Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Malacia, Lisandro na Eriksen kwangu mimi wanatosha. As always kale kajamaa kule tuwaachie mzigo wao Barcelona wamalizane nao.

Kama katamaliza mkataba wake na Barcelona katalamba zaidi euro 88M plus bonus. Hata mimi ningesema siondoki hata walete forklift.

Barcelona wanataka kutumia mgongo wetu kukwepa huu msumari wa makosa yao waliyofanya mwaka 2019. (they are 1.3 billion euros in debt - He's going to bleed them nails to toes)
 
Chelsea hawamtaki Ronaldo ..

Psg hawamtaki Ronaldo ...

Ronaldo haitaki man UTD


Sasa Ronaldo inabidi aache Mambo ya mpira ,nyakati zake zinaenda kuisha ...

Hivi kweli TT ni WA kumkataa Ronaldo
 
Sidhani kama ataenda kama ilivyo kwa Lisandro. Kule ni mbali sana inachukua masaa 20+ kufika ukitokea Uingereza au Denmark.

Muda huu wenzao wakiwa kule wao wajikite kuhamia ktk nyumba zao na kutetembea mazingira ya Carrington.
FDJ shida ni nini... simuelewi
 
Pole sanaa! Punguza kushinda chumbani kwa dada zako, Ona umeshaharibikiwa sasa! Huna tofauti na yule kocho kumbuka.
Hahaaaaa yaani umetuliza makalio yako meusi Kama tako ya bunduki kujibizaba na superstar wa jf pain killer ?..

Huogopi ,
 
Duh hata barca walofilisika wanatengeneza timu lewandowski tayari wanamaliza na bernado silver hebu linganisha uwezo wa mchezaji mmojammoja wa liver,man city,madrid bayern na ht barca
 
Duh hata barca walofilisika wanatengeneza timu lewandowski tayari wanamaliza na bernado silver hebu linganisha uwezo wa mchezaji mmojammoja wa liver,man city,madrid bayern na ht barca
ngoja ligi ikianza tutaona hapa mliosema huu usajili unatosha
 
Barca lazima wamwachie FDJ hata iweje.

Hawawezi register Raphina na Lewandowski mpaka wahakikishe wana balance vitabu vyao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…