si Kila kinachoingia mjini kinapaswa kuigwa na walimwengu.Nyie NYUMBU huyu mtu mtamfanya nini endapo ikiwa kweli?
Man United wanaajiri makocha kwajili ya kuwadhalilishaRabiot has been on United’s list all summer and gained Ten Hag’s full support after being proposed by United’s recruitment team.
Maneno ya Laurie whittwell
---------------------
- vitinha - euro million 35 amekwenda PSG
- bissouma - paundi million 25 amekwenda totteham
- paredes - paundi million 15 anakwenda juventus
- Konard laimer - paundi million 25 anagombaniwa na Bayern kutoka leipzig
- Ibrahim sangare - euro million 30 yupo psv
- Douglas Luis - paundi million 15 hadi 35 yupo Aston villa
- Ongeza na wa kwako wewe msomaji
Sajili za ten hag inaonekana zimemalizika baada ya kukawama dili la de jong, kifuatacho sasa ni sajili za timu ya wasaka wachezaji. Timu hii ndio iliomchagua wan bissaka katika mabeki 804 waliokuwepo ndani ya database yao.
Na huyu akishindwa ni bora timu ivunjweMan United wanaajiri makocha kwajili ya kuwadhalilisha
De jong anaenda chelseafc dah nawahurumia kwenye hiki kipindi kigumu mnachopitia mchezaji ambaye msimu Huu alikuwa first priority wenu mliacha kabisa kufocus kusajili wachezaji wengine kwasababu yake leo hii Chelsea ambayo haikuwa na mpango nae awali kabisa dakika hizi za majeruhi wamewapindua dah! Hii team yenu kiukweli ina laanaNa huyu akishindwa ni bora timu ivunjwe
Tufyatue tu uzi kwasasa mpaka za kwenda kulalaMan Utd third kitView attachment 2321732
kaka hyo kazi ya Luís Filipe Hipólito Reis Pedrosa Campos ndo anaibdlisha psg mtu kama huyu kakosekana pale unitedBeing told PSG wanamtaka Rashyy! (MBE) ,,, !!!
akwende tu, wa Nini huyu,,, flop !
i.e ni Nini PSG wamekiona kwa huyu mtoto wa kiingereza ? Currently Hawa wafaransa wamebadili Sana sera yao ya usajiri, mfano dhahiri ni msimu huu,,, wame_recruit potentials with definite price,,,, !!!!
Sio kudili Sana na majina makubwa na ada kubwa ! Au wanakwepa rungu la FFP
Old Trafford sijui mchawi ni nani pale. Sometimes ukiwalaumu matajiri ten years huko wame fund wamenunua Sana wachezaji. Pale recruiter ninamashaka naokaka hyo kazi ya Luís Filipe Hipólito Reis Pedrosa Campos ndo anaibdlisha psg mtu kama huyu kakosekana pale united
Recruitment ina shida sana..pesa zimemwagwa kibao tu..Old Trafford sijui mchawi ni nani pale. Sometimes ukiwalaumu matajiri ten years huko wame fund wamenunua Sana wachezaji. Pale recruiter ninamashaka nao
Mkuu wewe unafikiria ki laymen sio mfanyabiashara.Nimeitoa sehemu uko.
Watu wanalaumu wachezaji, lakini United wana bili ya juu zaidi ya mishahara ya wachezaji na uhamisho wa pili wa juu zaidi wa miaka 5 iliyopita ya klabu yoyote kwenye ligi. Ni nini kingine unaweza kutaka kutoka kwa wamiliki kuliko kuingiza pesa kwenye kikosi? Binafsi nadhani Glazers wameangushwa vibaya na watu wanaoendesha klabu kwa ajili yao. Bodi, wasimamizi, na, kusema ukweli, wachezaji. Je, tunasema kwa dhati tatizo la United ni kwamba hakuna fedha za kutosha zimetumika kwa wachezaji, wakati tumetumia zaidi ya klabu nyingine yoyote kwenye ligi? Ikiwa hiyo sio shida - sioni kabisa jinsi kubadilisha wamiliki husaidia. Nadhani hatimaye ni jukumu la wamiliki kupata watu bora zaidi ili kuendesha klabu - lakini ningeona watu kama Woodward, wasimamizi wa mifugo, bodi n.k, kuwa ndio wenye makosa zaidi hapa.
Wame fund kumnunua mchezaji gani? Sababu wao wanaangalia marketable players kuliko watu wanaokuja kutu improve, tulikaa Bila Right winger toka Nani aondoke mpaka juzi kaja Sancho, Tumekaa Bila DM wa uhakika miaka Mingi tu, unakuta Timu position moja ina watu hadi 5 halafu position nyengine hakuna kabisa watu Tumlaumu nani? Sababu Head wa Recruiting ni wao wenyewe Bodi na Woodward alikuwa kibaraka wao.Old Trafford sijui mchawi ni nani pale. Sometimes ukiwalaumu matajiri ten years huko wame fund wamenunua Sana wachezaji. Pale recruiter ninamashaka nao
Man u wafanye faster kabla jamaa hawajastukia.Being told PSG wanamtaka Rashyy! (MBE) ,,, !!!
akwende tu, wa Nini huyu,,, flop !
i.e ni Nini PSG wamekiona kwa huyu mtoto wa kiingereza ? Currently Hawa wafaransa wamebadili Sana sera yao ya usajiri, mfano dhahiri ni msimu huu,,, wame_recruit potentials with definite price,,,, !!!!
Sio kudili Sana na majina makubwa na ada kubwa ! Au wanakwepa rungu la FFP