Manchester United (Red Devils) | Special Thread


100%
 
Upo sahihi Sana ,wanamchukulia poa Sana Ericksen , wakamuangalie aliporud hapo Brantford alivyokiwasha ,

Mm ukiniwekea FDJ na Ericksen nabeba Ericksen , jamaa linajua ,sema aliporud epl weng hamkumzingatia , kawaulize Chelsea ile mech wanakufa 4 alichowafanya ,

Na kwa eick ten hag anavyoruhusu timu zake kucheza , bassi Ericksen atakuwa hatari Sana,
 
Fdj na Eriksen ni wachezaji tofauti kila mmoja na position yake. Eriksen position yake kubwa ni kiungo mshambuliaji pia anacheza pembeni na kati. Akija Man U ujue mpinzani wake mkubwa ni Bruno watakuwa na role moja kupiga pasi za mwisho. Mda mwingi ataspend akiwa half ya pili tunaposhambulia

Fdj yeye anatengeneza nafasi za kushambulia ila anatengeneza akiwa Nyuma, kazi ya De jong ni kumtafuta Sancho, Bruno, Rashford etc anapiga sana pasi ndefu na anakaa Nyuma kushinda hata kina Mc tominay na fred, most of time akija Atakua yupo na Varane na Maguire.

Hii video ukiangalia utamuelewa FDJ vizuri.
Your browser is not able to display this video.
 
FDJ au mchezaji wa kaliba yake ni muhimu sana kwa MUFC.
 
Ni Man Utd pekee iliyoanza pre season?

Au kuna timu nyingine ya EPL nayo imeanza?
 
Ronaldo ataondoka lkn mpeni heshima yake.... laiti angeenda Manchester city na kuwapa UCL leo mgemuita msaliti na mgeanza kulaumu kwann hatukumsajili
Huu ndio uchizi sasa
Itokee timu ipambane alafu useme cr7 kawapa UCL!!!

Mbona hiyo UCL hajawapa nyie??

Ushindi wa UCL ni effort ya timu nzima.
 
Kwa hii tarifa ya Fabrizio romano naona rasmi jamaa anaondoka huyu maana naona haondoki na timu kesho kwenda kwenye tour huko Bangkok.

| 𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄: Cristiano Ronaldo

Cristiano Ronaldo will not travel with Manchester United to Bangkok for the start of the pre-season tour


Cristiano won’t be part of the start of the tour as he’s now “still dealing with family issues”.

Manchester United accepted this situation as Cristiano has additional time off to deal with personal issues.

His agent Jorge Mendes is still working to find a proposal in order to leave Manchester United this summer.

Man Utd insist they want to keep Cristiano for next season but aware of his disappointment.

Where do you see Cristiano playing next year?
 
Family issues??

Tusubirie tu offer yoyote huyu jamaa aondoke.
 
Kwangu naona tuna faida Cr7 akiondoka kuliko akibaki maana tupo kujenga kikosi tunaitaji wachezaji wenye hawana majina.
Hata akibaki atasugua benchi na tutamtaka akaicheki familia yake maana hatutamtumia. We need devoted players.tutamtumia alitaka Kwa option ya sio starter
 
sikubaliani na description ya style ya uchezaji tuliyoanza nayo 2021/22, correct description ni kwamba tulianza kucheza kwa kumuangalia Ronaldo yuko wapi apelekewe mpira afunge.

huko nyuma mchezaji alikuwa anapelekewa mpira afunge sababu timu ilikuwa inacreate counter attach situations, 21/22 ronaldo alikuwa anapelekewa mipira hata akiwa offside.

we became very predictable, and vulnerable to loosing possession, ndio kilichopelekea kujikuta tukiwa kwenye timu ya kushambuliwa kila wakati na kupelekea ku concede magoli mengi.

sikubaliani na mambo ya kuwa na weak defense pamoja na malalamiko dhidi ya maguire, sababu the same defense line, kabla ya ujio wa Ronaldo ilivunja record ya kutokufungwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…