Mkuu mimi wapi nimesema arnautovic mbovu mkuu kushikana mashati huku.TEN HAG MAPEMA TU ANAWEZA KUJICHANGANYA
Yaani man u inaacha kumsajiri Anatovic kisa kelele za Mashabiki?
Yaan imefikia hatua timu inaendeshwa kwa kelele za Mashabiki na sio Tactic za mwalimu ? Mbona ten hag mapema Sana anakubal huu ujinga
Kocha ameona Anatovic kwa profile zake atamsaidia kwenye ushambuliaji , gafla anaacha kumsajiri kisa kelele za kina allypipi
Kaz ipo
MANCHESTER UNITED AKIONGOZA LIGI HATA KWA SEKUNDE TU NIITENI MBWA NIMEKAA PALE
Hapana ,kukuweka wewe nimemaanisha Mashabiki wenzio ,Mkuu mimi wapi nimesema arnautovic mbovu mkuu kushikana mashati huku.
we nadhani umezaliwa na wafira.naji sababu hauwezi muita mwanamme dada, lazima baba ako alishafumuliwa fumuliwa na mashemeji zake, so unadhani kila mwanamme ni kama baba ako.Duh unaota wewe mdada
sio kutegemea kitu ila hata usajili tu hawa watu wanazingua de jong anaeza kwenda chelsea hukubali bado kwamba hawa jamaa wamefeliDah yani nashangaa fans wenzangu mnavyo lalamika yani hivi mlitegemea nini cha ajabu man u tutafanya msimu huu.
Yani kocha hata mechi 10 ajamaliza kelele mbona tulikubalia humu kuwa msimu huu tusitarajie makubwa mmekuwaje hivi.
Hivi mnajua mki panic mashabiki mna mpa kocha nae pressure ya kufanya nae a panic.
Mimi kama allypipi kwangu kwenda big 4 au kushinda ueropa naona ndo yatakuwa mafanikio makubwa kwetu msimu huu hakuna jipya.
Nakushauri tu kama una tegemea makubwa kutoka kwa Manchester united msimu huu bora uache kufatilia mpira tu Mpaka pale utaposikia mambo yapo sawa.
hata Ac milan wamekaa muda lakini wamevumilia msimu ulio kwisha wametwaa taji.
Inabidi tu tukubali kwamba kwa sasa hatuna uwezo huo wakujilinganisha na liver,city
Tuvumilie tu ndo timu yetu.
Sio mbwa nitakuita ku.ma yenye maji.MANCHESTER UNITED AKIONGOZA LIGI HATA KWA SEKUNDE TU NIITENI MBWA NIMEKAA PALE
Unatoa siri za marehemu baba akowe nadhani umezaliwa na wafira.naji sababu hauwezi muita mwanamme dada, lazima baba ako alishafumuliwa fumuliwa na mashemeji zake, so unadhani kila mwanamme ni kama baba ako.
Ile ya maza akoSio mbwa nitakuita ku.ma yenye maji.
Nyie kuweni basi yani kisa ushabiki ndo mtukanane Tanzania sijui tupoje yani.Ile ya maza ako
Nakubaliana na wewe.Ngoja tuone uzuri atakuja kama low profile player huenda akatulia
Povu Ilo asee slow it downSio mbwa nitakuita ku.ma yenye maji.
ETH anajua kukosekana sita ya ukakika kunamuangazia Sana captenCha ukweli sema basi wanamuonea yy wakati uwanjani wanacheza 11.
Oya nyumbu eeh ka brentford hakooo kanakuja huku kanatafuna Karanga mbichi