Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Nilikuwa nachunguza vikosi vya timu zilizoachwa na makocha wakubwa uingereza kwa mfano timu yetu bingwa mtarajiwa wa msimu huu ARSENAL wachezaji pekee waliobaki ni
xhaka ,ernemy,saka,holding hii inaonyesha kila kocha ana watu wake

kwa liva crop ana Henderson ,filminho, wengine wote kawaleta yeye ,

man City hakuna wote wa gardiola ,


Manchester United ndio wabishi sana wachezaji wa farguson awataki kuondoka shaw, Jones, rashfod, ronaldo, matial,

na fagasoni bado yupo
 
Gadiola kamkuta kdb
 
Manchester United bado ina safari ndefu sana mkuu, kama unavyoona kila mtu anaona ni sehemu ya kupigia pesa. Wewe hadi Mama wa Rabiot anataka mwanae atajirikie United kwa mpira upi?

Wachezaji wakiangalia timu inavyoendeshwa hata wao wanaogopa kwenda United.
 
Pellegrin ndio almsajili kdb kutoka wolfburg 2016 ,so pep kamkuta kdb
 
Mchezaji aliyeachwa na Ferguson ni De Gea na Phil Jones tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…