Madai yake yanahusija Nini na kuhamia Man ?Fatilia vzr shida sio UCL , Kuna mengi Sana kwenye sakata la De jong, Dejong ana wadai Barca , halafu haipend tu man u ,
Siku hizi wachwzaj wanaangalia pesa kwanza kabla ya UCL
Hawezi kuondoka Barca bila kulipwa pesa yake ila pia De Jong mwenyewe anapendelea kubaki Barca.Madai yake yanahusija Nini na kuhamia Man ?
Haridhiki na usajiri wa man u, kwan amejua leo man u haitacheza UCL? Alikuwa wapi ligi ilipoisha tuNa Ronaldo exit he, nayo sio UCL
De jong hayupo tayari kwenda Man huo ndo ukweli ni bora aendelee kubaki Barca hata wakimpunguzia mshahara wakeFatilia vzr shida sio UCL , Kuna mengi Sana kwenye sakata la De jong, Dejong ana wadai Barca , halafu haipend tu man u ,
Siku hizi wachwzaj wanaangalia pesa kwanza kabla ya UCL
De jong hayupo tayari kwenda Man huo ndo ukweli ni bora aendelee kubaki Barca hata wakimpunguzia mshahara wake
Wapi alisema haipendi United? Zaidi ni vyanzo vingi vya habari vinasema De Jong anapendelea kubaki Barca kwasababu ni club ya ndoto yake tokea alipokuwa mdogo, pia anataka kucheza UCL.Fatilia vzr shida sio UCL , Kuna mengi Sana kwenye sakata la De jong, Dejong ana wadai Barca , halafu haipend tu man u ,
Siku hizi wachwzaj wanaangalia pesa kwanza kabla ya UCL
Ndio maana ronaldo akawapa wake up call, man u hatupo makini nowdays!Timu yetu haiko serious tu tusubiri msimu basi. Hizo sajili 2 hazitufikishi popote hata de jong akija atacheza msimu mzima?? Siku akiumia miezi miwili tunarudi na kina macfred hehehe okay tulihitaji watu wapya hata watano au 6 kuanza kua serious na ligi. Tunashangilia mechi za pre season sijui wacha tuonee.
Haitaji Man U kwa sababu ya UCl kama ambavyo Ronaldo naye anaikacha Man U kwa sababu ya UCL na hakuna jitihada za kufanya usajili wa maanaSio kwamba hayupo tayari nilivyosoma gazeti la Marca ni kuwa hayupo tayari kukatwa hela zake na kama kwenda Man U ni mpaka sloped usd 17m anazowadai Baraca ambao wanataka waktupoe Man U bila kumlipa chochote
Ronaldo yupo tayari kuacha kucheza mpira kuliko kucheza Europa,Amekuambia..
Umekua mbea kiasi hicho kwanini?De Jong haitaki hata kuisikia Manure
Kasema akilazimishwa kutoka Camp Nou basi ni darajani.
Kukosa UCL kitawagharimu sana
Shibe hiyoDe Jong yuko tayari kucheza beki.. kukatwa mshahara.. ilimradi tu asije kwenye hili timu.
Aliwahi kuongea na Luis Van Gaal akampanga hali ilivyo kwenye hii klabu yenu ya ajabu, very bad dressing room atmosphere, No UCL..
Sasa hivi anaenjoy na Barca yake. Tena kwenye mechi ya juzi ya kirafiki dhidi ya Madrid akachezeshwa beki no. 5 na kakamua vizuri tu, kisha anafuraha.. SASA NYIE MNATAKA AENDE WAPI NYIE NZI WEKUNDU?
Achen mbwembweKitasa kipya ndani ya OT una ambiwa jamaa anaweza kaba mpaka akili za wapinzani wanachowaza.View attachment 2305774
Yeah mtaimprove ila top 4 mxahauNmetoka kuangalia training session ( mazoezi) ya man u chini ya 10hag.
Personally I HOPE A LOT