Sina imani kama inaweza kutokea. Hawa familia ya Glazer wanajua sana kucheza na akili mashabiki.
Kama leo tukifungwa na L'pool kesho au keshokutwa wanaidhinisha malipo ya Pound 100M kwenda kwa Ajax na PSV kutuliza upepo.
Matatizo ya United sio pesa ila tunakosa watu sahihi wa kuendesha timu. Tunalipa mishahara mizuri na hata kila timu tukitaka kusajili wanafurahia kufanya biashara na sisi.