Kwa kikosi cha City sioni wa kuchuana nao msimu huu nyinyi nkomae mcheze UEFA tu msimi ujao
Maweeeeee basi Tena kwisha sisinunez yupi wa sporting si kaenda wolves au
Umenikumbusha mbali Sana. Asernal ilivheza mech 19 ikaja kuitolewa bikira. Na kikombe hawakubeba. Hizi timu zinaishi Kwa majina yao banahio Uefa yenyewe hawanusi msimu ujao.
Kama wewe ni mgeni wa AsaniWali unaweza ukashtuka kwelikweli kwa matokeo ya mechi zao 5 au 6 za mwanzo, ila nakuhakikishia baada ya game hizo wataanza kushikana uchawi wao kwa wao kwenye lile jukwaa lao la matusi.
Arsenal inayoanza ligi kwa mbwembwe za ushindi hua haitoboi kwenye top4.
Bora hii deal imekuwa off.. bado mchezaji mwenyewe ni wa kusua sua tu, nilisikia wanmdiscuss Caicedo, muda unavokimbia tungekomaa tu na huyu tayari ni proven pia EPL piaHUYU MAMA WA RABIOT ANGEWAPIGA PESA NDEFU,
Adrien #Rabiot’s deal
Salary request: 9M/year + add-ons
#ManUnited’s salary offered: 7M/year + bonus
Commissions: 10M (request by mom-agent Veronique)
Transfer: €17,5M (total agreement between #MUFC and #Juventus)
Kwa hali mliyokuwa nayo hamna jinsi, kama hamtaki kaeni na timu yenu.United walikua tayari kumfanya Adrien Rabiot moja ya wachezaji wanaolipwa pesa nyingi kwenye daraja moja la kina Bruno Fernandes na Christian Eriksen lakini mama yake Véronique iinasemekana alihitaji mshahara mkubwa zaidi. [ @David_Ornstein ] #MUFC
Naona hawa wajinga wameona united ni pakupigia pesa kwa kiwango gani kwanza.
Hii mishahara mikubwa inasumbua sana, Bruno amedrop sana yaani, toka ale deal jipya.United walikua tayari kumfanya Adrien Rabiot moja ya wachezaji wanaolipwa pesa nyingi kwenye daraja moja la kina Bruno Fernandes na Christian Eriksen lakini mama yake Véronique iinasemekana alihitaji mshahara mkubwa zaidi. [ @David_Ornstein ] #MUFC
Naona hawa wajinga wameona united ni pakupigia pesa kwa kiwango gani kwanza.
We ni timu gani mkuu? Sio kwa kutukandia hukoManchester United are interested in signing Karim Mandonga from Boxing United, as they're finding it difficult to sign Frenkie De Jong.
(Source: @marca)
Hahahhaaa. Majamaa wameona wamchane live mshikaji waoVarane & Ronaldo wamemuambia Casemiro asije Manchester United.
Mkuu hivi wewe ni timu gani??.. Maana kwenye thread za kila timu unapondeaManchester United are interested in signing Karim Mandonga from Boxing United, as they're finding it difficult to sign Frenkie De Jong.
(Source: @marca)
Arsenal huyu kama sijakoseaMkuu hivi wewe ni timu gani??.. Maana kwenye thread za kila timu unapondea
Hata kwenye jukwaa LA arsenal ni mpinga kristo pia..huwa anawaita arsenyetoArsenal huyu kama sijakosea
Hahahhaaaa. Ngoja aje atupe majibu yy mwenyeweHata kwenye jukwaa LA arsenal ni mpinga kristo pia..huwa anawaita arsenyeto
Kwa akili yako ya kuzaliwa na kusoma darasan casemiro anaweza kutoka real Madrid kuja kucheza Europa na man UTDVarane & Ronaldo wamemuambia Casemiro asije Manchester United.
Nyumbu uyoHahahhaaaa. Ngoja aje atupe majibu yy mwenyewe
Na mkataba wa miaka mitano. Yaani sasa hivi hata Mayele anaweza igomea Man.Casamiro anataka mshahara wa £500k per week, ili atue man u.