Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ronaldo auzwe tu hizi sasa ni dharau kwa wachezaji wenzake, mashabiki na timu kwa ujumla. Sababu ipi ya msingi imemfanya aondoke uwanjani kabla mechi haijaisha?View attachment 2310262
Hapo anwafundisha nn vijana huyu ndo anatuharibia team ,watu waliokuwa wanampinga walikuwa na sababu muhimu sana.

Kwa sasa aende tu ukizingatia hakuna alichobadilisha katika team ,hana mapenzi tena na club japokuwa mashabiki wanampenda
 
Hawa ndio mashabiki wa Man utd wasio hata na chembe ya uvumilivu.

Hao Liverpool wanaooneka wazuri hawakujengwa kwa msimu mmoja pekee,kulikua na wachezaji kibao vimeo wakina sturidge,moreno n.k wakaanza kuchujwa mmoja mmoja mpaka ukatengenezwa mfumo ambao kila mchezaji akija anafit.

Na bado mashabiki wa Liva wakavumilia japo hawakuchukua ubingwa wa epl miaka 30,leo hii wanakula matunda.

Hapa tuna mwezi mmoja tu na Ten Hag ,ten pre season watu tunatoa mapooovu,tunataka kufanya ujinga ule ule wa kunnunua tu bila kutengeneza mfumo.

Bado tuna safari angalau misimu miwili tuwe vizuri,tuvute subira tusijaribu kujifananisha.

Trust the process.
 
Inaonekana wewe jamaa unaujua mpira vizuri sana

Uwe unatembelea kule jukwaa la gunner. Karibu sana pande zile mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…