Manchester United (Red Devils) | Special Thread

TEN HAG MAPEMA TU ANAWEZA KUJICHANGANYA

Yaani man u inaacha kumsajiri Anatovic kisa kelele za Mashabiki?

Yaan imefikia hatua timu inaendeshwa kwa kelele za Mashabiki na sio Tactic za mwalimu ? Mbona ten hag mapema Sana anakubal huu ujinga

Kocha ameona Anatovic kwa profile zake atamsaidia kwenye ushambuliaji , gafla anaacha kumsajiri kisa kelele za kina allypipi

Kaz ipo
 
Mkuu mimi wapi nimesema arnautovic mbovu mkuu kushikana mashati huku.
 
Duh unaota wewe mdada
we nadhani umezaliwa na wafira.naji sababu hauwezi muita mwanamme dada, lazima baba ako alishafumuliwa fumuliwa na mashemeji zake, so unadhani kila mwanamme ni kama baba ako.
 
sio kutegemea kitu ila hata usajili tu hawa watu wanazingua de jong anaeza kwenda chelsea hukubali bado kwamba hawa jamaa wamefeli
 
Na huyu mnaweza kumkosa , bakini na kina MCFRED😂😂😂😂

🚨 Adrien Rabiot's transfer to Manchester United is currently blocked, there is still no agreement between Man United and the player.🇫🇷🔴 #MUFC

(@DiMarzio🌕 via @utdreport)
 
we nadhani umezaliwa na wafira.naji sababu hauwezi muita mwanamme dada, lazima baba ako alishafumuliwa fumuliwa na mashemeji zake, so unadhani kila mwanamme ni kama baba ako.
Unatoa siri za marehemu baba ako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…