Gadiola kamkuta kdbNilikuwa nachunguza vikosi vya timu zilizoachwa na makocha wakubwa uingereza kwa mfano timu yetu bingwa mtarajiwa wa msimu huu ARSENAL wachezaji pekee waliobaki ni
xhaka ,ernemy,saka,holding hii inaonyesha kila kocha ana watu wake
kwa liva crop ana Henderson ,filminho, wengine wote kawaleta yeye ,
man City hakuna wote wa gardiola ,
Manchester United ndio wabishi sana wachezaji wa farguson awataki kuondoka shaw, Jones, rashfod, ronaldo, matial,
na fagasoni bado yupo
Hata wakiongeza mwezi Tena hakuna tutacho fanyaSio bado wiki mbili tu dirisha la usajili lifungwe sawa sawa.
Nilikuwa nachunguza vikosi vya timu zilizoachwa na makocha wakubwa uingereza kwa mfano timu yetu bingwa mtarajiwa wa msimu huu ARSENAL wachezaji pekee waliobaki ni
xhaka ,ernemy,saka,holding hii inaonyesha kila kocha ana watu wake
kwa liva crop ana Henderson ,filminho, wengine wote kawaleta yeye ,
man City hakuna wote wa gardiola ,
Manchester United ndio wabishi sana wachezaji wa farguson awataki kuondoka shaw, Jones, rashfod, ronaldo, matial,
na fagasoni bado yupo
Mkuu tupumzishe basi mwanangu.Mpo kmya nyie nyumbu kama mnawaza cha maana vile kumbe mnashika mkia tu
Unatuandama kinoma mwanangu. Tuonee huruma ndugu yangu[emoji599][emoji599] BREAKING : Casemiro has offered €50m to Manchester United to stop calling him[emoji23][emoji23][emoji23] Source: [EL_Harry Maguire]View attachment 2327278
Acha tuuzwe tu mkuu.Kuna tetesi club inaweza kuuzwa ndani ya miezi 12 mpaka 24.
Pellegrin ndio almsajili kdb kutoka wolfburg 2016 ,so pep kamkuta kdbNilikuwa nachunguza vikosi vya timu zilizoachwa na makocha wakubwa uingereza kwa mfano timu yetu bingwa mtarajiwa wa msimu huu ARSENAL wachezaji pekee waliobaki ni
xhaka ,ernemy,saka,holding hii inaonyesha kila kocha ana watu wake
kwa liva crop ana Henderson ,filminho, wengine wote kawaleta yeye ,
man City hakuna wote wa gardiola ,
Manchester United ndio wabishi sana wachezaji wa farguson awataki kuondoka shaw, Jones, rashfod, ronaldo, matial,
na fagasoni bado yupo
Manchester United ndio wabishi sana wachezaji wa farguson awataki kuondoka shaw, Jones, rashfod, ronaldo, matial,
na fagasoni bado yupo
Aje tu akutane na Rashid na martial tutamkataa tuTrust me, bora Casemiro kuliko De jong, and he is coming soon kabla ya jumamosi tutapata jibu sote.
Naimani msimu wa kuanzia 2023-2024 (tukijaaliwa uzima), tutakua na wachezaji wengi wapya.Aje tu akutane na Rashid na martial tutamkataa tu
Sent from my Nokia C2 using JamiiForums mobile app
Mchezaji aliyeachwa na Ferguson ni De Gea na Phil Jones tu.Nilikuwa nachunguza vikosi vya timu zilizoachwa na makocha wakubwa uingereza kwa mfano timu yetu bingwa mtarajiwa wa msimu huu ARSENAL wachezaji pekee waliobaki ni
xhaka ,ernemy,saka,holding hii inaonyesha kila kocha ana watu wake
kwa liva crop ana Henderson ,filminho, wengine wote kawaleta yeye ,
man City hakuna wote wa gardiola ,
Manchester United ndio wabishi sana wachezaji wa farguson awataki kuondoka shaw, Jones, rashfod, ronaldo, matial,
na fagasoni bado yupo
Mchezaji aliyeachwa na Ferguson ni De Gea na Phil Jones tu.Nilikuwa nachunguza vikosi vya timu zilizoachwa na makocha wakubwa uingereza kwa mfano timu yetu bingwa mtarajiwa wa msimu huu ARSENAL wachezaji pekee waliobaki ni
xhaka ,ernemy,saka,holding hii inaonyesha kila kocha ana watu wake
kwa liva crop ana Henderson ,filminho, wengine wote kawaleta yeye ,
man City hakuna wote wa gardiola ,
Manchester United ndio wabishi sana wachezaji wa farguson awataki kuondoka shaw, Jones, rashfod, ronaldo, matial,
na fagasoni bado yupo
Kama Fugerson tu wakati anapewa timu,alipigwa vichapo misimu kama mitano ndo akili ikakaa sawa,ila sidhan kama tutahitaji miaka mitano,2024 huko tutakua poa,tuombe tu tusishuke darajaMi shabiki wa united nimekubali kuwa timu ni mbovu sana tena sanaa sijui msimu huu itamfunga nani.
Mkuu rebuild sio lazima uweke makinda pekee,hata aged players wanaweza kuwa na msaada huku ukiongeza mmoja mmoja.United ni kama hawana a clear structure ya rebuild wanayoifanya.
Casemiro ni panic buy tu, ni mchezaji mzuri sana lakini kwa umri alionao ni kama atakuwa kwaajili ya muda mfupi kikosini katika mpira wa hali ya juu katika career yake.
Tatizo la United wanataka kufanya rebuild yao kwa kulipua tu. Kitu pekee kitamleta Casemiro United ni pesa na hapo ndiyo timu inapokosea kwasababu tunarudi kulekule kulipa mishahara mikubwa ambayo kila mchezaji tukimleta na yeye atataka alipwe kama fulani.
United hawakuwa tayari nini watafanya dirisha la usajili, siwalaumu kwasababu ni era mpya imeanza. Wangetulia tu wasubiri dirisha lijalo. Ila ndiyo hivyo Glazers wanajisafisha kwa mashabiki. Mashabiki nao wanawapamba wachezaji wa Madrid kuwa ni winners kwahiyo wasajiliwe tu hata kama hawafai kwa kile tunachoita rebuild.