Hakuna mchezaji au kipa yeyote yule anayependa kuchoma mahindi. Dogo baada ya kuona hapati namba akaona bora aende kwa mkopo ili kuokoa kipaji chake.Dean Henderson mbona ni kipa mzuri tu, kwann mlimtoa kwa mkopo?
Ronaldo ndio asepeBaadhi ya wachezaji wenzake na Cristiano Ronaldo wanatamani aondoke maana wanaamini itabadilisha mudi ya timu. [ @samuelluckhurst ] #MUFC
Nakubaliana na wewe, Ni wachache tunaoona hiko kitu,hata Chelsea sijui Lin kamfunga man u ,sikumbuki,Liverpool ndo anaenda kutupa uhai sasa.
Shida ni mashambulizi ya Liver dhidi ya beki za Man u hapo ndo tatizo linaanziaNakubaliana na wewe, Ni wachache tunaoona hiko kitu,hata Chelsea sijui Lin kamfunga man u ,sikumbuki,
Liverpool ana majeruhi sehemu ya kiungo, hata beki ,
Hiyo mech Liverpool anakufa au sare
Muhimu kujipa matumaini unafanya jambo sahihiNakubaliana na wewe, Ni wachache tunaoona hiko kitu,hata Chelsea sijui Lin kamfunga man u ,sikumbuki,
Liverpool ana majeruhi sehemu ya kiungo, hata beki ,
Hiyo mech Liverpool anakufa au sare
Ndoto za Ali NachaLiverpool ndo anaenda kutupa uhai sasa.
Ashindwe kukupa uhai Brentford akupe Liverpool? Au unadhani atachezesha walw wa pre-season?Liverpool ndo anaenda kutupa uhai sasa.
Pogba aliitwa kirusi kaondoka, sasa hivi kirusi ni Ronaldo nae akiondoka kirusi atakuwa mwengine.Kocha ashamchoka huyu kirusiView attachment 2324311
Mdogo mdogo mnaanza kuchanganyikiwa na kuokota makopo , psychologically mshavurugwaNakubaliana na wewe, Ni wachache tunaoona hiko kitu,hata Chelsea sijui Lin kamfunga man u ,sikumbuki,
Liverpool ana majeruhi sehemu ya kiungo, hata beki ,
Hiyo mech Liverpool anakufa au sare
Au nikupe peter shalulile ingia YouTube mcheki he is currently better than cr7Basi jamani tumekoma.
Kwani hamuna sehem nyingine yakwenda kuchamba mpaka humu tu?
Kufungwa huko tumekuwa wakwanza sisi?
Tuacheni jamani angalau tupumue, mutatuua kwa pressure.
akifa mimi shogaNakubaliana na wewe, Ni wachache tunaoona hiko kitu,hata Chelsea sijui Lin kamfunga man u ,sikumbuki,
Liverpool ana majeruhi sehemu ya kiungo, hata beki ,
Hiyo mech Liverpool anakufa au sare
Mech Moja ambayo hawataamini macho yaoLiverpool ndo anaenda kutupa uhai sasa.
Ambaye hatazingatia ataonywa. Na ataondokaPogba aliitwa kirusi kaondoka, sasa hivi kirusi ni Ronaldo nae akiondoka kirusi atakuwa mwengine.
Mpira haupo hivo, sitashangaa man u akishinda hiyo gameakifa mimi shoga
Kipya kipya ? Tatizo mmeanza kuangalia mpira baada ya kikwete kuingia madarakanMdogo mdogo mnaanza kuchanganyikiwa na kuokota makopo , psychologically mshavurugwana bado ........!