Ebu kuwa na heshima usitufananishe na Man u please sisi tunaweza tukafunga 1 lakini ukuta wetu hauguswiMsisajiri CF na wenzenu Chelsea muone joto ya jiwe
Na kiungo mbaki na MCFRED
Hi timu hata akija FDJ bado mtapigika , RB hewa, Degea aki presiwa tu anatetemeka,
Werner anarudi Leipzig.. .Lazima tusajili CF...Msisajiri CF na wenzenu Chelsea muone joto ya jiwe
Na kiungo mbaki na MCFRED
Hi timu hata akija FDJ bado mtapigika , RB hewa, Degea aki presiwa tu anatetemeka,
ETH muda wake unaisha kwa speed kali mno, huenda Christmas akawa ameshatimuliwa. Makosa ya ETH kutobadilisha kikosi. Hao vijana walishashindwa toka msimu uliopita. Inasikitisha sana.
Yale ya msimu uliopita mmeyaanza tena?Werner anarudi Leipzig.. .Lazima tusajili CF...
Moto wetu ni mkali hakuna takataka itatamani kucheza na sisi.
Shida ya Maguire ana likichwa likubwa kama Transforma, kichwa kinachukua muda mrefu kuchakata matukio yanayoendelea uwanjani.
Badala ya kudeal na matatizo yetu ambayo kimsingi ni makubwa, sisi tulianza kutafuta mchezaji mmoja wa kuangushiwa lawama.Kuna vitu ni rahisi sana kuona, yeye ETH ajiulize ni timu gani Top6 pale EPL MACFRED wanapata namba ndio atajua hana timu.
Timu yetu ni mbovu mno,yani ni mbovu kupita maelezo, nilisema humu,sikutegema hadi ligi inaanza hatujanunua DM makini.
Kwa ubovu wetu,baada ya kupata kocha na dirisha kufunguliwa,kabla ya kwenda preseason tulipaswa kuwa tumenunua wachezaji sio pungufu ya sita ili aanze kujenga timu mapema.
Sajili zote za saiv zinamwaga moto...Yale ya msimu uliopita mmeyaanza tena?
Badala ya kudeal na matatizo yetu ambayo kimsingi ni makubwa, sisi tulianza kutafuta mchezaji mmoja wa kuangushiwa lawama.
Hiki kinachotupata ni halali yetu.