Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Leandro Paredes has full agreement on personal terms with Juventus. He is now waiting for Juventus and Paris Saint-Germain to find an agreement on fee/formula.
️ #Juventus

Negotiations still ongoing, Juve want to sell at least one between Rabiot to Man Utd and then Arthur. https://t.co/IJYaMMucMs
 
Rabiot has been on United’s list all summer and gained Ten Hag’s full support after being proposed by United’s recruitment team.
Maneno ya Laurie whittwell
---------------------
  1. vitinha - euro million 35 amekwenda PSG
  2. bissouma - paundi million 25 amekwenda totteham
  3. paredes - paundi million 15 anakwenda juventus
  4. Konard laimer - paundi million 25 anagombaniwa na Bayern kutoka leipzig
  5. Ibrahim sangare - euro million 30 yupo psv
  6. Douglas Luis - paundi million 15 hadi 35 yupo Aston villa
  7. Ongeza na wa kwako wewe msomaji

Sajili za ten hag inaonekana zimemalizika baada ya kukawama dili la de jong, kifuatacho sasa ni sajili za timu ya wasaka wachezaji. Timu hii ndio iliomchagua wan bissaka katika mabeki 804 waliokuwepo ndani ya database yao.
 
Man United wanaajiri makocha kwajili ya kuwadhalilisha
 
Na huyu akishindwa ni bora timu ivunjwe
De jong anaenda chelseafc dah nawahurumia kwenye hiki kipindi kigumu mnachopitia mchezaji ambaye msimu Huu alikuwa first priority wenu mliacha kabisa kufocus kusajili wachezaji wengine kwasababu yake leo hii Chelsea ambayo haikuwa na mpango nae awali kabisa dakika hizi za majeruhi wamewapindua dah! Hii team yenu kiukweli ina laana
 
Being told PSG wanamtaka Rashyy! (MBE) ,,, !!!

akwende tu, wa Nini huyu,,, flop !

i.e ni Nini PSG wamekiona kwa huyu mtoto wa kiingereza ? Currently Hawa wafaransa wamebadili Sana sera yao ya usajiri, mfano dhahiri ni msimu huu,,, wame_recruit potentials with definite price,,,, !!!!

Sio kudili Sana na majina makubwa na ada kubwa ! Au wanakwepa rungu la FFP
 
kaka hyo kazi ya Luís Filipe Hipólito Reis Pedrosa Campos ndo anaibdlisha psg mtu kama huyu kakosekana pale united
 
Kwa Siku za hivi karibuni nimeona malalamiko makubwa Kwa matokeo yetu. Lkn pia nimekua nikisubiri miaka kadhaa tupate namba sita DM ya uhakika ndio nitoe conclusion yangu. Na hapo ndio nawaona maskauti wapumbavu Sana, yaani wanamakengeza sana hivi Middle miaka na miaka hawaoni hilo pengo??

Dalot ni mvivu aende tu....

Pale Old Trafford apatikane middle tuuu.....


Akija acheze 4.2.3....... Fred au maktominay atumike kuvuruga tu.🆗🔥👍utawaka.
 
Mkuu wewe unafikiria ki laymen sio mfanyabiashara.

Kwenye Biashara Asset zinatumika kuchukulia mikopo, Kwako wewe laymen unaona kumpa Mchezaji mshahara mkubwa wamejitahidi, Alichofikiria Woodward na Glazzer kumpa mshahara mkubwa Mchezaji kunamuongezea thamani, Thamani ya Mchezaji inapoongezeka na thamani ya Timu inaongezeka, thamani ya timu ikiwa kubwa Asset nayo inakuwa Kubwa, Asset ikiwa kubwa wanaweza wakachukua mikopo kadri wanavyotaka.

Nikukumbushe tu Mkuu 2004 wakati Glazzer wanafanya michakato ya Kununua hisa za Timu Man united ilikuwa haidaiwi hata Sh 10,

Ila Toka Glazzer aje tunadaiwa kama 500M pounds madeni na zaidi ya 1B pound imetoka kulipa riba ya Deni, bila kusahau Dividends, hivyo tunaongelea Around 2B zimetolewa Kwenye Club kuingia kwenye mifuko ya Hao parasite.
 
Old Trafford sijui mchawi ni nani pale. Sometimes ukiwalaumu matajiri ten years huko wame fund wamenunua Sana wachezaji. Pale recruiter ninamashaka nao
Wame fund kumnunua mchezaji gani? Sababu wao wanaangalia marketable players kuliko watu wanaokuja kutu improve, tulikaa Bila Right winger toka Nani aondoke mpaka juzi kaja Sancho, Tumekaa Bila DM wa uhakika miaka Mingi tu, unakuta Timu position moja ina watu hadi 5 halafu position nyengine hakuna kabisa watu Tumlaumu nani? Sababu Head wa Recruiting ni wao wenyewe Bodi na Woodward alikuwa kibaraka wao.
 
Man u wafanye faster kabla jamaa hawajastukia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…