Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Badala ya kudeal na matatizo yetu ambayo kimsingi ni makubwa, sisi tulianza kutafuta mchezaji mmoja wa kuangushiwa lawama.

Hiki kinachotupata ni halali yetu.
 
Badala ya kudeal na matatizo yetu ambayo kimsingi ni makubwa, sisi tulianza kutafuta mchezaji mmoja wa kuangushiwa lawama.

Hiki kinachotupata ni halali yetu.
Timu imeshakuwa kituko hii mkuu,tuvumilie tu.

Timu yetu nadhani ndio timu pekee ambayo ni mbovu kila sehemu,kuanzia mabeki,viungo hadi kwenye ushambuliaji mpaka kwenye uongozi. Nashangaa kocha alikuja kutengeneza timu eti akaendelea na Maguire kama nahodha wake.😂😂😂

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…