?
Gerald Pique ( Barcelona)Nitajie wachezaji watatu ambao wamekuja kwetu wakashindwa kuwika ila walivyotoka kwetu wakawika katika kiwango ambacho dunia ilitarajia kuwaona wakiwa nacho?
Paul PogbaNitajie wachezaji watatu ambao wamekuja kwetu wakashindwa kuwika ila walivyotoka kwetu wakawika katika kiwango ambacho dunia ilitarajia kuwaona wakiwa nacho?