Bado kuna watu watakuja kusema Ronaldo ndio chanzo cha kupigwa hizi tatu.
Kiufupi hapo nyuma (ulinzi) tupo hovyo sana, ndiomaana tunamiliki mpira ila kila shambulio linalokuja kwetu ni goli, kipa na mabeki wote washenzi tu.
Namuonea huruma sana player wangu Ronaldo, sijui kwanini alijichanganya kuja kwenye hili liteam la kijinga.