Tunawashukuru mashabiki wote wa brentford popote pale mlipo kwa kuonyesha ushirikiano wenu siku ya leo.
Kikubwa kenge ataendelea kua kenge na nyumbu ni nyumbu tu.
Nawakumbusha mashabiki wenzangu kwa hali hii mechi inayofata na Liverpool kila mmoja atembee na kikopo chake cha mafuta.
Tunawashukuru mashabiki wote wa brentford popote pale mlipo kwa kuonyesha ushirikiano wenu siku ya leo.
Kikubwa kenge ataendelea kua kenge na nyumbu ni nyumbu tu.
Nawakumbusha mashabiki wenzangu kwa hali hii mechi inayofata na Liverpool kila mmoja atembee na kikopo chake cha mafuta.
The new United manager warned Pep Guardiola and Jürgen Klopp that 'an era can come to an end' before declaring his intention to go into battle with them next season.
24 May 2022.
Wapi ww humu ulikuwa unamsapoti tena kuna siku nliandika hapa list ya wachezaji wakuondolewa man u nikasema de gea shaw na maguaya mkanipiga mdomo ww na chief-mkwawa