Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Baadhi ya wachezaji wenzake na Cristiano Ronaldo wanatamani aondoke maana wanaamini itabadilisha mudi ya timu. [ @samuelluckhurst ] #MUFC
 
Dean Henderson mbona ni kipa mzuri tu, kwann mlimtoa kwa mkopo?
Hakuna mchezaji au kipa yeyote yule anayependa kuchoma mahindi. Dogo baada ya kuona hapati namba akaona bora aende kwa mkopo ili kuokoa kipaji chake.
Kinginecho, timu aliyopo haina presha kubwa kama pale OT. NF hata ikifungwa 30-0 dogo hakuna kitakachompata.
Il pale OT kosa kidogo tu utasemwa mpaka basi
 
Nakubaliana na wewe, Ni wachache tunaoona hiko kitu,hata Chelsea sijui Lin kamfunga man u ,sikumbuki,

Liverpool ana majeruhi sehemu ya kiungo, hata beki ,

Hiyo mech Liverpool anakufa au sare
Shida ni mashambulizi ya Liver dhidi ya beki za Man u hapo ndo tatizo linaanzia
 
Nakubaliana na wewe, Ni wachache tunaoona hiko kitu,hata Chelsea sijui Lin kamfunga man u ,sikumbuki,

Liverpool ana majeruhi sehemu ya kiungo, hata beki ,

Hiyo mech Liverpool anakufa au sare
Muhimu kujipa matumaini unafanya jambo sahihi
 
Zile 4-0 mlizompiga Liverpool pre-season zinaenda kuwatokea puani wiki ijayo..

Si mliongea sana, tena mbele ya Klopp!😆
 
Nakubaliana na wewe, Ni wachache tunaoona hiko kitu,hata Chelsea sijui Lin kamfunga man u ,sikumbuki,

Liverpool ana majeruhi sehemu ya kiungo, hata beki ,

Hiyo mech Liverpool anakufa au sare
Mdogo mdogo mnaanza kuchanganyikiwa na kuokota makopo , psychologically mshavurugwa
na bado ........!
 
Basi jamani tumekoma.
Kwani hamuna sehem nyingine yakwenda kuchamba mpaka humu tu?

Kufungwa huko tumekuwa wakwanza sisi?
Tuacheni jamani angalau tupumue, mutatuua kwa pressure.
Au nikupe peter shalulile ingia YouTube mcheki he is currently better than cr7
 
Nakubaliana na wewe, Ni wachache tunaoona hiko kitu,hata Chelsea sijui Lin kamfunga man u ,sikumbuki,

Liverpool ana majeruhi sehemu ya kiungo, hata beki ,

Hiyo mech Liverpool anakufa au sare
akifa mimi shoga
 
Mdogo mdogo mnaanza kuchanganyikiwa na kuokota makopo , psychologically mshavurugwa
na bado ........!
Kipya kipya ? Tatizo mmeanza kuangalia mpira baada ya kikwete kuingia madarakan

Mm hiyo mech nabet Leo mapema kabisa Nampa man u

Man u hii mbovu, muulize Chelsea amemfunga lini mara ya mwisho, man u ya ole ,Pep kachezea vipigo kilaini kabisa

Kipi kipya sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…