Mbn jamaa n mzur akicheza holding kuzid ata LCB ... MTAZAMO WANG LAKINIChief-Mkwawa hivi huyu Lisandro anaweza kucheza DM kama watu wanavyosemasema?
Calmness ya hali ya juu .. madg n ballersZidane Iqbal na Savage wananikosha vibaya
Deal la FDJ yaani linakeraDj waLete fdj, Martinez ukifanya na Anthony sio mbaya harafu walete hao liverkuku Tena.
FDJ shida ni nini... simuelewiSidhani kama ataenda kama ilivyo kwa Lisandro. Kule ni mbali sana inachukua masaa 20+ kufika ukitokea Uingereza au Denmark.
Muda huu wenzao wakiwa kule wao wajikite kuhamia ktk nyumba zao na kutetembea mazingira ya Carrington.
Nani akiheshimu kwa kumfunga C.Palace ...Next tunakutana na C.palace J4 ambao wamepigwa 2 Leo na Livakuku sisi naomba tutembeze dozi ileile ya 4G LTE apo heshima itarejea
Ninyi huwa mnamfunga?Nani akiheshimu kwa kumfunga C.Palace ...
Hivi uko serious kweli ,unataka heshima kwa kumfunga CP ?
Hahaaaaa yaani umetuliza makalio yako meusi Kama tako ya bunduki kujibizaba na superstar wa jf pain killer ?..Pole sanaa! Punguza kushinda chumbani kwa dada zako, Ona umeshaharibikiwa sasa! Huna tofauti na yule kocho kumbuka.
Duh hata barca walofilisika wanatengeneza timu lewandowski tayari wanamaliza na bernado silver hebu linganisha uwezo wa mchezaji mmojammoja wa liver,man city,madrid bayern na ht barcaMalacia, Lisandro na Eriksen kwangu mimi wanatosha. As always kale kajamaa kule tuwaachie mzigo wao Barcelona wamalizane nao.
Kama katamaliza mkataba wake na Barcelona katalamba zaidi euro 88M plus bonus. Hata mimi ningesema siondoki hata walete forklift.
Barcelona wanataka kutumia mgongo wetu kukwepa huu msumari wa makosa yao waliyofanya mwaka 2019. (they are 1.3 billion euros in debt - He's going to bleed them nails to toes)
ngoja ligi ikianza tutaona hapa mliosema huu usajili unatoshaDuh hata barca walofilisika wanatengeneza timu lewandowski tayari wanamaliza na bernado silver hebu linganisha uwezo wa mchezaji mmojammoja wa liver,man city,madrid bayern na ht barca
Inabidi Baily aanze mechi zote.OGS ndiyo alimleta Maguire. Lile goli la leo ni poor marking. Hakuna beki aliyekuwa kwenye position.
Barca lazima wamwachie FDJ hata iweje.Malacia, Lisandro na Eriksen kwangu mimi wanatosha. As always kale kajamaa kule tuwaachie mzigo wao Barcelona wamalizane nao.
Kama katamaliza mkataba wake na Barcelona katalamba zaidi euro 88M plus bonus. Hata mimi ningesema siondoki hata walete forklift.
Barcelona wanataka kutumia mgongo wetu kukwepa huu msumari wa makosa yao waliyofanya mwaka 2019. (they are 1.3 billion euros in debt - He's going to bleed them nails to toes)
Next tunakutana na C.palace J4 ambao wamepigwa 2 Leo na Livakuku sisi naomba tutembeze dozi ileile ya 4G LTE apo heshima itarejea
Next tunakutana na C.palace J4 ambao wamepigwa 2 Leo na Livakuku sisi naomba tutembeze dozi ileile ya 4G LTE apo heshima itarejea
Nipo mchizi kichizi.Mchiz boti upo???
Hahahaha unaona beki zinavyoshushwa pale darajani ..sahau kupata ushindi, ninyi endeleeni kushusha magarasa.Nipo mchizi kichizi.
Msimu ujao nakuja kuvunja daraja.