Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mkuu safi sana kwa hili bandiko.

Hebu nipe mtizamo wako kwa kesho ya united chini ya hawa vijana katika eneo la kiungo kwenye mikono salama ya Erik Ten Hag.
1. Savage
2. Hannibal Mejbri
3. James Garner
4. Zidan Iqbal
mkuu hili tulishawahi kulijadili miaka miwili nyuma na nakumbuka kwenye huo mjadala tuliwazungumzia zaidi foden na greenwood kama wachezaji vijana,

ukiwa na timu yenye ubora ni rahisi kwa hao wachezaji kuingia kwenye timu kubwa na kufanya vizuri na hilo ndilo jambo kubwa tulilolitabiri litamtokea foden ndani ya manchester city kwa sababu ya wale waliomzunguka ndani ya uwanja.

jana kwenye mahojiano ya kujiandaa na mechi ya leo erik ten hag alijibu swali hilo la wachezaji vijana kama ifuatavyo:

I cannot give all young players the chances they maybe deserve, because we have to construct a team. I see them daily in training, so I get a really good impression from them. We can develop them by good plans.

Not all youngsters have gained minutes, I have to set priorities, but in future they will play an important role I think for building Man United."

kwenye list yako ungelimuongeza kobbie mainoo,
 

[James Ducker]

Erik ten Hag: United must strengthen attack to be successful

United are interested in signing Antony & his representative, Junior Pedroso, is understood to have been in Manchester this week,

although the Dutch club’s €80million (£68m) valuation has so far proven prohibitive.

 
Mm naona kwa £60 anthony tumchukue. Then de Jong tuchukue afu ukurasa tumalize na Benjamin pavard au striker yyte
 
Liverpool wana MosDef united tuna Daemushin
 
Kobbie Maino ana tactical quality kubwa sana pamoja na umri wake mdogo.
 
Leo ndiyo tunajipima kwa level za Premier League. 90% mechi za PL tunacheza na timu kama Aston Villa na ndiyo wanashikilia points nyingi.

Villa nao wameweka full mkoko, leo tutajua panapovuja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…