Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kwa kikosi cha City sioni wa kuchuana nao msimu huu nyinyi nkomae mcheze UEFA tu msimi ujao
hio Uefa yenyewe hawanusi msimu ujao.
Kama wewe ni mgeni wa AsaniWali unaweza ukashtuka kwelikweli kwa matokeo ya mechi zao 5 au 6 za mwanzo, ila nakuhakikishia baada ya game hizo wataanza kushikana uchawi wao kwa wao kwenye lile jukwaa lao la matusi.
Arsenal inayoanza ligi kwa mbwembwe za ushindi hua haitoboi kwenye top4.
 
Umenikumbusha mbali Sana. Asernal ilivheza mech 19 ikaja kuitolewa bikira. Na kikombe hawakubeba. Hizi timu zinaishi Kwa majina yao bana
 
Bora hii deal imekuwa off.. bado mchezaji mwenyewe ni wa kusua sua tu, nilisikia wanmdiscuss Caicedo, muda unavokimbia tungekomaa tu na huyu tayari ni proven pia EPL pia
 
Kwa hali mliyokuwa nayo hamna jinsi, kama hamtaki kaeni na timu yenu.
 
Hii mishahara mikubwa inasumbua sana, Bruno amedrop sana yaani, toka ale deal jipya.
 
MARTINELLI: Manchester united signed me from Brazil then brought me to their fitness training ground after completely my Fitness training they told me am not fit for the club, but when Arsenal got that chance they signed me and i pass everything... Arsenal is my
club i will always fight for this club.... I appreciate fans and Arsenal officials.


So sad, yani hamkuona potential kwa huyu dogo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…