Pool Table
JF-Expert Member
- Jan 30, 2020
- 1,680
- 2,891
Kabisa la kusubri huku tuna dundwa na Brentford inauma mzeeNaimani msimu wa kuanzia 2023-2024 (tukijaaliwa uzima), tutakua na wachezaji wengi wapya.
Jamaa katoa maon TU, Kuna muda tuacheni ujinga, tujadili football
Football sio uhasama, jamaa hajatukana Wala kukashfu ,why usimjibu kwa kumchallange hoja yake
ni haki yako kuwaza, lakini sina uhakika kuwa uwezo wa kocha upo kama unavyotaka kutuaminisha, muda ni mwalimu mzuri sana uwe na akiba ya maneno kidogoHalafu casemiro wa Sasa Ni injury prone, Madrid game za UCL kashinda ,ila kiungo Chao kilikuwa kinazidiwa , angalia hata Zile game na Chelsea,
Casemiro wa Sasa anafata man u pesa , nasikia ana dabo salary
Man u wanarudia kosa Lile Lile walilofanya kwa Varane
Injury prone
Uwezo umepungua
Kocha wa man u hajui anataka nn, kwasasa anajifichia kwenye kichaka Cha wamiliki,
Hivi jiulize project ya man u Ni ipi ,analeta WAZEE , Tena Wala pesa ndefu
Kamsajiri Martinez beki mfupi amchezeshe Kati ,epl itakusulubu TU
Kamsajiri Malacia anakula benchi ,
Kamsajiri Eriksen maji ya jioni
Now anamleta casemiro
Hadi hapo unaona huyu Kocha ameshafeli , ila kwasasa anajifichia chini ya Kwamba Grazzer family ndio wenye shida.
Anadhani epl Ni ereveside
Kwa nionavyo Mimi soon mashabiki baada ya dirisha kutungwa watamkaanga yeye
Mwalimu mzuri ,ila kwa EPL ana dalili zote za kufeli, muda utaongeani haki yako kuwaza, lakini sina uhakika kuwa uwezo wa kocha upo kama unavyotaka kutuaminisha, muda ni mwalimu mzuri sana uwe na akiba ya maneno kidogo
Ktk usajili kuna targets 3 kuu kwa ajili yaUnited ni kama hawana a clear structure ya rebuild wanayoifanya.
Casemiro ni panic buy tu, ni mchezaji mzuri sana lakini kwa umri alionao ni kama atakuwa kwaajili ya muda mfupi kikosini katika mpira wa hali ya juu katika career yake.
Tatizo la United wanataka kufanya rebuild yao kwa kulipua tu. Kitu pekee kitamleta Casemiro United ni pesa na hapo ndiyo timu inapokosea kwasababu tunarudi kulekule kulipa mishahara mikubwa ambayo kila mchezaji tukimleta na yeye atataka alipwe kama fulani.
United hawakuwa tayari nini watafanya dirisha la usajili, siwalaumu kwasababu ni era mpya imeanza. Wangetulia tu wasubiri dirisha lijalo. Ila ndiyo hivyo Glazers wanajisafisha kwa mashabiki. Mashabiki nao wanawapamba wachezaji wa Madrid kuwa ni winners kwahiyo wasajiliwe tu hata kama hawafai kwa kile tunachoita rebuild.
Ndiyo apewe mkataba wa 4 + 1 years? Salary £300K pamoja na transfer fee ya €70M.Ktk usajili kuna targets 3 kuu kwa ajili ya
Timu ikifanya usajili bila kuweka hiyo mix, itakwama tu kwenye mashindano
- Plan za muda mfupi (30+ yrs) - hawa ni wale wenye experience na ni wa muhimu kwa immediate impact kwenye timu
- Plan za muda wa kati (23-29yrs) - hawa ni wa muhimu kuiwezesha timu iwe na continuity nzuri kutoka kwa academy hadi kwa wazoefu
- Plan za muda mrefu (>23 yrs)- Hawa ni kwa ajili ya plan za 10+ years to come
Ndio maana sisi Chelsea kupitia uongozi mpya tumewekeza kwenye hayo malengo matatu niliyotaja
Hii mix Man U hamkuwa nayo kwa muda mrefu na ndio maana leo hii Man U imekuwa hovyo hovyo tu
Hapo tupo pamoja ila shida nyingine ya United kwa sasa ni maamuzi ya kocha. Kuna wachezaji akiweza kuwa-drop bila kujali majina, uraia au status zao atakuwa na kikosi cha kwanza kizuri tu.Yawezekana ni kweli ni panic buy chief, ila kwenda hizi match mpaka dirisha lijalo bila dm labda hututakii mema tu, tutapigwa hadi tushangae. Aje tu huku tunaendelea ku explore long term DM ajaye taratibu kuliko hii patner ya Mctominay na Fred
So kwa kauli yako ulitegemea tuchukue ubingwa mwaka huu???Halafu casemiro wa Sasa Ni injury prone, Madrid game za UCL kashinda ,ila kiungo Chao kilikuwa kinazidiwa , angalia hata Zile game na Chelsea,
Casemiro wa Sasa anafata man u pesa , nasikia ana dabo salary
Man u wanarudia kosa Lile Lile walilofanya kwa Varane
Injury prone
Uwezo umepungua
Kocha wa man u hajui anataka nn, kwasasa anajifichia kwenye kichaka Cha wamiliki,
Hivi jiulize project ya man u Ni ipi ,analeta WAZEE , Tena Wala pesa ndefu
Kamsajiri Martinez beki mfupi amchezeshe Kati ,epl itakusulubu TU
Kamsajiri Malacia anakula benchi ,
Kamsajiri Eriksen maji ya jioni
Now anamleta casemiro
Hadi hapo unaona huyu Kocha ameshafeli , ila kwasasa anajifichia chini ya Kwamba Grazzer family ndio wenye shida.
Anadhani epl Ni ereveside
Kwa nionavyo Mimi soon mashabiki baada ya dirisha kutungwa watamkaanga yeye
Binafsi usajiri wa casimiro na man u ya sasa. Naona ni usajiri mzuri kwa kiasi chake
Kama mtakua na kumbukumbu niliwai kusema humu ndani, mnahitaji kiungo mkabaji
Coz hakuna beki duniani akipelekewa moto mara nne mfululizo asipoteane.
Kama casimiro akipiga 6
Eriksen 8
Bruno 10
Kiungo kikiwa sold hayo mengine yatakaa sawa tu
Timu itakua na uhai apo kati kati na beki, hawatakua na pressure sana
Na points zitaokotwa za kutosha tu
De jong asingeweza kutibu tatizo la man u,
Ila de jong akitua Chelsea utakua usajiri mzuri coz pale wanae mtu anaeitwa Ngolo kante
De jong akitua arsenal itakua fresh coz tunae partey
Swali la kujiuluza,
kwanini 10 hang alikua anamng'ang'ania dejong wataki shida kubwa ni kiungo mkabaji?
Hapo ndipo ninapoona tatizo la huyu kocha wetu bwana 10 hang
City kuna fernandinho, rodri
Chelsea yupo Ngolo
Spurs bisuma
Arsenal partey
Je, man u. Yupo nani?
De jong sio kama unavyo mchukulia yeye sawa ni Cm lakini anauwezo mkubwa wa kukaba ndio maana xavi aliwai kumtumia kama center back na pia aliwai kucheza kama centrel back mechi 13 akiwa ajax ambazo 10 walishina na 13 kutoa droo pia anauwezo wa kucheza midle zote ikiwemo CDMBinafsi usajiri wa casimiro na man u ya sasa. Naona ni usajiri mzuri kwa kiasi chake
Kama mtakua na kumbukumbu niliwai kusema humu ndani, mnahitaji kiungo mkabaji
Coz hakuna beki duniani akipelekewa moto mara nne mfululizo asipoteane.
Kama casimiro akipiga 6
Eriksen 8
Bruno 10
Kiungo kikiwa sold hayo mengine yatakaa sawa tu
Timu itakua na uhai apo kati kati na beki, hawatakua na pressure sana
Na points zitaokotwa za kutosha tu
De jong asingeweza kutibu tatizo la man u,
Ila de jong akitua Chelsea utakua usajiri mzuri coz pale wanae mtu anaeitwa Ngolo kante
De jong akitua arsenal itakua fresh coz tunae partey
Swali la kujiuluza,
kwanini 10 hang alikua anamng'ang'ania dejong wataki shida kubwa ni kiungo mkabaji?
Hapo ndipo ninapoona tatizo la huyu kocha wetu bwana 10 hang
City kuna fernandinho, rodri
Chelsea yupo Ngolo
Spurs bisuma
Arsenal partey
Je, man u. Yupo nani?
Fred anashindwa kukaba uyo dejong ataweza kumkaba nani pale EPL uwanja ukichafukaDe jong sio kama unavyo mchukulia yeye sawa ni Cm lakini anauwezo mkubwa wa kukaba ndio maana xavi aliwai kumtumia kama center back na pia aliwai kucheza kama centrel back mechi 13 akiwa ajax ambazo 10 walishina na 13 kutoa droo pia anauwezo wa kucheza midle zote ikiwemo CDM
Ability ya de jong katika ukabaji ni kubwa kuliko fred na ndio maana fred huwez kumchezesha CB pia D jong ukiwa nae atakuoffer vitu vingi kutokana na uwezo wake wa passing skills kubwa kuliko hao diffensive unao wazungumzia pia ten hag haitampa shida ku copy mfumo maana ni mtu ambae alishawai kufanya nae kazi kwa barcerona alikua hawez kuchezeshwa chin kutokana kuwepo kwa all time CDM sergio busquetsFred anashindwa kukaba uyo dejong ataweza kumkaba nani pale EPL uwanja ukichafuka
Unajua EPL wewe?
Imemshinda bakayoko
Aisee kazi ipo,so unataka umuone kwa game iyo moja tu??Mi nataka mkamilishe huu usajili mapema ili acheze mechi na Liverpool tuone kituko mlichoongeza kwenye timu yenu.
Yani hii timu wamiliki, wachezaji, kocha na mashabiki wote akili zao ni za ovyo sana.. mlipiga kelele kwa wadhamini sasa mmepulizwa mmeletewa DM mliekuwa mnamtaka, nina uhakika baada ya jumatatu mtataka wadhamini waondoke tena!
Hii timu hakuna wa kuiokoa hata awepo nani.. mpaka mjue mlipokosea. Timu yenu ni ya kufa tu kwa miaka 30, mtake msitake.. NIPO PALE!
Na unavojiita unajua mpira,casemiro ni kituko eeh,so hujawahi muona,ndo itakua mara ya kwanza kumuona sioMi nataka mkamilishe huu usajili mapema ili acheze mechi na Liverpool tuone kituko mlichoongeza kwenye timu yenu.
Yani hii timu wamiliki, wachezaji, kocha na mashabiki wote akili zao ni za ovyo sana.. mlipiga kelele kwa wadhamini sasa mmepulizwa mmeletewa DM mliekuwa mnamtaka, nina uhakika baada ya jumatatu mtataka wadhamini waondoke tena!
Hii timu hakuna wa kuiokoa hata awepo nani.. mpaka mjue mlipokosea. Timu yenu ni ya kufa tu kwa miaka 30, mtake msitake.. NIPO PALE!
PUMBAMi nataka mkamilishe huu usajili mapema ili acheze mechi na Liverpool tuone kituko mlichoongeza kwenye timu yenu.
Yani hii timu wamiliki, wachezaji, kocha na mashabiki wote akili zao ni za ovyo sana.. mlipiga kelele kwa wadhamini sasa mmepulizwa mmeletewa DM mliekuwa mnamtaka, nina uhakika baada ya jumatatu mtataka wadhamini waondoke tena!
Hii timu hakuna wa kuiokoa hata awepo nani.. mpaka mjue mlipokosea. Timu yenu ni ya kufa tu kwa miaka 30, mtake msitake.. NIPO PALE!
Fernandino yupo City ipi?Binafsi usajiri wa casimiro na man u ya sasa. Naona ni usajiri mzuri kwa kiasi chake
Kama mtakua na kumbukumbu niliwai kusema humu ndani, mnahitaji kiungo mkabaji
Coz hakuna beki duniani akipelekewa moto mara nne mfululizo asipoteane.
Kama casimiro akipiga 6
Eriksen 8
Bruno 10
Kiungo kikiwa sold hayo mengine yatakaa sawa tu
Timu itakua na uhai apo kati kati na beki, hawatakua na pressure sana
Na points zitaokotwa za kutosha tu
De jong asingeweza kutibu tatizo la man u,
Ila de jong akitua Chelsea utakua usajiri mzuri coz pale wanae mtu anaeitwa Ngolo kante
De jong akitua arsenal itakua fresh coz tunae partey
Swali la kujiuluza,
kwanini 10 hang alikua anamng'ang'ania dejong wataki shida kubwa ni kiungo mkabaji?
Hapo ndipo ninapoona tatizo la huyu kocha wetu bwana 10 hang
City kuna fernandinho, rodri
Chelsea yupo Ngolo
Spurs bisuma
Arsenal partey
Je, man u. Yupo nani?