Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 32,060
- 43,477
Wanacheza mkuu, kuna Mifumo mingi sana na mechi za kutosha. Eriksen anaweza cheza pembeni, no ya Bruno ama kiungo wa kawaida.Mkuu Chief-Mkwawa hivi kuna uwezekano wa ericksen kucheza kwa pamoja na Fernandez ndani ya mechi moja.
Maana naona viwango vyao kama ni vile vile tu wote ni wazuri kwenye kutengeneza nafasi.
Nipe takwimu zako mkuu kama wanaweza cheza pamoja.
Mkuu ukiishiwa matusi (ya kumtukana) niambie nikuazime.Nadhani mapungufu nayoyaona kwenye mitazamo yeni ni fikra zilizojikita kwenye dhana kwamba mpira ni wachezaji 11/22 ukiondoa red cards na dakika tisini ukiondoa muda wa nyongeza.
dhana hii ndio ileile inayoangalia timu yenye mabeki, mid fielders na strickers, ambayo sio ya msingi kiivyo.
mpira is alot of things, na Ronaldo amechangia alot of negative things kwenye timu msimu uliopita, hivyo aondoke zake.
1. Hata sasa, Ronaldo ni nani mpaka ahoji situation ya timu kusajiri? hivi hao wachezaji waliopo ambao wanacheza nafasi ambazo inasemekana inabidi waje wachezaji wengine wanamchukuliaje Ronaldo? kama mwenzao? Yaani hataki kucheza na wachezaji waliopo?
2. Ronaldo alipofika alitengeneza kakundi ka waongea kispanish kwenye timu?
3. Hako ka kundi kakaanzisha Propaganda za Ronaldo awe Captain? hivi mnaelewa madhara ya upuuzi wa namna hii? kwa timu nzima?
4. Uwanjani, from day one, akawa analazimisha lazima yeye ndio apige mipira golini, huu upuuzi ndio yule dogo mjelajela aliukataa wakakosana akaanza kumsemea dogo mbovu? mshenzi yule mipira yenyewe akipewa anapiga maboko, dakika 70 za mchezo kazi kujiangusha angusha na kulalamia wachezaji, marefa mpaka mashabiki.
5. eti top scorer, alifunga magoli 24 TUUUU, ANTONY MARTIAL MSIMU WA 20/21 ALIFUNGA MAGOLI 23 PIA. So huyo ronaldo hakuna jipya kwenye ufungaji alioleta pale uwanjani zaidi ya kulazimisha kuzuia watu wengine wote wasifunge.
kwa uchache, niko safari nikitulia ntarudia hapa kumtukana vibaya sana boya yule.
Dahh tunadharaulika Sana“Which team do you look forward to playing most this season?”
Erling Haaland: “I don’t like to say the words but… Manchester United, yeah.”
@Manchester_Utdfc
Vipi de jong unamuona hakicheza namba ngapi.Wanacheza mkuu, kuna Mifumo mingi sana na mechi za kutosha. Eriksen anaweza cheza pembeni, no ya Bruno ama kiungo wa kawaida.
Siku unacheza na watoto wamepaki basi unawatupia tu wote humo ndani, siku mechi kubwa unahitaji kupress mmoja anakaa benchi kupisha kina fred etc.,
Pep system hiyo, Double 8/10Mkuu Chief-Mkwawa hivi kuna uwezekano wa ericksen kucheza kwa pamoja na Fernandez ndani ya mechi moja.
Maana naona viwango vyao kama ni vile vile tu wote ni wazuri kwenye kutengeneza nafasi.
Nipe takwimu zako mkuu kama wanaweza cheza pamoja
De jong anacheza chini kabisa sehemu anayocheza Kiungo mkabaji, yeye ni deep lying playmaker, anatengeneza nafasi kutokea Nyuma.Vipi de jong unamuona hakicheza namba ngapi.
Huyu ndio mchezaji wa kuvunja benk Kwa nn wanazingua???De jong anacheza chini kabisa sehemu anayocheza Kiungo mkabaji, yeye ni deep lying playmaker, anatengeneza nafasi kutokea Nyuma.
Hizi beki za kina Maguire kabisa ,mnakula chuma nneKikosi ni kilekile mbele mgeni ni mmoja tu..Tusitegemee makubwa(Overexpectation) badae tuje kuanza kutukana All in all naomba tutoke draw na kama tutaelemewa zaidi basi watufunge kwa handicap ya goli 1 tu sio tutoke 3-0,4-0 ni aibuView attachment 2286709
Hata kama liva fool atatupiga lakini sio kizembezembe.Kikosi ni kilekile mbele mgeni ni mmoja tu..Tusitegemee makubwa(Overexpectation) badae tuje kuanza kutukana All in all naomba tutoke draw na kama tutaelemewa zaidi basi watufunge kwa handicap ya goli 1 tu sio tutoke 3-0,4-0 ni aibuView attachment 2286709
Ofcourse hata wewe ungemuachia ukapten yeye.Ten Hag confirms Harry Maguire will be Manchester United captain for the season.
"I have to get to know all the players, but he's an established captain and he's achieved a lot of success."
#MUFC
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kuwa captain hadi muda huu.ETH naye ameanza mambo ya kidaku.. Maguire ameachive success ipi