Asee hivi ndivyo tunataka
Mmeona sasa Malacia ni mtu zaidi ya shaw, Martinez nae anafanya shughuli ndio tunasema Ten Haag jivike mabomu tumia watu wako achana na waliofukuzisha makocha.
Ronaldo hizo ndizo dakika zake za kuingia kuwascare wapinzani
Leo nimekubali kocha kaja na mbinu. Aendelee hivyo hivyo ukiboroga benchi mpaka akili ikae sawia.
Ushindi safi.