Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hawa ndio mashabiki wa Man utd wasio hata na chembe ya uvumilivu.

Hao Liverpool wanaooneka wazuri hawakujengwa kwa msimu mmoja pekee,kulikua na wachezaji kibao vimeo wakina sturidge,moreno n.k wakaanza kuchujwa mmoja mmoja mpaka ukatengenezwa mfumo ambao kila mchezaji akija anafit.

Na bado mashabiki wa Liva wakavumilia japo hawakuchukua ubingwa wa epl miaka 30,leo hii wanakula matunda.

Hapa tuna mwezi mmoja tu na Ten Hag ,ten pre season watu tunatoa mapooovu,tunataka kufanya ujinga ule ule wa kunnunua tu bila kutengeneza mfumo.

Bado tuna safari angalau misimu miwili tuwe vizuri,tuvute subira tusijaribu kujifananisha.

Trust the process.
 
Inaonekana wewe jamaa unaujua mpira vizuri sana

Uwe unatembelea kule jukwaa la gunner. Karibu sana pande zile mkuu
 
Mtu mzima kutukanwa na mtoto mdogo anayeishi kwa wazazi wake inakera sana.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] kule wanawezana wenyewe kwa wenyewe, mimi hua naenda kuwatia moto kidogo tu halafu faster nasepa, wachangiaji wa kule wengi ni madereva wa bodaboda, lazima ujitoe wazimu kwanza kabla ya kuchangia kwenye jukwaa lao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…