hela yote ilotumika halafu rashford na mctominay ndo wawe wanaanzaAntony fresh,bado namba 9,sioni rashfod kutupeleka popote,martial ni injury prone,ronaldo tia maji....ndo maana nilielewa tulivomtaka anautovic.
Pia Dalot anahitaji competition,anapitika kirahisi sana,kama game ya jana Saints walikua wanashinda upande wake tu.
Mancunian wanataka Glazers waondoke kwasababu pesa wanayotumia kununua wachezaji ni pesa ambayo timu imetengeneza yenyewe na sio uwekezaji wao. Pia wameipa club madeni hata walipoinunua walichukua mkopo na kuhamishia deni kwenye timu. Kingine wanachukua gawio kila mwaka kupitia United baada ya kuiweka katika soko la hisa. Yani wao wanachota tu kidogo kinachobaki ndiyo timu inatumia.Duh dau limezidi hadi la haaland
Mashabiki mda mwingine tuna mihemko watu wanataka glazer waondoke lakn mbona wana mwaga pesa ttz litakuwa kwenye scouting ya tim
Hizo pesa wanazotoa sio zao, na hawana mipango ya kusuka Timu kila msimu huwa wanasajili mashabik wakiwapa presha, yaan sisi kusajil kwetu ni mwishon mwa Dirisha,Duh dau limezidi hadi la haaland
Mashabiki mda mwingine tuna mihemko watu wanataka glazer waondoke lakn mbona wana mwaga pesa ttz litakuwa kwenye scouting ya tim
Hahah! Haaland ni professional player. Kama ni kuja United angekuja kabla ya kwenda Dortmund ila shida ilikuwa ni kwenye mkataba wake walitaka waweke kipengele cha 'release clause' timu kama United siyo 'a selling club' wangekubali huo mkataba huenda angeondoka mapema tu kwa hali iliyopo.Baba yake haaland kacheza city na anabifu na united maana kidogo mmvunje mguu enzi hizo ,automatic haaland asingeweza kuja united hata kwa £500million mezani .....!!
Wameifanyia nn timu, tuanzie hapo.Wewe una waheshimu Martial na Rashford??
Sio hela nyingi,infact ni £84,ambayo kwa dunia ya sasa ni kawaida sana,ukiweka €100 inaonekana nyingi sana.Kimewakaaaaaa
Antony to Manchester United, here we go! Agreement in principle with Ajax, €100m fee. Contract until June 2027 with option until 2028. To be signed tomorrow.#MUFC
Contracts being prepared, it’s Eredivisie historical record fee — Antony will be in Manchester next week.
#FabrizioRomano
#GGMU
Sio hela nyingi,infact ni £84,ambayo kwa dunia ya sasa ni kawaida sana,ukiweka €100 inaonekana nyingi sana.
Ingawa huu ni uzembe mwingine wa board,kama tungefanya mapema,hela isingezidi £70
Anyway mimi ni naani nilalamike hela,nachotaka good players,perfomance and good results.
Otherwise itarudi kwenye mifuko ya kina Glazers.That's not your money...that's UNITED'S money....wanajua zaidi yako wewe na mimi...Wewe chagua kuwa shabiki au hater
Kumbe Anthony ni striker?Antoni tangu mwezi wa pili huko ana tugoli sijui tutatu yet anaitwa straika anazidiwa na kiungo wa ajax kwa idadi ya magoli cs haaland ambaye juzi tu amejipigia tatu za chapchap
Lugha za watuKumbe Anthony ni striker?
Waona mbali.Utd arena katika ubora wake, hii ilikuwa ni 2019
Sichoki kusoma analysis zake
View attachment 2337906
View attachment 2337907
A forward is any player playing in an attacking position for the team, and a striker is a single player positioned nearest to the opposition goalAntoni tangu mwezi wa pili huko ana tugoli sijui tutatu yet anaitwa straika anazidiwa na kiungo wa ajax kwa idadi ya magoli cs haaland ambaye juzi tu amejipigia tatu za chapchap
Kweli ni lugha za watu, kuna tofauti kubwa kati ya forward na striker.Lugha za watuView attachment 2337993
lugha za watu hizo wanao cheza safu ya mbele wote ni washambuliajiView attachment 2338006
4-4-2 haichezeshi striker? Man u huwa wanampanga rashfd kama mmaliziaji lakini kwa sifa za striker hana hata moja. Lakini akichezeshwa anaitwa striker.A forward is any player playing in an attacking position for the team, and a striker is a single player positioned nearest to the opposition goal
Safi sana, forward ni mchezaji anayecheza mbele ya viungo wa kati, striker ni mchezaji anayecheza karibu na lango la mpinzani.A forward is any player playing in an attacking position for the team, and a striker is a single player positioned nearest to the opposition goal
Inategemea ni aina gani ya 4-4-2 lkn lazima kunakuwa na striker na second striker ambaye ni no. 104-4-2 haichezeshi striker?