Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Huwa hatuna watu kabisa wenye uwezo wa kutembea na mpira sana kwa uwezo wa juu..Anthony atasiadia kiasi kwenye hili
United nyie muda si mrefu mtaanza kumponda huyo jamaa.. hamna uvumilivu. Vipaji vingi vimeshindwa kuwika hapo united tangu alipoondoka Ferguson.
 
Nitajie wachezaji watatu ambao wamekuja kwetu wakashindwa kuwika ila walivyotoka kwetu wakawika katika kiwango ambacho dunia ilitarajia kuwaona wakiwa nacho?
Samahani Mkuu.....akikujibu naomba unistue
 
Nitajie wachezaji watatu ambao wamekuja kwetu wakashindwa kuwika ila walivyotoka kwetu wakawika katika kiwango ambacho dunia ilitarajia kuwaona wakiwa nacho?
Paul Pogba

Alivyotoka United Kwa mara ya Kwanza kwenda juventus
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…