Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ten hag alisema hatosajili wachezaji aghali, inamaana hiyo bei tunayosikia ya DeJong sio aghali? huyu Ten hag awe controlled kwenye hii issue asilete michezo kama ya Ralf Rangnick alafu aje asepe huku anaipaka mbovu management na board.
Mchezaji anakuwa ghali kama uwezo wake hauendani na price tag yake na thamani ya mchezaji inajumuisha vitu vingi uwezo uwanjani, mkataba n.k. United wana uwezo wa kumnunua mchezaji kama De Jong ndiyo maana wapo tayari kutoa hiyo pesa.

Unaposema mchezaji ni ghali kuna mawili aidha ni overpriced au timu haina uwezo wa kumnunua mchezaji wa thamani hiyo. Price valuation zipo wazi na kama mchezaji anakuwa overpriced kuna factors mbalimbali na main factor ni kama club inayouza haipo tayari kumpoteza mchezaji wake inaweka price tag kubwa ili bei isifikiwe kirahisi na kama ikifikiwa ni faida kwao, rejea dili la Nunez kwenda Liverpool ile siyo thamani halisi ya Nunez na hata viongozi wa Benfica walisema wazi ilipokuja offer kutoka Liverpool hawakuamini na hawakuwa na sababu ya kukataa offer hiyo.

Sasa huwezi kusema De Jong ni ghali wakati United ina uwezo wa kulipa ada ya uhamisho pamoja na mshahara wa mchezaji kama De Jong. There's a reason United wanaweza kuwa na mchezaji kama Ronaldo. Club inayopaswa kuona thamani ya De Jong ni ghali ni kama Fulham au Brighton.
 
So unaona FdJ atakuja 100pc???
 
Sasa Huyo De Jong Watamalizana Nae Lini?...Maana Kama Ni Kweli Hawana Pesa Ya Kumlipa Hicho Anachokidai, Mbona Wanafanya Sajili Kubwa Kubwa Kwenye Dirisha Hili, Raphinha (€65M), Lewandowski(€50M) Na Watamalizana Na Kounde Muda Si Mrefu Kwa €60M...Mimi Hata Siwaelewi Hao Barca Pamoja Na Huyo De Jong Wao.
 
Ten hag alisema hatosajili wachezaji aghali, inamaana hiyo bei tunayosikia ya DeJong sio aghali? huyu Ten hag awe controlled kwenye hii issue asilete michezo kama ya Ralf Rangnick alafu aje asepe huku anaipaka mbovu management na board.
£85M ni hela ya kawaida kwenye usajili wa sasa.

Jiulize CR7 alienda Madrid mwaka gani na kwa hela gani?

Msimu ujao hata £100M wataanza zizoea.
 
mufc are set to face National League side Wrexham in an additional pre-season friendly fixture at Carrington on Wednesday behind-closed-doors
 
Ronaldo tukijenga structure nzuri....I hope anaweza kutushagaza wengi tunaompinga.....mm kwa sasa kila kitu ETH anachokisema bc namuunga mkono coz nmetoamapendekezo mengi lkn bdo hatukufanya vzr.....so united fans naomba tutulie
Mwaka huu tutaona utofauti mkubwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…