Nyie msifieni tu huyo kiparangoto wenu. Halafu tukutane ligi ikianza..During the tour a #mufc player was twice late for meetings. Ten Hag had been planning to use him in a game but dropped him by way of punishment.
He sees tardiness as a symptom of slipping standards and is very clear on what he will and won't accept
kwani hakuna kiungo mwengine jamaa hataki kuja kama ronaldo wangemruhusu tu asepe wangechukua Scamacca west ham washamchukuaTen hag alisema hatosajili wachezaji aghali, inamaana hiyo bei tunayosikia ya DeJong sio aghali? huyu Ten hag awe controlled kwenye hii issue asilete michezo kama ya Ralf Rangnick alafu aje asepe huku anaipaka mbovu management na board.
United tunamchukua cf SESKO wa RB SALZBURG dogo yuko vzr km halaand tukwani hakuna kiungo mwengine jamaa hataki kuja kama ronaldo wangemruhusu tu asepe wangechukua Scamacca west ham washamchukua
Hii ndiyo shida wachezaji anaowapendekeza kocha hamuwataki kwa sababu zenu binafsi ili akipewa second choices akifeli muanze kulaumu tena. Una uhakika gani hao "quarter the price" players siyo the next Di Maria?Barca wako reasonable sana kwenye hii issue, they have a financial crisis to resolve and here is Man UTD ready to make an overpriced payment for a Player they can replace for a quarter the price.
Ten hag could be playing a blame game by pushing for an unlikely deal, it is him who needs to see that bringing De Jong will be a disaster, this De Jong is going to be the next De Maria if ever he joins Man Utd.
Mchezaji anakuwa ghali kama uwezo wake hauendani na price tag yake na thamani ya mchezaji inajumuisha vitu vingi uwezo uwanjani, mkataba n.k. United wana uwezo wa kumnunua mchezaji kama De Jong ndiyo maana wapo tayari kutoa hiyo pesa.Ten hag alisema hatosajili wachezaji aghali, inamaana hiyo bei tunayosikia ya DeJong sio aghali? huyu Ten hag awe controlled kwenye hii issue asilete michezo kama ya Ralf Rangnick alafu aje asepe huku anaipaka mbovu management na board.
Bado hayupo levels za Haaland. Potentially anaweza kufika, asifike au zaidi ya levels za Haaland.United tunamchukua cf SESKO wa RB SALZBURG dogo yuko vzr km halaand tu
RENT FREENyie msifieni tu huyo kiparangoto wenu. Halafu tukutane ligi ikianza..
Kwani ligi haianzi tu?!
So unaona FdJ atakuja 100pc???Hii ndiyo shida wachezaji anaowapendekeza kocha hamuwataki kwa sababu zenu binafsi ili akipewa second choices akifeli muanze kulaumu tena. Una uhakika gani hao "quarter the price" players siyo the next Di Maria?
Mpaka Barca wanakubali ada ya uhamisho ya De Jong it means wapo tayari kumlipa De Jong, Barca wanaitaka pesa ya United na ili waipate ni lazima wamalizane na De Jong kwanza.
EtH siyo fala kukubali dili liendelee akiwa hana uhakika wa kumpata mchezaji huku ligi ikikaribia kuanza. Kwasababu EtH na FdJ wana mawasiliano tegemea kuna tusiyoyajua nyuma ya pazia.
WtfSources involved say it is increasingly more likely that Cristiano Ronaldo stays at #mufc, but there is still a lack of clarity.
[@David_Ornstein]
Yes uwezo wake ni mkubwa sana.Babu unamkubali sana huyu jamaa.
Sasa Huyo De Jong Watamalizana Nae Lini?...Maana Kama Ni Kweli Hawana Pesa Ya Kumlipa Hicho Anachokidai, Mbona Wanafanya Sajili Kubwa Kubwa Kwenye Dirisha Hili, Raphinha (€65M), Lewandowski(€50M) Na Watamalizana Na Kounde Muda Si Mrefu Kwa €60M...Mimi Hata Siwaelewi Hao Barca Pamoja Na Huyo De Jong Wao.Hii ndiyo shida wachezaji anaowapendekeza kocha hamuwataki kwa sababu zenu binafsi ili akipewa second choices akifeli muanze kulaumu tena. Una uhakika gani hao "quarter the price" players siyo the next Di Maria?
Mpaka Barca wanakubali ada ya uhamisho ya De Jong it means wapo tayari kumlipa De Jong, Barca wanaitaka pesa ya United na ili waipate ni lazima wamalizane na De Jong kwanza.
EtH siyo fala kukubali dili liendelee akiwa hana uhakika wa kumpata mchezaji huku ligi ikikaribia kuanza. Kwasababu EtH na FdJ wana mawasiliano tegemea kuna tusiyoyajua nyuma ya pazia.
£85M ni hela ya kawaida kwenye usajili wa sasa.Ten hag alisema hatosajili wachezaji aghali, inamaana hiyo bei tunayosikia ya DeJong sio aghali? huyu Ten hag awe controlled kwenye hii issue asilete michezo kama ya Ralf Rangnick alafu aje asepe huku anaipaka mbovu management na board.