Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kocha anatafuta profile maalum, Sms, nevez wote hawana Quality ya Fdj, kwa source ambazo haziaminiki sana ni Peredes wa Psg ndio alternative ya UTD.
 
Yote kwa yote!! Pre-Season kwa Manchester United hainaga maana yoyotee!! Tokea SAF ang’atuke.
Rejea; LVG
Ila lvg hakufunga Pre season tu, hata ligi hakuwa na Mchezo vs top team, kwenye ligi misimu mwili kacheza mechi na liver kawapiga zote hata draw hawakupata, Arsenal aliwafunga na Rashford striker ana miaka 18, Man city tulipiga sana, Spurs ndo usiseme.
 
Hivi hawa Liverpool walitufungaje goli 5 bila msimu ulioisha?
Natamani ligi ianze mapema,tushampata nahodha wa jahazi letu,EtH.

Kuna watu hapa watasema ni maandalizi tu,shauri yao bana,sisi tunahesabu kikombe cha kwanza hicho kwa msimu huu.
 
Hivi hawa Liverpool walitufungaje goli 5 bila msimu ulioisha?
Natamani ligi ianze mapema,tushampata nahodha wa jahazi letu,EtH.

Kuna watu hapa watasema ni maandalizi tu,shauri yao bana,sisi tunahesabu kikombe cha kwanza hicho kwa msimu huu.
Haya maneno mkiendelea kuongea tweeter ndio yatafanya wachezaji wa Liverpool wakikutana na man u sio mbinu za kocha Tena ni afe beki afe kipa
kiufupi Kila mtu atakuwa na hasira
 
Mmecheza vzr, inaonesha kuna structure inajengwa,

Yule dogo pelistri nimemkubal na yule zidan

Kuna wwatu wanabeza ila Kuna structure unaiona ,mfano degea kuanzisha mpira chini , mabeki wakati kupandisha timu juu ,

All in All bado yule Nunez nawasiwasi nae , ukizingatia Ni one season wonder ,kwa epl anakazi
 
Haya maneno mkiendelea kuongea tweeter ndio yatafanya wachezaji wa Liverpool wakikutana na man u sio mbinu za kocha Tena ni afe beki afe kipa
kiufupi Kila mtu atakuwa na hasira
EtH SIO Ole mkuu.
Kwenye postmatch interview anadai tulifanya makosa mengi sana na tuna kazi ngumu mbeleni kuifanya timu ifike juu zaidi. Liverkuku ilifaa wafe hata 9-0 kufidia msimu ulioisha.

Lakini angekuwa Ole utasikia "The boys had energy,passion and willingness to win this game. Everything did go according to what we tell them to do at carrinton". Angeanza kusifia mchezaji mmoja mmoja akiacha makosa ya wazi kabisa.
 
Uruguayan Lakaka😂
 
Muda utaongea..

Nasubiri tu ani-prove wrong coz naamini epl hatotamba hata kidogo huyu Nunez.
 
Hivi hawa Liverpool walitufungaje goli 5 bila msimu ulioisha?
Natamani ligi ianze mapema,tushampata nahodha wa jahazi letu,EtH.

Kuna watu hapa watasema ni maandalizi tu,shauri yao bana,sisi tunahesabu kikombe cha kwanza hicho kwa msimu huu.
Man U kwa kuongea tu hua mpo vizuri,shida uwanjani sasa, wachezaji wanatetemeka miguu 🤣🤣
 

Ushindi moja una wapa kichwaa hivi. Hii pre season mkuu?

Kwann umpime mchezaji kwa match moja?
 
Eric Baily ameanza vizuri pre-season. Back yetu ya kushoto haifanyi marking vizuri. Elanga anahitaji kutulia mbio tu halitosis. ETH yupo vizuri, ule utoto utoto utaisha maana sura yake tu isiyo na mzaha inapeleka message ya kutosha kwa wachezaji.

Yupo vizuri baada ya kuwafunga timu B pre season? Mbona socha Van gal nao walifanya ivo ivo
tulia muombe sana ETH awavushe salama
 
Hivi hawa Liverpool walitufungaje goli 5 bila msimu ulioisha?
Natamani ligi ianze mapema,tushampata nahodha wa jahazi letu,EtH.

Kuna watu hapa watasema ni maandalizi tu,shauri yao bana,sisi tunahesabu kikombe cha kwanza hicho kwa msimu huu.

Nawakubali sana kwa misifa. This time lazima mpate EPL au siyo
 
Makocha mara nyingi hupenda kuwatumia wachezaji waliowapa mafanikio. F de jong akiwa pale Ajax kabla ya kwenda Barcelona ndio alikuwa engine ya timu na kuipeleka Ajax mpaka kucheza nusu fainali ya UCL na kupoteza kwa spurs ya Pocchetino.
Mwone Jose Mourinho, kwa mfano. Alipopata UCL akiwa na Fc Porto msimu uliofuata akahamia Chelsea. Alihama na zaidi ya waxhezaji 4 toka pale porto. Ona anavyoangaika na Matic. Kamtumia pale chelsea, akampeleka United na sasa yupo nae pale Roma. ETH kuna kitu anakiona kipo kwa dogo de jong ambacho barxelona bado hawajua jinsi ya kukitumia. Ameonyesha imani kwake. Kwa kifupi anamjua ndani, nje. Soon United itaanza kujaza waholanzi pale. Tayari kuna Van beek, dogo wa juzi Malacia, anatajwa Antony nk.
Changamoto inayoikabili united ni kukosa nafasi ya kucheza Ucl. Hivyo inakuwa shida kidogo kwao kupata nafasi nzuri ya kusajili wachezaji wa aina ya de jong ambaye anajua kabisa ana nafasi ya kuanza kwenye kikosi cha barxelona kwa mashindano yote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…